The House of Favourite Newspapers

Wema Asherehekea ‘Bethidei’ Yake Kwa Mama Yake

wema-birthday-16-001

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu (wa pili kushoto) akiwa na rafiki zake nyumbani kwa mama yake maeneo ya Sinza-Mapambano usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.

wema-birthday-28-001

…Akipongezwa na meneja wake, Martin Kadinda.

wema-birthday-36-001

…Wakiendelea kuongea jambo.

wema-birthday-39-001

…Akila chakula cha bethidei.

wema-birthday-44-001

…Akiwa kambeba mtoto wa rafiki yake.

wema-birthday-52-001 wema-birthday-59-001

Madikodiko yakitayarishwa.

wema-birthday-61-001 wema-birthday-64-001

Keki zilizoandaliwa kw a ajili ya Wema.

wema-birthday-67-001

Saa aliyozawadiwa.

wema-birthday-78-001

Akisoma kadi aliyopewa na rafiki yake.

Mwigizaji wa Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amesherehekea siku yake ya kuzaliwa nyumbani kwa nyumbani kwa mama yake, Miriam Sepetu,  Sinza-Mapambano jiini Dar usiku wa kuamkia leo .

Mastaa waliokuwepo katika hafla  hiyo ni Martin Kadinda, Sholo Mwamba na shosti mkubwa wa Madam aitwaye Muna Love.

Kusoma A-Z ya Siku ya Kuzaliwa kwake usikose Gazeti la Risasi Jumamosi wiki hii.

Comments are closed.