KAMPUNI ya Borda ya jijini Dar es Salaam imeanzisha huduma ya utunzaji wa mazingiya inayotambulika kama ‘Choo Rafiki’ yenye lengo la kupambana na utiririshaji maji taka hovyo.
Meneja wa Manispaa Kinondoni, Ramadhani Mabula, amesema programu hiyo ya Choo Rafiki inalenga kuzuia utiririshaji wa maji taka mitaani kutoka majumbani ambapo itatoza Shilingi 20,000 kwa kila kaya.
Comments are closed.