×

Habari

Pichaz: Harmony of the Seas Ndiyo Meli Kubwa Zaidi Duniani

Owner: Miami-based Royal Caribbean International Ordered: December 2012 Builder: STX France, Saint-Nazaire Construction time: 32 months Cost: £800million Decks: 18...

READ MORE

Kassim Majaliwa Akutana na Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, Uingereza

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana  na Balozi wa Tanzania  nchini Uingereza, Dkt. Asha – Rose  Migiro kabla ya mazungumzo...

READ MORE

Kafulila Ashindwa Kesi Ya Uchaguzi Kigoma

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR). Mahakama Kuu Kanda ya Tabora yatupilia mbali Kesi ya kupinga matokeo ya...

READ MORE

Naibu Waziri Kigwangala Azungumzia vipodozi feki

Wiki iliyopita tuliwaletea maswali na majibu ya Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Khamisi...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aondoka London Kurejea Nchini

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na wafanyakazi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London wakati alipoondoka kwenye...

READ MORE

Watuhumiwa Ubakaji Morogoro Wakamatwa, Wahojiwa!

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu. Mwandishi Wetu, Morogoro WATUHUMIWA wawili Zuberi Thabiti (30) na...

READ MORE

Wasiwasi wa Bomu Wawakumba Abiria wa Ndege ya Kwenda Manchester

Abiria wametakiwa kuondoka kwa dharura kutoka kwenye Ndege ya Shirika la Ryanair iliyokuwa safarini kuelekea Manchester, Uingereza kutokana na tishio...

READ MORE

Mauaji ya Watu 7 Sengerema… 12 Wakamatwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi. Siku chache baada ya watu saba wa familia moja kuuawa kwa mapanga...

READ MORE

Video: Nape Afafanua Suala la Kurusha Live Vipindi vya Bunge

Sehemu ya Majumuisho ya Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akitolea ufafanuzi...

READ MORE

Bunge Laahirishwa Kupisha Mapitio ya Hotuba ya Upinzani Iliyozuiliwa

Godbless Lema Hotuba ya Godbless Lema, Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya...

READ MORE

Baba, mama wagombea maiti ya mtoto wao!

  Baba akiwa pembeni ya maiti ya mwanaye. STORI: DUSTAN SHEKIDELE, WIKIENDA MOROGORO: Mzozo mkali umeibuka kati ya baba aliyejulikana kwa jina la...

READ MORE

Zijue njia 10 za kuwa tajiri kama Dangote

Alhaji Aliko Dangote. BARANI Afrika kuna mtu anayetajwa kuwa tajiri namba moja akiwa na kitita cha Dola za Kimarekani bilioni 15.4 (zaidi ya Sh. trilioni...

READ MORE

Makonda: Wanawake Ndiyo Chanzo Cha Ufisadi Nchini

RC Makonda akizungumza na wananchi wa Vingunguti. Wananchi wakimsikiliza RC Makonda.   Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul...

READ MORE

Shambulio la kujitoa mhanga laua 14 Iraq

Sehemu ya kiwanda cha gesi ikiteketea baada ya shambulio hilo. Takribani watu 14 wamepoteza maisha huku zaidi ya 20 wakijeuhiwa...

READ MORE

Machinjio ya Vingunguti Kufunguliwa Kesho

Machinjio ya Vingunguti yaliyofungwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini (TFDA) kwa zaidi ya mwezi mmoja yanatarajiwa kufunguliwa siku...

READ MORE

Mkenya Adandia Helikopta na Kuning’inia, Apaa nayo Angani

Mwanamme mmoja katika Mji wa Bungoma, Magharibi mwa Kenya ameshangaza ulimwengu baada ya kudandia helikopta ambayo ilipaa angani na kuondoka...

READ MORE

Ruvuma: RC Aachunguza Kifo cha Mlinzi

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma (RC), Benson Mpesya. Stori: Stephano Mango, RISASI JUMAMOSI Ruvuma: Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma...

READ MORE

JPM Alivyofanya Ziara ya Kushtukiza Uwanja wa Ndege Dar

Rais John Pombe Magufuli akitoa maelekezo alipofanya ziara ya kushtukiza katika kitengo cha ukaguzi wa mizigo na abiria kwenye uwanja wa ndege...

READ MORE

Magufuli Azungumza na Museveni Uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 12 Mei, 2016 amefanya mazungumzo na Rais...

READ MORE

Wizara Yatoa Tamko Kuhusu Mauaji ya Wanafamilia 7 Mwanza

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto imesikitishwa na tukio la mauaji ya watu saba wa familia...

READ MORE

Sumaye ameteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu Chadema

 Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye. Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ameteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha...

READ MORE

JPM Aondoka Kampala… Kurejea Tanzania

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono Kikundi cha ngoma za asili cha Entebe...

READ MORE

Kassimu Majaliwa Akutana na Viongozi Mbalimbali, London Uingereza

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Augustine Mahiga...

READ MORE

Updates: Msiba wa Ankal Issa Michuzi

Assalaam aleikum, Familia ya Ankal Issa Michuzi iliyopatwa na msiba wa kuondokewa na Mtoto wa Ankal, Maggid Muhidin aliefariki Jumapili...

READ MORE

Museveni Aapishwa Kuwa Rais wa Uganda

Rais Yoweri Musevei baada ya kuapishwa. Yoweri Museveni leo ametawazwa rasmi kuwa Rais mpya wa Uganda kwa muhula wa tano...

READ MORE

Watano waingia kwenye fainali za Airtel Trace Music Stars

Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde (wa pili kulia) akimpongeza  Nandi Charles mmoja ya  kati ya washiriki waliochaguliwa kuingia...

READ MORE

Besigye Akamatwa kwa Kujiapisha Kuwa Rais wa Uganda

Taharuki imetanda nchini Uganda baada ya kiongozi wa upinzani Dr Kizza Besigye, ”kujiapishwa kama rais” siku moja tu kabla ya...

READ MORE

Gari la STK lazua Kizaazaa Gereji Moro

MOROGORO: Katika hali isiyokuwa ya kawaida, gari moja lenye namba za usajili za aina mbili ikiwemo ya serikali ya STK...

READ MORE

Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza

Wapenzi wasomaji na wadau wa tovuti hii tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza katika kipindi ambacho hatukuwa hewani kutokana na...

READ MORE

Mwili wa Papa Wemba Wawasili DRC

Kinshasa, Kongo Mamia ya watu wamekusanyika leo nje ya Uwanja wa Ndege wa Kinshasa nchini Kongo wakisubiri mwili wa mwanamuziki...

READ MORE

Trump ni Miongoni Mwa Watu 100 Wanye Ushawishi Mkubwa Duniani

Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong un RAPA maarufu wa Marekani Nicki Minaj, rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong un,...

READ MORE

Rais JPM atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji TIC

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki. ==>Rais John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

Maria Nyerere atembelea daraja la Kigamboni

  Mama Maria Nyerere, Mjane wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Baba wa Taifa Mwalimu Julius...

READ MORE

Kigogo TRA, Miss Tz Wafutiwa Shtaka la Utakatishaji Fedha

Kamishna Mkuu Mstaafu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya (katikati) sambamba na waliokuwa wafanyakazi wa Benki ya StanBic...

READ MORE

Vituko 10 visivyosahaulika vya Lucy Kibaki

Mwaki Kibaki akiwa na mkewe Lucy Kibaki enzi za uhai wake.  IJUMAA iliyopita uvumi ulienea kuhusu mahali alikokuwa Mama Lucy Kibaki,...

READ MORE

JPM Awaapisha Makatibu Tawala Wapya wa Mikoa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha Makatibu Tawala wapya kumi aliowateua tarehe 25 Aprili,...

READ MORE

Airtel Wakishiriki Kujenga Ofisi ya Walimu Mbezi Juu Primary

Wafanyakazi wa Airtel Tanzania, kitengo cha Fedha na Manunuzi wakishiriki katika ujenzi wa ofisi ya walimu ililojengwa kwa hisani ya...

READ MORE

NMB Yasaidia Vilabu vya Waandishi wa Habari

Mkurugenzi wa NMB – Ineke Bussemaker akiweka saini kwenye kitabu cha wageni ofisini kwa mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za...

READ MORE