Meneja wa Airtel Money, Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea wakati wa kuzindua ushirikiano kati ya kampuni ya Airtel na M-bet utakaowawezesha wapenzi wa kubashiri michezo mbalimbali kubaashiri na kisha Mr. Money kuwawezesha kulipia kupitia huduma ya Airtel Money. pichani ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando katikati) akifatiwa na Mkurugenzi wa M- bet Dhiresh Kaba
Mkurugenzi wa M- bet Dhiresh Kaba (kushoto) akipongezana na Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (kulia) mara baada ya kuzindua ushirikiano utakaowawezesha wateja watakaobashiri michezo mbalimbali na kisha Mr. Money kuwawezesha kulipia kwa kutumia huduma ya Airtel Money. akishuhudia ( nyuma kushoto) ni Meneja wa Airtel Money , Asupya Naligingwa