The House of Favourite Newspapers

Baada ya Kuapishwa tu…Kigwangalla aibukia Hospitali ya Amana

0

KIGWANGALLA (3)Naibu waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Khamis Kigwangala akielekea katika hospitali ya Amana leo jijini Dar es Salaa mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli.KIGWANGALLA (4)Naibu waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Khamis Kigwangala akizungumza na wauguzi aliowakuta katika hospitali ya Amana leo alipotembelea katika hospitali hiyo jijini Dar es Salaam.KIGWANGALLA (1)….akizungumza na wagonjwa.

Leave A Reply