Arsenal Yatinga Nusu Fainali Europa (Video)
Klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Europa League baada ya kutoka sare ya 2 – 2 dhidi ya CSKA Moscow kwenye dimba la Arena CSKA na hivyo kusonga mbele kwa jumla ya mabao 6-3.
Kwenye mchezo huo uliyokuwa na ushindani mkubwa, CSKA Moscow ilianza kupata mabao yake kupitia kwa wachezaji wake, F Chalov dakika ya 39 na K Nababkin (50) waka upande wa Arsenal, Danny Welbeck aliipatia bao la kwanza (75) kisha Ramsey akatupia lapili daki ya (90+2) na kujihakikishia kusonga mbele.
CSKA (3-5-2): Akinfeev 6; V. Berezutski 6, A Berezutski 6, Ignashevich 6; Nababkin 7, Golovin 7.5, Bistrovic 6.5 (Natcho 71, 6), Dzagoev 5 (Vitinho 37, 6), Kuchaev 7; Chalov 7 (Milanov 78), Musa 6.5.
Subs not used: Pomazun, Schennikov, Zhamaletdinov, Khosnov.
Bookings: Golovin
Scorers: Chalov 39, Nababkin 50
Manager: Goncharenko: 7
ARSENAL (4-3-2-1): Cech 5.5; Bellerin 5.5, Mustafi 6, Koscielny 6, Monreal 5.5; Ramsey 5.5, Elneny 6.5, Wilshere 5.5 (Chambers 69, 6); Welbeck 7, Ozil 6; Lacazette 5.5 (Iwobi 77).
Subs not used: Macey, Mertesacker, Holding, Kolasinac, Nketiah.
Scorers: Welbeck 75, Ramsey 90
Manager: Wenger: 5.5
Referee: Felix Zwayer (GER): 6
Comments are closed.