Canosa Waibuka Kidedea Shindano La Speling
Shule ya Msingi Canosa iliyopo Tegeta Nyuki, Dar imetunukiwa zawadi ya vifaa mbalimbali vya kujisomea (Library) na Oxford Universt Press baada ya wanafunzi hao kuwashinda wengine katika shule mbalimbali hapa nchini katika shindano la speling (matamshi). Shindano hilo limeratibiwa na Taasisi ya Coconut ambapo linaratajiwa kuendelea kufanyika kila mwaka.
HABARI: NEEMA ADRIAN PICHA: RICHARD BUKOS /GPL