Senzo Mazingisa Ajiuzulu Utendaji Mkuu Simba
Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Senzo Mbatha ametangaza kujiuzulu nafasi yake katika klabu hiyo,leo Agosti 9, 2020. Senzo ameishukuru klabu kwa mafanikio yaliyopatikana kwenye kipindi kifupi.
Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Senzo Mbatha ametangaza kujiuzulu nafasi yake katika klabu hiyo,leo Agosti 9, 2020. Senzo ameishukuru klabu kwa mafanikio yaliyopatikana kwenye kipindi kifupi.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.