×

Global TV Online

Mtanzania Atelekezwa India, Aomba Msaada wa Matibabu – Video

Halima Kaisi ni Mtanzania aliyejipata kwenye hali ngumu nchini India baada ya kushawishiwa na mwanaume aliyekuwa mpenzi wake kwamba angemtafutia...

READ MORE

Wasifu Wa Job Ndugai: Kuzaliwa, Elimu, Kujiingiza Kwenye Siasa Hadi Kifo – Video

Aliyewahi kuwa Spika na aliyekuwa Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia, leo Agosti 6, 2025, taarifa ya Spika...

READ MORE

Bulaya na Matiko Waangushwa Mara Wabunge Wanaotetea Nafasi Zawaacha Mbali

Waliokuwa wabunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kisha kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ester...

READ MORE

Ng’wasi, Jesca Magufuli Wapata Nafasi ya Uwawakilishi wa Vijana Bungeni – Video

Msimamizi wa uchaguzi wa Viti Maalum kupitia kundi la UVCCM Bara na Zanzibar watakaowakilisha Vijana kwenye Bunge la Tanzania, leo...

READ MORE

Rais Samia Afungua Kituo Cha Biashara Na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 1, 2025, amefungua rasmi Kituo cha Biashara...

READ MORE

Kikwete Ampongeza Rais Samia kwa Mafanikio Makubwa ya Miundombinu – Video

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amepongeza jitihada kubwa na mafanikio makubwa ya Rais...

READ MORE

January Makamba Atoa Kauli ya Amani Baada ya Kutoteuliwa – Video

Mbunge wa Bumbuli anayemaliza muda wake na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), January Makamba, amesema amekubaliana na uamuzi...

READ MORE

CCM Yapitisha Eric Shigongo Kura za Maoni Ubunge Buchosa – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaowania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia chama hicho,...

READ MORE

CCM Yatoa Orodha ya Wagombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025, Majina Yapo Hapa Majimbo Yote – Video

Dodoma, Julai 29, 2025 – Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha...

READ MORE

Wanachama 11 Chadema Wakamatwa Na Polisi, Kamanda Afunguka – Video

Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa limewakamata wanachama 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa tuhuma za kufanya...

READ MORE

Ajali Mbeya: Magari 5 Yapata Ajali, Mmoja Afariki Dunia, Mashuhuda Wasimulia – Video

Wakati taifa bado linaomboleza vifo vya wanafunzi sita waliopoteza maisha kwenye ajali ya hivi karibuni huko Chunya, mkoa wa Mbeya...

READ MORE

Mama Mjamzito Apoteza Makazi Magomeni, Afunguka Mazito – Video

Katika hali isiyotarajiwa, nyumba ya familia ya Mzee Kombo Mkabala iliyopo Mtaa wa Idrisa, Magomeni jijini Dar es Salaam, imevunjwa...

READ MORE

CCM Yapitisha Marekebisho ya Katiba kwa Kishindo – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiongozwa na Mwenyekiti wake Dkt. Samia Suluhu Hassan, kimepitisha kwa kishindo marekebisho ya Katiba yake ya...

READ MORE

Brigitte Macron Apambana na ‘Uongo wa Mtandaoni’ Katika Mahakama ya Marekani

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe Brigitte Macron wamefungua kesi ya madai ya kashfa dhidi ya Mwanaharakati kutoka Marekani,...

READ MORE

CCM Yaitisha Mkutano Mkuu Maalumu Kesho kwa Njia ya Mtandao, Makalla Afafanua – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi kuitisha Mkutano Mkuu Maalumu utakaofanyika kesho Jumamosi, Julai 26, 2025, kwa njia ya mtandao....

READ MORE

Watumishi Wawili wa TRA Wafariki Katika Ajali Geita

Watumishi wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamefariki dunia Julai 20, 2025, saa 4 usiku, katika ajali ya gari...

READ MORE

Waziri Ulega Akutana Na Mtoto Ridhiwani Mwenye Kipaji Cha Ujenzi – (Picha +Video)

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amekutana na mtoto Ridhiwani Martin Asheri mwenye umri wa miaka 13 kutoka Kibaigwa mkoani Dodoma,...

READ MORE

TAHARUKI KILINDI: Mwili wa Mzee Wenye Umri wa Miaka 85 Wafukuliwa, Kichwa Chatoweka – Video

Wananchi wa Kijiji cha Mgela, kilichopo wilayani Kilindi mkoani Tanga, wamekumbwa na taharuki baada ya mwili wa marehemu, ambaye ni...

READ MORE

Mchambuzi: Simba Kupoteza Zimbwe JR Ni Pigo Kubwa – Video

Mchambuzi wa soka nchini, Thomas Mushi, amesema kuwa iwapo mlinzi tegemeo wa Simba SC, Zimbwe JR, ataondoka kwenye kikosi hicho,...

READ MORE

Makalla: Uteuzi wa Wagombea CCM Kufanyika Mwisho wa Julai – Video

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amesema maandalizi ya mchakato wa uchaguzi ndani...

READ MORE

Polisi Wachunguza Tukio la Utekaji na Urejeo wa Mwanamke Bahari Beach

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeeleza kuwa limepokea taarifa za kutekwa na kurejeshwa kwa mwanamke aliyejitambulika...

READ MORE

Sadi Mtangi Ahukumiwa Miaka 60 Jela Kwa Makosa Ya Kubaka Wanafunzi – Video

Mahakama ya Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga, Julai 17, 2025 imemhukumu Sadi Mtangi, mkazi wa Maramba, kifungo cha miaka 60...

READ MORE

Rais Mstaafu JK Ampongeza Rais Samia Kwa Dira 2050 Na Uongozi Mahiri – Video

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Azindua Dira Ya Taifa Ya Maendeleo 2050, Dodoma – (Video +Picha)

Dodoma, Julai 17, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa serikali ya...

READ MORE

Luiza Mosha Afunguka: Rafiki Anaweza Kukushangaza kwa Maumivu – Video

Mjasiriamali mwanadada maarufu, Luiza Mosha, ametoa angalizo kwa jamii kuhusu umakini katika kushiriki siri binafsi na marafiki. Akizungumza kupitia kipindi...

READ MORE

Kesi Ya Uhaini Ya Tundu Lissu Yaahirishwa Hadi Julai 30, 2025 – Video

Dar es Salaam, Julai 15, 2025 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA,...

READ MORE

Lissu: Sitaki Huruma ya Mahakama, Nataka Haki ya Kikatiba – Video

Dar es Salaam, Julai 15, 2025 – Kesi ya uhaini inayomkabili mwanasiasa na wakili maarufu nchini, Tundu Antiphas Lissu, inatarajiwa...

READ MORE

Mo Dewji Atoa Tamko Zito Kuhusu Simba -”Kusema Sitoi Hela Ni Fitina Nimewekeza Bilioni 87″ – Video

Mwekezaji maarufu na Rais wa heshima wa klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji (Mo), amevunja ukimya kwa kutoa ufafanuzi mzito...

READ MORE

Makalla: Tumeisoma Barua ya Polepole Mtandaoni, Lakini Bado Ni Mwanachama wa CCM – Video

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA. Amos Makalla, amesema kuwa taarifa ya kujiuzulu kwa...

READ MORE

Makalla: Hakuna Mtia Nia Aliyeenguliwa CCM, Mchakato Bado Unaendelea – Video

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo . akiongea na Wandishi wa Habari leo...

READ MORE

Mchungaji Mfupi Leonard Afunga Ndoa Ya Kihistoria Na Mrembo Mrefu Eliza- Video

Mchungaji Leonard alivyomtambulisha mke Eliza nyumbani mara baada ya kufunga ndoa takatifu jana Julai 12, 2025 katika Kanisa la Pentekoste...

READ MORE

RC Chalamila: Udhibiti wa Showroom Holela Kuimarishwa Dar – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema atatoa maelekezo kwa Wakuu wa Wilaya kuhakikisha wanadhibiti ufunguaji holela...

READ MORE

Wachumba Waliotrendi, Mrefu Na Mfupi Watangaza Ndoa Ya Kihistoria – Video

Ukiambiwa mapenzi ya kweli bado yapo, usibishe! Hili hapa ni mfano hai wa penzi la dhati na la kuponya roho....

READ MORE

Mnyika Awashauri Waliofungua Kesi Mahakamani Kuifuta – Video

Kaimu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amewataka wale waliokishtaki chama hicho kuhusiana na uwepo...

READ MORE

Gari Lililobeba Maiti Lapinduka Na Kuua Watu Wawili Na Kujeruhi Wengine Morogoro, Kamanda Aeleza – Video

JESHI la Polisi mkoani Morogoro limemkamata Mohammed Said Kisukari (43), dereva, mkazi wa Kimara, Mkoani Dar es salaam kwa kosa...

READ MORE

Aunty Ezekiel Afunguka Sababu ya Kwenda Bodi ya Filamu – Video

Msanii maarufu wa filamu nchini Tanzania, Aunty Ezekiel, amejitokeza leo Alhamisi Julai 10, 2025 katika ofisi za Bodi ya Filamu...

READ MORE

Msanii Lumole Matovolwa Aeleza Chanzo cha ‘Jobless wa Taifa’ – Video

Msanii wa filamu nchini, Lumole Matovolwa almaarufu Big au Kobisi Kikala, amefunguka kupitia Global TV na kufichua kuwa jina lake...

READ MORE

Said Mrisho: Nilitobolewa Macho, Nikachomwa Visu, Lakini Haki Yangu Haijatimia – Video

Kijana Said Mrisho, ambaye miaka tisa iliyopita alinusurika kifo baada ya kufanyiwa ukatili mkubwa wa kutobolewa macho na kuchomwa visu...

READ MORE

DCEA Yatangaza Vita Dhidi ya Usafirishaji wa Dawa za Kulevya Kupitia Maiti – Video

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema imegundua mbinu mpya na ya kushtua inayotumika kuingiza dawa...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lamshikilia Mwanaume Kwa Mauaji ya Mpenzi Wake – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Isaya Kastam, mkulima na mkazi wa Kwa Mfipa, kwa tuhuma za mauaji ya...

READ MORE