×

Afya

Corona: A. Villa, Brighton Zatoa Chakula kwa Wasio na Makazi!

VILABU vya England(Uingereza) aya Aston Villa na Brighton  & Hove Albion FC vimechangia zaidi ya milo 1,300 ikiwa misaada kwa...

READ MORE

Umoja wa Ulaya Wamvaa Trump Kisa Corona, Ajibu Mapigo – Video

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kauli yake ya kuwazuia watu kutoka Bara la Ulaya kuingia Marekani haikupaswa kusubiri hadi...

READ MORE

Mloganzila Yaanzisha Huduma Maalum ya Macho

KATIKA kuadhimisha Wiki ya Macho Duniani ambayo hufanyika kila wiki ya pili ya mwezi Machi, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili...

READ MORE

Mtoto ‘Ausambaratisha’ Mfumo wa Fahamu, Awakuna Vichwa Madaktari – Video

  KAMA kawaida yake, mtoto Baraka Shigongo mwenye ufahamu wa hali ya juu wa masuala mbalimbali ya Sayansi ya Afya...

READ MORE

Mtoto Awashangaza Madaktari Avyochambua Mfumo wa Mkojo – Video

MTOTO Baraka Shigongo mwenye ufahamu wa hali ya juu wa masuala mbalimbali ya Sayansi ya Afya ya Binadamu, ameendelea kuonesha...

READ MORE

Maajabu Matibabu ya Virusi vya Corona

  WAKATI dawa za kupunguza makali ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) – ARVs, pamoja na dawa za kutibu mafua, zikidaiwa...

READ MORE

Mharusi Wavalia ‘Mask’ Wafunga Ndoa Kuhofia Corona

Maharusi nchini Ufilipino wamelazimika kuvaa barakao (mask) wakati wa sherehe ya ndoa yao kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi...

READ MORE

Waliofariki Kwa Virusi Vya Corona Wafika 2,004

TUME ya Afya ya China imeripoti kuwa idadi ya vifo kutokana na virus vya Corona imefikia 2,004, huku idadi ya...

READ MORE

44 Waambukizwa Corona Meli, Abiria Wazuiwa Kutoka

WIZARA ya Afya ya Japan imethibitisha kuongezeka kwa watu wengine 44 wenye virusi vya Corona ndani ya meli ya Diamond...

READ MORE

Corona Yapewa Jina Jipya, Waliofariki Wafikia 1,113 – Video

IDADI ya waliofariki kwa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona imefikia 1,113, huku watu 38,800 wakiendelea na matibabu...

READ MORE

Licha ya Corona, Mamia ya Waganda Walilia kwenda China

WAKATI hatari ya kuzidi kusambaa kwa virusi vya Corona ikiongezeka nchini China, wafanyabiashara zaidi ya 200 wa Uganda wamefika katika...

READ MORE

Jinsi ya Kuepuka maumivu ya mgongo

KWA miaka ya hivi karibuni maumivu ya mgongo yamekuwa moja kati ya matatizo makubwa yanayotesa wengi.  Tafiti mbalimbali zimethibitisha kuwa,...

READ MORE

Waliofariki kwa Virusi vya Corona China Wafikia 811

IDADI ya waliokufa kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona nchini China imeongezeka kwa vifo 89 na kufikia watu 811....

READ MORE

Mtoto Baraka ‘Anavyoufumua’ Mfumo wa Fahamu – Video

KAMA kawaida yake, mtoto Baraka Shigongo mwenye ufahamu wa hali ya juu wa masuala mbalimbali ya Sayansi ya Afya ya...

READ MORE

Fahamu Mkojo Wako Unavyotengenezwa, Mtoto Baraka Anakupa Shule! – Video

MTOTO Baraka Shigongo mwenye ufahamu wa hali ya juu wa masuala mbalimbali ya Sayansi ya Afya ya Binadamu, ameendelea kuonesha...

READ MORE

Nafasi za Kazi MDH, Clinic Nurse/Counselors

Clinic Nurse / Counselors 6 Management and Development for Health (MDH) is a non-profit organization in Tanzania contributing to address...

READ MORE

Corona: Kenya Airways Yasitisha Safari Zake China

SHIRIKA la ndege la Kenya limesitisha safari zote za kwenda China baada ya mlipuko wa virusi vya corona. Visa sita...

READ MORE

‘Nilizimia Nikaamka na Ugonjwa Wa Figo, Niokoeni” – Video

AMA KWELI ‘Hujafa hujaumbika’ na daima hakuna binadamu anayejua kesho. Mkasa huu wa Nuru utakuliza na pengine kukufanya ushukuru na...

READ MORE

Maajabu! Mtoto Achambua Virusi vya CORONA Kama Daktari – Video

MTOTO mdogo aitwaye Baraka Shigongo (10) mwenye kipaji cha aina yake katika masuala mbalimbali hasa ya Sayansi, ameamua kuingia darasani...

READ MORE

Dawa za VVU Kutumika kwa Wagonjwa wa Corona

Mkurugenzi wa Idara ya Afya wa jiji la Beijing, China amesema wanatumia dawa za wagonjwa wa VVU na UKIMWI za...

READ MORE

 Ugonjwa wa Kisukari unavyosababisha upungufu wa nguvu za kiume

UGONJWA wa Kisukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Dk Godfrey...

READ MORE

Virusi vya Corona Vyahofiwa Kutua Afrika

MAOFISA wa afya wanamshuku mgonjwa mmoja nchini Ivory Coast kuwa na virusi vya corona, waziri wa afya ametangaza.   Mwanafunzi...

READ MORE

Maumivu ya mgongo kwa mjamzito

WAJA-WAZITO wengi huumwa mgongo bila kujua sababu, leo nitaeleza kwa kina nini husababisha tatizo hilo kwa mjamzito.  Uongezekaji wa uzito...

READ MORE

Serikali ya Tanzania Yatahadharisha Homa ya Virusi vya Corona

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, imetoa tahadhari ya mlipuko wa virusi vya Corona...

READ MORE

Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi

TATIZO la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio kwenye umri wa kuzaa na wale waliomaliza majukumu yao...

READ MORE

Naibu Waziri Amtumbua Mganga Mbeya

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Phaustine Ndugulile ameagiza kuwekwa ndani na kutolewa katika...

READ MORE

Haya ndio matatizo hatarishi ya mjamzito

KUNA matatizo mengi hatari yanayompata mjamzito, kwa mfano mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi (uterus) ni tatizo hatari ambalo...

READ MORE

SIMIYU YAPATA UHABA WA CHANJO YA HOMA YA INI

Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Simiyu, umesema kasi kubwa ya Wananchi wanaojitokeza kupima na kupatiwa chanjo ya ugonjwa...

READ MORE

Wanawake wenye kisukari hukosa hamu ya tendo la ndoa

WANAWAKE wengi wenye kisukari hupata tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.  Hii inaweza kuwa ni moja ya...

READ MORE

Tatizo la kupoteza hamu ya kula (Anorexia nervosa)

HILI ni tatizo la kukosa kabisa hamu ya kula na kumfanya mtu apungue uzito kutokana na kuogopa kunenepa au kuongezeka...

READ MORE

Gonjwa Hili Ndilo Tishio Nchini

HOMA ya mapafu, usiichukulie poa! Ugonjwa huo ambao pia hujulikana kama nimonia au Pneumonia umeleta mtikisiko wa aina yake mwaka...

READ MORE

Fahamu kwa Undani Tatizo la Ugumba (Infertility)

  KUNA aina mbili za ugumba; Ugumba wa asili (Primary infertility) – Hii ni pale ambapo mwanaume na mwanamke hawajawahi...

READ MORE

Madhara ya Kula Nyama ya Nguruwe (Kitimoto)

NGURUWE ni mnyama anayeliwa kwa asilimia 38 ya watu wote duniani, lakini nyama yake ina madhara makubwa kuliko faida.  Leo...

READ MORE

Hawa Ndiyo Wagunduzi wa Virusi Vya UKIMWI

Mmoja Atajwa Kuhusika Kuvitengeneza: UGONJWA wa Ukimwi ni hatari na umeua watu wengi sana duniani. Leo tutazungumzia ugunduzi wa ugonjwa huu....

READ MORE

Pombe, sigara zinavyoweza kusababisha kisukari

LEO nazungumzia jinsi sigara, pombe, vyakula na mfumo wa maisha wa mtu vinavyoweza kusababisha kisukari na kuleta madhara zaidi kwa...

READ MORE

Chanzo cha maradhi ya moyo kwa watoto

KABLA ya kubeba ujauzito ni muhimu mwanamke ajiandae kwa miezi sita. Katika kipindi hicho, anapaswa kula vyakula bora.  Mwanamke anapaswa...

READ MORE

HATARI YA UTI WA MGONGO (Meningitis)

UGONJWA wa mgongo huathiri sehemu inayofunika ubongo na uti wa mgongo, yaani utandu. Ubongo unafunikwa na sehemu au tandu tatu...

READ MORE

Dawa anazopaswa, asizopaswa kutumia mgonjwa wa selimundu

SELIMUNDU (Sickle cell) ni ugonjwa wa kurithi ambao hutokea baada ya mwili wa binadamu kuwa na upungufu katika umbile la...

READ MORE