Absa Yazindua Ripoti ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika
Naibu Katibu Mkuu (Sera), wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amezindua ripoti ya Benki ya Absa Tanzania ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika.