The House of Favourite Newspapers

Absa Yazindua Ripoti ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika

0

 

Naibu Katibu Mkuu (Sera), wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru akihutubia kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba wakati akizindua ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Absa, Simon Mponji, akitoa shukurani kwa Waziri wa Fedha pamoja na Naibu Katibu Mkuu kwa kukubali wito wa kufika katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Masoko ya Kifedha wa Absa Tanzania, Esther Maruma, akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo jijini humo jana.
Mmoja wa maofisa wa ngazi za juu wa Absa kutoka ofisi ya Kanda, Jeff Gable akizungumza katika hafla hiyo
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser, akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam hiyo akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Absa Tanzania, Abdi Mohamed. 
Naibu Katibu Mkuu (Sera), wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru (wa tatu kulia),na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Absa Tanzania, Simon Mponji (wa nne kushoto), wakionyesha kitabu chenye ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika,mara baada ya kuzinduliwa. Kushoto kwa Mafuru ni Mkurugenzi wa Fedha wa Absa, Obedi Laiser na Mkurugenzi wa Masoko ya Kifedha wa Absa Tanzania, Esther Maruma. Kushoto ni watoa mada, Anthony Kirui kutoka Absa Afrika, Abraham Byamungu kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Mitaji (UNCDF),  Charles Shirima kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji  na Dhamana(CMSA) na Jeff Gable kutoka Absa Afrika. 
Baadhi ya wageni waliolikwa katika hafla hiyo wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi naibu katibu mkuu sera wa wizara ya fedha jijini Dar es Salaam jana.
Naibu Katibu Mkuu (Sera), wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amezindua ripoti ya Benki ya Absa Tanzania ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika.

Leave A Reply