Makonda Awatembelea Wahanga wa Mafuriko Dar (+Video)
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda, amewatembelea wakazi wa Buguruni kwa Mnyamani waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea jana katika maeneo mbalimbali jijini Dar Es Salaam.
Aidha Makonda amesikiliza kero za wananchi wa maeneo hayo na kuwahoji baadhi ya maswali huku akigusia sababu zinazosababisha wakazi hao kushindwa kuhama maeneo ya mabondeni.
NIMEKUWEKEA NA VIDEO HAPA…
Comments are closed.