Breaking News: Malinzi, Mwesigwa Wanyimwa Dhamana, Warudishwa Rumande
#GlobalHabari: Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa wamefikishwa tena mahakani Kisutu na kusomewa mashataka ya rushwa yanayowakabili.
Watuhumiwa hao wamenyimwa dhamana na kurejeshwa tena mahabusu hadi Julai 17, mwaka huu.
Aidha TAKUKURU imewapandisha tena katika Mahakama ya Kisutu, Dar, mmiliki kampuni ya PAP, Habirnder Seth Singh na mfanyabiashara James Rugemalira kwa makosa ya uhujumu uchumi.