The House of Favourite Newspapers

Ajali ya basi Gairo nyingine Dumira, Watano Wafariki, 27 Wajeruhiwa

0
Basi la NBS lilivyopata ajali.
Basi la NBS linalotoka Dar es salaam  kwenda Tabora  limepata ajali mbaya maeneo ya Chakwale wilayani Gairo  mkoani Morogoro.
Taarifa kutoka eneo la tukio zinaarifu kuwa watu 5 wamefariki na 27  wamejeruhiwa katika ajali hiyo.
Basi la KISBO lilivyopata ajali.
Ajali nyingine ni ya basi la Kampuni ya KISBO lililopata ajali maeneo ya Dumira Morogoro, hakuna mtu aliyeripotiwa kufariki japo kuna majruhi kadhaa.

 

Leave A Reply