Ajali: Watu 11 Wajeruhiwa Baada Ya Basi Kupinduka-Video
WATU 11 wamejeruhiwa katika ajali ya basi linalofanya safari zake kutoka jijini Mbeya kwenda kijiji cha Itumbi Wilaya ya chunya mkoani humo kwa kile kinacho daiwa ni mfumo wa Breki kutokuwa imara.