Breaking News: Polisi, Vijana Wapambana Bomoa-Bomoa Jangwani, Dar
NYUMBA zilizopo eneo la bondeni Jangwani jijini Dar es Salaam, zimeendelea kubomolewa leo na kikosi maalum huku vijana wasiofahamika wakidaiwa kuwarushia mawe polisi wakipinga ubomoaji wa nyumba hizo. Katika tukio hilo polisi walichukua hatua za kuwadhibiti vijana hao.