The House of Favourite Newspapers

Ammy Ninje Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemthibitisha Ammy Ninje (Pichani) kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa shirikisho hilo. Nafasi hiyo ilikuwa ikikaimiwa na Oscar Mirambo ambaye ataendelea na jukumu lake la Ofisa Maendeleo wa Soka la Vijana.

Comments are closed.