The House of Favourite Newspapers

Anti Lulu afurahia Wastara kuolewa

0

auntluluMwanadada Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’.

NA HAMIDA HASSAN

MWANADADA Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ameweka wazi kuwa, amefurahishwa na Anti Lulu aliyewahi kuwa kwenye bifu zito na Wastara kisa kikiwa ni penzi la mtangazaji na msanii Bond Bin Sinan alisema:

“Nampongeza kwa moyo safi nitamuombea ndoa yake idumu kwani ameonesha mfano bora kwa sisi tunaohangaika tu.

”nti Lulu afurahia Wastara kuolewa hatua ya Wastara Juma kuolewa na mwanasiasa Juma Sadifa.ingawa wapo watakaohoji juu ya pongezi zangu lakini uamuzi aliochukua Wastara ni wa busara na katika maombi yangu

Leave A Reply