Balozi Dkt. Nchimbi Awatembelea Waathirika wa Mapolomoko Mlima Kawetele, Mbeya
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akimkabidhi mmoja wa waathirika na maporomoko fedha Tsh. Mil 10 kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wote wa maporomoko ya Mlima Itezi Mkoani Mbeya leo Aprili 17,2023 wakati alipowatembelea katika kambi walipo shule ya Msingi Tambukareli.
Awali Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dk Emmanuel Nchimbi alitua Makao makuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya na kufanya mkutano wa ndani wa kamati ya siasa kujua maendeleo ya Chama hicho kisha baada hapo Majira ya saa tisa atafanya mkutano wa hadhara katika uwanja vya Luanda Nzovwe.