GLOBAL TV imemtembelea msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini aliyetamba zaidi na kibao chake cha ‘Kitambaa Cheupe’, Mzee King Kiki, ambaye kwa sasa anasumbuliwa na maradhi ambayo yamemsababishia kukaa nyumbani na kushindwa kuendelea na kazi zake.
Nguli huyo amekumbwa na maradhi ya uti wa mgongo.
Kwa wale watakaoguswa na hali hiyo wanaweza kumchangia fedha ya matibabu kupitia namba ( 0713 31 16 73).