×

Celebrities

Diana: Simchukii Mobeto, Ila Wema Mapenzi Kama Yote

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi mwenye vituko lukuki, Diana Kimari amefunguka kuwa watu wengi wanasema ana bifu na mwanamitindo Hamisa Mobeto...

READ MORE

DIAMOND AMPELEKA HAWA KUTIBIWA INDIA

STAA wa Bongo Fleva, Daimond Platnumz, amesema anashughulikia taratibu za kumsafirisha msanii mwenzake, Hawa Said, ambaye aliwahi kumshirikisha kwenye wimbo wake wa...

READ MORE

BIRTHDAY YA WEMA USIPIME

USIKU wa kuamkia leo, Miss Tanzania 2006 na staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, aliangusha pati ya kusherehekea siku...

READ MORE

CHEMICAL: Siwezi Kumfuata Diamond, Mwenyewe Ataona – Video

RAPA wa kike Claudia Lubao ‘Chemical‘ amesema kuwa amewahi kuwaza kufanya kazi na msanii Diamond Platnumz lakini hawezi kumfata kumuomba...

READ MORE

UWOYA AIBUKA NA MWARABU FIGHTER KWA WEMA – VIDEO

SHUGHULI ilikuwa pevu pale kwenye Ukumbi wa Mlimani City MAMBO usiku wa Ijumaa ya Septemba 28, 2018 kufuatia Malkia Bongo...

READ MORE

USIYOYAJUA KUHUSU ZABIBU KIBA, SAUZ YA ANIKWA!

LAZIMA unaijua ile ishu kuwa dada wa msanii maarufu Bongo, Ali Salehe Kiba, Zabibu Kiba a.k.a Mrs Banda siku hizi...

READ MORE

EXCLUSIVE: ODAMA Amfungukia Aliyemzushia Kifo – Video

MAMBO yalikuwa fire usiku wa Septemba 28, kufuatia muigizaji nguli Bongo, Wema Sepetu kusheherekea kumbukumbuku ya siku yake ya kuzaliwa...

READ MORE

MINAJ, HAMILTON WAJIVINJARI KIMAPENZI DUBAI

STAA mwanamitindo wa Marekani, Nicki Minaj na nyota mwendesha magari wa Formula One, Lewis Hamilton, wameibua sintofahamu kuhusu uhusiano wao...

READ MORE

MAMA: WEMA KATIMIZA MIAKA 18, TUSIKERANE BWANA! – Video

MIONGONI mwa vilele vya shamra na “maraha ya kufa mtu”  vilivyojiri siku ya kuzaliwa mwigizaji nguli Bongo, Wema Sepetu, ambayo...

READ MORE

WAYNE ATIMIZA MIAKA 36, AACHIA NGOMA YA ‘THA CARTER V’

RAPA Mmarekani, Lil Wayne ameadhimisha ‘bethidei’ yake ya mwaka wa 36 na kuachia ngoma yake ya  Tha Carter V, katika hafla iliyojaa...

READ MORE

SNOOP DOGG APATA MJUKUU WA KIKE

MKONGWE wa Muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Snoop Dogg amepata mjukuu wa kike akiwa na umri wa miaka 46,...

READ MORE

Hatimaye Sister Fey Afunga Ndoa na Kiben Ten Chake

MSANII Sister Fey ambae hivi karibuni alikamatwa na kuwekwa rumande kwa amri ya Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...

READ MORE

CHRIS BROWN, RITA ORA SIO SIRI TENA

BAADA ya kukaa kwa muda mrefu bila kumuweka hadharani mwanamke anayetoka naye kimapenzi, mkali wa muziki wa R&B nchini Marekani,...

READ MORE

Lady Jaydee Ataka Kujiua

MASHABIKI wamekuwa na maswali mengi ni kitu gani anapitia Lady Jaydee kwa sasa kwenye maisha yake baada ya kuandika ujumbe...

READ MORE

JUICE KINGDOM YAZIDI KUKUBALIKA MITAANI!

SIKU chache baada ya kuzinduliwa vinywaji vya Juice Kingdom tawi la Tabata-Segerea, taarifa ni kwamba vinywaji hivyo vinazidi kukubalika kwenye...

READ MORE

SAA TISA USIKU KITANDANI MWANGU

Hii ni kolamu ya Gazeti la Amani la Global Publishers ambalo linatoka kila Alhamisi. Lengo la kolamu huu ni kufikisha...

READ MORE

RAYVANNY: MGAHAWA WA JUISI ULINIFANYA NIMPATE FAYMA

MPENZI msomaji tunazidi kutiririka katika safu yetu hii yenye kuvutia, ambapo wiki iliyopita tulikuwa na mwanamuziki wa kizazi kipya Bongo,...

READ MORE

SEPTEMBA CHUNGU KWA MASTAA HAWA

FEBRUARI, mwaka jana, ilikuwa chungu kwa mastaa wengi wa filamu na Bongo Fleva baada ya kutajwa na Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

BEN POL ATOBOA SIRI YAKE NA MONALISA

STAA wa Muziki wa R&B, Benard Paul ‘Ben Pol’ ametoboa siri yake na mkongwe wa filamu Bongo, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’...

READ MORE

WEMA AANDIKA HISTORIA

 KUFUATIA maandalizi baab’kubwa ya shughuli yake ya kukata na shoka ya kuzaliwa (birthday), staa grade one Bongo, Wema Isaac Sepetu...

READ MORE

VAN VICKER Adata kwa WEMA, Amtaja KANUMBA! – Video

STAA wa filamu nchini Ghana anayefanyia kazi zake Nollywood, Van Vicker, amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...

READ MORE

WAMEKUZA ‘VISU’ BILA WANAUME!

WATU wengi huamini kwamba malezi bora ya watoto hutoka kwa wazazi wote wawili yaani baba na mama. Mtoto anapolelewa na...

READ MORE

EXCLUSIVE: Maisha ya Zabibu Kiba na Abdi Banda Sauzi – Video

Zabibu anaishi Polokwane, maisha yake yatakuwa hapa kwa kuwa mumewe, Abdi Banda anafanya kazi hapa. Anaichezea Baroka FC inayoshiriki Ligi...

READ MORE

WEMA SEPETU Alivyomrukia VAN VICKER Airport DAR- Video

MSANII mkubwa wa filamu nchini Ghana, Van Vicker, amewasili nchini Tanzania leo saa 10 alfajiri na kupokelewa na mwenyeji wake...

READ MORE

BUSHOKE KUMFANYIA SAPRAIZ NYOSH EL SADAAT DAR LIVE

PATAKUWA hapatoshi! Wakati mashabiki wengi wa Muziki wa Dansi wakiwa tayari kusubiri utambulisho wa Bendi ya Bogos, msanii wa Muziki...

READ MORE

KIKI HIZI DIAMOND THIS IS TOO MUCH

SITAKI kumuongelea sana Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’ anayewakilisha Wasafi Classic Baby (WCB) aliyetoka kimuziki 2016 na Wimbo wa Aiyola kisha Bado...

READ MORE

RPC MBEYA: UWOYA TUMEMTIA MBARONI

BAADA ya kusambaa kwa taarifa ya kukamatwa kwa staa wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya na wenzake, Kamanda wa...

READ MORE

WALIPENDANA, WAKAFURAHIANA SASA WAMEBAKI NA MAKOVU

MAPENZI ni kikohozi kukificha huwezi! Na siku zote unapopenda unaweza kufanya lolote ili tu umfurahishe yule uliyenaye aone tu thamani...

READ MORE

Bill Cosby Afungwa Miaka 10 kwa Unyanyasaji Kingono

Mahakama ya Pennsylvania nchini Marekani imemshushia mvua ya kifungo cha kati ya miaka mitatu hadi kumi, mchekeshaji Bill Cosby mwenye...

READ MORE

CHILDISH GAMBINO AUMIA MGUU, AAHIRISHA SHOO ZAKE

Childish Gambino, nimwimbaji, mwigizaji na mchekeshaji maarufu nchini Marekani, ameumia mguu na hivyo kuahirisha ziara yake aliyokuwa aifanye Leo katika kituo...

READ MORE

UNDANI SIKU 8 ZA SOUDY BROWN, MAUA SAMA LUPANGO

 LICHA ya kuachiwa kwa dhamana, Mtangazaji maarufu wa Kipindi cha Shilawadu, Soud Brown na msanii wa Bongo Fleva, Maua Sama...

READ MORE

NANDY APATA MPENZI MWINGINE

MSANII wa Bongo Fleva ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya Aibu, Faustine Charles ‘Nandy’ amefunguka kwamba kwa sasa hana...

READ MORE

TUNDA AMFUNGUKIA ALIYEDAIWA BWANA’KE

BAADA ya picha akiwa anazu-ngumza na mwanaume kwenye Mtandao wa Snapchat kusambaa mitandaoni na kudaiwa kuwa ndiye bwana’ke mpya, video...

READ MORE

TUZO ZA SINEMA ZETU 2019 ZAZINDULIWA RASMI

HATIMAYE Kituo cha Azam TV kupitia chaneli yake ya Sinema Zetu, leo Jumanne imezindua rasmi msimu mpya wa tuzo zao...

READ MORE

Waanzilishi wa Instagram Wajiondoa

WAANZILISHI wa mtandao wa Instagram wametangaza wiki chache zijazo watajiondoa kabisa kujishughulisha na kampuni hiyo na kubaki kama watumiaji wengine...

READ MORE

Modric Mchezaji Bora wa Fifa 2018, Awashinda Ronaldo, Salah

Luka Modric raia wa Croatia anayecheza soka na klabu ya Hispania ya Real Madrid, amebeba tuzo ya Mchezaji Bora wa...

READ MORE

MAMISI KUVAMIA GEMU LA MUZIKI SABABU HIZI !

KWA miaka ya hivi karibuni tumekuwa tukiona warembo wengi wa kike wakijiingiza katika kuuza nyago ‘video queen’ kwenye video za...

READ MORE

DAYNA AJUTA SAFARI ZA ULAYA

 HITMAKER wa Ngoma ya Salama, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema kuwa, anajuta kusafiri Ulaya kwani kumemfanya kurudi upya kwenye gemu...

READ MORE

KUJIFICHA KWAMPA HESHIMA BATULI

STAA wa sinema za Kibongo mwenye mvuto mbele ya kamera, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amevunja ukimya kwamba, kutoonekana kwake muda mrefu...

READ MORE