Ajali: Lori la Dawasco Laparamia Kituo cha Mabasi Dar
baada ya gari hilo kukosa mwelekeo na kugonga kituo hicho na kujeruhi abiria watatu waliokuwa kituoni hapo. Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 2 usiku jana eneo la Mbuyuni, Barabara ya Bagamoyo jijini Dar es Salaam