×

Habari

Waziri Mbarawa awasimamisha kazi watendaji 4

Waziri wa uchukuzi na mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amewasimamisha kazi watendaji 4 wa kampuni ya huduma za meli Mwanza kutokana...

READ MORE

Uchaguzi Zanzibar kurudiwa Machi 20

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza tarehe ya marudio ya...

READ MORE

Waziri wa Afya Azindua Duka la MSD, Mwanza‏

 WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto. Umy Mwalimu (kulia), akihutubia wakati akizindua rasmi duka la Dawa...

READ MORE

Kilimanjaro Marathon 2016 yazinduliwa Moshi

Mkuu wa Wilaya ya Moshi Novatus Makunga akizindua rasmi mbio za Kilimanjaro Marathon 2016 Mjini Moshi. Wengine ni wadhamini wakuu...

READ MORE

Picha: Rais Magufuli Avaa Sare za Jeshi Akiwa Arusha

Amiri Jeshi Mkuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wananchi wa Arusha Mjini...

READ MORE

Kamati za Kudumu za Bunge Zatangazwa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Ziara ya Rais Magufuli Mkoani Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa KIA...

READ MORE

SSRA kutumia mfumo wa kielekroniki kupokea malalamiko

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Utafiti ,Tathimini na Sera, Ansgar Mushi, Ofisa wa Tehama, Ernest Masaka na Ofisa Uhusiano, Agnes...

READ MORE

NMB na John Deere wasaini makubaliano Kusaidia Wakulima Nchini

Dar es Salaam – Januari 21, 2016: Kampuni maarufu kwa uuzaji wa matrekta duniani ya John Deere imeingia makubaliano na...

READ MORE

Wajumbe Kamati za Kudumu za Bunge Kupatikana Leo

Ofisi ya Bunge inapenda kuwafahamisha Waheshimiwa Wabunge na Wananchi kwa ujumla kuwa, uteuzi wa wajumbe wa Kamati za Kudumu za...

READ MORE

Etihad Latoa Msaada Kituo cha Watoto Jinja, Uganda

Shirika la ndege la Etihad limezindua rasmi mpango wake wa kuzifikia jamii nchini Uganda ambapo wametoa misaada ya tiketi za...

READ MORE

TCRA Yavifungia Vituo 27 vya Radio na Televisheni

Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy. MAMLAKA ya Mawasiliano TCRA imevifungia vituo 21 vya Radio na 6...

READ MORE

Al Qaeda Yashambulia Burkina Faso

Mabomu yakilipuka kwenye hoteli ya Splendid mjini Ouagadougou. Ouagadougou, Burkina Faso Takriban mateka 30 wameokolewa baada ya wapiganaji kushambulia hoteli moja katika Mji...

READ MORE

Rais Magufuli Amfukuza Kazi Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi na kumfukuza kazi Katibu Tawala wa Mkoa...

READ MORE

Matokeo Kidato cha Pili 2015 Haya Hapa

Bofya hapa kusoma matokeo====>bit.ly/1n5HK8w

READ MORE

Halima Mdee ashinda kesi ya uchaguzi

Mbunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee leo ameshinda kesi ya...

READ MORE

Mabaharia Watinga Wizarani Kudai Mikataba

Wanajumuiya hiyo walivyojikusanya katika eneo hilo.Wanajumuiya ya Mabaharia wakiwa wamesimama ndani ya geti la Wizara ya Uchukuzi jijini Dar, leo....

READ MORE

Mume wa Celine Dion Afariki Dunia

Celine Dion na mumewe Rene Angelil enzi za uhai wake. Las Vegas, Marekani Rene Angelil, mume wa mwanamuziki mashuhuri duniani Celine...

READ MORE

Waliomuozesha Mtoto wa Miaka 13, Shinyanga Kutiwa Mbaloni

(PRESS RELEASE) WIZARA YAAGIZA KUKAMATAWA KWA WALIOMWOZESHA MTOTO WA MIAKA 13 WILAYA YA KISHAPU, MKOA WA SHINYANGA WIZARA ya Afya,...

READ MORE

Kesi ya Bomoabomoa Dar yawakusanya waathirika mahakamani

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar waliobomolewa nyumba zao zilizokuwa mabondeni wakiwa nje ya Mahakama Kuu ya Ardhi jijini...

READ MORE

Polisi, Yono Watanda Majembe Auction Mart

Hali ilivyokuwa nje ya Makao Makuu ya Kampuni ya Majembe Auction Mart jijini Dar. Jengo la Majembe Auction Mart lililopo...

READ MORE

Milipuko ya Mabomu Yaua Watu Zaidi ya Saba Indonesia

Jengo la mgahawa wa Starbucks Coffee lililopo Mji Mkuu wa Indonesia, Jakarta ambapo mabomu hayo yamelipuliwa mapema leo. Milipuko ya...

READ MORE

Kamanda Sirro: Tumekamata Majambazi na Tunaendelea Kukamata!

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro akionesha baadhi ya silaha zilizokamatwa.Kamanda Sirro akionesha bastola zilizokamatwa...

READ MORE

Akamatwa na vipande 8 vya meno ya tembo Katavi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa Katavi Dhahiri Kidavashari akiwa ameshika meno ya Tembo aliyokamatwa nayo mtuhumiwa Nzuri Ndizu mkazi wa Kijiji...

READ MORE

Anusurika kifo kwa kuanguka kutoka ghorofani na kuchomwa na nondo

Mtoto Aman Vishwakarma akipatiwa matibabu. Uttar Pradesh, India MTOTO wa miaka 10, Aman Vishwakarma amenusurika kifo baada ya kuanguka kutoka ghorofa...

READ MORE

Mahakama Kuu Yatoa Msaada kwa Mahabusu Watoto, Dar

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mahakama Kuu ya Tanzania Bw. Nurdin Ndimbe (kushoto) akimkabidhi Afisa Mfawidhi wa Mahabusu...

READ MORE

CCM Yaomba Radhi Kutokana na Maneno ya Kibaguzi Kwenye Bango, Z’bar

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye moja ya Bango lililobebwa na mmoja...

READ MORE

Edward Mordrake; Binadamu Mwenye Sura Mbili

Edward Mordrake CHEKI VIDEO YAKE NI vigumu kuamini lakini ndiyo ukweli ulivyo!  Edward Mordrake ni Mwingereza mashuhuri wa karne ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amjulia hali Sumaye

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kushoto) wakizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amnaye amelazwa katika hospitali ya...

READ MORE

Watu 331 wafariki dunia mkoani Mbeya kwa ajali za barabarani 2015

Jumla ya watu 331 wamepoteza maisha kutokana na ajali za barabarani mkoani Mbeya katika kipindi cha mwaka 2015 ikiwa ni...

READ MORE

Watu 10 Wauawa Kwa Bomu Istanbul, Uturuki

Miili ya marehemu ikiwa chini baada ya shambulio hilo lililotokea mapema leo huko Istanbul, Uturuki.Jeshi la Polisi wakiimarisha ulinzi.Mji wa Istanbul...

READ MORE

Polisi wa Usalama Barabarani, Vodacom Watoa Elimu Kwa Madereva

Msaidizi Mkaguzi Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wa Wilaya ya Mtwara (DTO) Ahmed Mutabuzi (wapili toka kushoto) akiwakiwaelimisha madereva...

READ MORE

CUF yakataa kurudia uchaguzi Zanzibar (Picha + Video)

VIDEO Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamadi (Cuf), akisoma taarifa yake mbele ya wanahabari (hawapo pichani) katika mkutano...

READ MORE

Hospitali ya Tumbi Yanufaika na Msaada wa Vodacom Foundation

Madaktari na Wafanyakazi wa Shirika la Elimu Kibaha, Mkoa wa Pwani wakiwa kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa vifaa vya kuwasaidia...

READ MORE

Rais Magufuli Amfariji Mama Maria Nyerere Kwa Kufiwa na Mkwewe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Mama Maria Nyerere kufatia kufiwa na Mkwe...

READ MORE

Wizara Ya Afya Yatoa Tathimini Kuhusu Ugonjwa Wa Kipindupindu

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Khamis Kigwangala (kushoto) akisoma ripoti hiyo mbele ya...

READ MORE

Kesi ya Kiwia Kupinga Matokeo ya Uchaguzii Ilemela Yafutwa

Hyness Kiwia Agrey Laban ambae ni Katibu wa Highness Kiwia akizungumza na Wanahabari nje ya Mahakama. Mutabanzi Julius Lugaziya ambae...

READ MORE