BREAKING NEWS: MTANGAZAJI MISANYA BINGI AFARIKI DUNIA
MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) ambaye pia aliwahi kuwa mtangazaji maarufu wa Radio One, Dkt. Misanya Dismas Bingi, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kukumbwa na kiharusi.
Msiba uko Makongo-Juu jijini Dar es Salaam.
Comments are closed.