Breaking: Mtendaji Mkuu wa Simba Barbara Afiwa na Mama Yake
Mtendaji Mkuu wa mabingwa wa nchi Simba, Barbara Gonzalez amefiwa na mama yake mzazi aitwaye Rhoda Yahya Lambert
kifo hicho kimetokea leo Jumapili 14, 2021 asubuhi nyumbani kwake Kigamboni, Mazishi yatafanyika leo saa 10:30 jioni kwenye makaburi ya Kisutu.