The House of Favourite Newspapers

Breaking: Msafara wa JPM Wapata Ajali Meatu, Waandishi Wajeruhiwa

GARI lililokuwa limebeba waandishi wa habari wa Mkoa wa Simiyu limepata ajali kwenye msafara wa Rais John Magufuli mjini Mhanuzi wilayani Meatu ambapo liligongwa na magari mengine kwa nyuma.

Waandishi wa habari watatu, Adan Mhando wa Channel Ten, Faustine Fabian wa Mwananchi, Rehema Evansi wa Azam TV, na Mpiga picha wa ITV, wamepata majeraha madogomadogo na wamekimbizwa hospitali ya wilaya Meatu.

Comments are closed.