Mmoja wa mawakala wa kampuni ya Airtel jijini Arusha,Chihiyo Malick akizungumza wakati wa semina iliyotolewa na kampuni ya Airtel kwa kushirikiana na washirika wake Jumo kuhusu huduma ya Airtel Timiza inayowapatia wateja na mawakala nchi nzima mikopo isiyona dhamana kupitia simu zao za mkononi.
Meneja wa Kampuni ya Jumo Tanzania, Rweb Mutahaba akizungumza na Mawakala wa Kampuni ya Simu za Mikononi ya Airtel mbinu za kukuza biashara na kuongeza mtaji kupitia huduma ya Airtel Timiza katika semina iliyofanyika jijini Arusha.
Mmoja wa mawakala wa kampuni ya Airtel jijini Arusha, David Lima akiuliza swali wakati wa semina iliyotolewa na kampuni ya Airtel kwa kushirikiana na washirika wake Jumo kuhusu huduma ya Airtel Timiza inayowapatia wateja na mawakala nchi nzima mikopo isiyona dhamana kupitia simu zao za mkononi.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Prev Post