BARUA NZITO: BASATA Kwa Hili La DIAMOND, Msikubali Kudhalilishwa – VIDEO
Kufuatia Baraza la sanaa la Taifa BASATA kuwaruhusu Diamond Platnumz na Rayvanny pamoja na kuliruhusu tamasha la Wasafi Festival kuendelea nchini Kenya mwaka jana baada ya kulifungia kwakukiuka masharti yake.
Katika kipindi cha romosheni ya show ya tamasha hilo nchini humo,kuna watangazaji wa kituo cha redio fulani nchini humo waliorekodi kipande cha video wakiwa studio wakilikashifu baraza hilo.
Kufuatia tukio hilo, Global TV kupitia kwa Joseph Shaluwa imewaandikia barua BASATA kuwashauri hatua za kufanya kwa suala hilo.
Comments are closed.