×

Habari

REA Kusambaza Mitungi ya Gesi 13,020 Kwa Bei ya Ruzuku Shinyanga

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaendelea kutekeleza Mradi wa usambazaji wa mitungi ya gesi ya kilo 6 kwa bei ya...

READ MORE

Rc Chalamila Asimama Kutoa Tamko Zito La Dar, Atoa Maagizo Kwa Viongozi, Mauaji Ya Ali Kibao – Video

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka Watanzania kuwa wavumilivu na watulivu kuhusiana na suala la mauaji...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Maendeleo Ya Mradi Wa Maji Kisesa, Mwanza

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Desemba 21, 2024 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi na kukagua maendeleo ya ujenzi wa...

READ MORE

Tazama Kisiwa Cha Ajabu Kusini Unguja, Kuna Kaburi La Mama Na Mwanaye Tu – Video

Kaburi la ajabu linalotambulika kwa jina la Kaburi la Mwanakuya lililopo Kisiwa cha Nyamembe Kusini Unguja limekuwa ni moja ya...

READ MORE

Ujenzi wa Stendi ya Mabasi Kijiji cha Lundusi, Songea Wafikia Asilimia 78

Ruvuma: Mradi wa Ujenzi wa Stendi ya mabasi unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) katika Kijiji cha Lundusi wilayani...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi Awavisha Nishati Majenerali, Maafisa na Askari JWTZ

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Mhe Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi kwenye mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Jimbo Busega

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...

READ MORE

Wanafunzi wa DIT, CBE Waomba Ujenzi Eneo la Kuingia Lango Kuu la Chuo Kukamilika Haraka

Wanafunzi wanaosoma katika Chuo Cha Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) pamoja na Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya...

READ MORE

IGP Afanya Mabadiliko kwa Wakuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Camillus Wambura amefanya mabadiliko madogo kwa Wakuu wa Kikosi cha Usalama barabarani, lengo...

READ MORE

Bashungwa Awajulia Hali Majeruhi Ajali Biharamulo, Abiria 11 Wapoteza Maisha Na Majeruhi 16

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amefika eneo ilipotokea ajali ya basi la abiria lenye namba za...

READ MORE

Bofya Hapa Kuona Orodha Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2025

JUMLA ya Wanafunzi 974,332 wakiwemo Wasichana 525,225 na Wavulana 449,107 ikijumuisha wanafunzi wenye mahitaji maalum 3,067 ambapo wasichana 1,402 na...

READ MORE

RC Chalamila Akutana na Wadau Mbalimbali wa Biashara Katika Eneo la Kariakoo na Taasisi Mbalimbali

-Wajadili hali ya usalama katika Soko la Kariakoo. -Aeleza dhamira ya Mkoa kuwa na mpangilio mzuri wa wafanyabiashara katika eneo...

READ MORE

Inahuzunisha: Mama Mzazi Wa Martha Mwaipaja Amwaga Machozi Akiongea na Global TV- Video

Mama mzazi wa staa wa Gospel, Martha Mwaipaja amefunguka kupitia Global TV mkasa mzima kumhusu binti yake huyo kwa uchungu...

READ MORE

Freeman Mbowe: Nitagombea Nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA – Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema atagombea nafasi ya Uenyekiti wa chama hicho ambao amekuwa akihudumu kwa takriban miaka 20....

READ MORE

Daktari Dar Ajishindia Mil. 100/- za Fainali NMB Bonge la Mpango

MSIMU wa Nne wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde ulioendeshwa na Benki ya NMB ‘NMB Bonge la Mpango –...

READ MORE

Jengo Laangushwa Kariakoo, Mmoja Wa Wamiliki Afunguka Sababu – Video

Katika hali isiyo ya kawaida wamiliki wa mojawapo ya jengo la biashara lililopo eneo la Aggrey na Msimbazi, Kariakoo wameamua...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Rasmi Tuzo Za Utalii Na Uhifadhi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua rasmi tuzo za uhifadhi na utalii na kusisitiza kuwa Serikali itendelea kubuni mikakati ya kuimarisha...

READ MORE

Tahadhari Yatolewa Dhidi ya Safari za nje ya Mtandao kwa Madereva na Abiria Msimu Huu wa Sikukuu

Daresalaam, Tanzania, Tarehe 18 Desemba 2024: Jukwaa linaloongoza kwa huduma ya usafiri nchini Tanzania Bolt, limetoa tahadhari kali kwa abiria...

READ MORE

Balozi Nchimbi Awasili Nzega, Azindua Ukumbi wa Mikutano

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili na kupokelewa Wilaya ya Nzega, leo Ijumaa...

READ MORE

TGNP Yaendesha Kongamano la Wanawake na Uongozi Jijini Dar es Salaam

Mtandao wa Jinsia nchini (TGNP) imefanya Kongamano la wanawake na Uongozi Leo Desemba 18,2024, jijini Dar-es-Salaam ambapo Kauli mbiu ya...

READ MORE

Mfalme Aliyelaaniwa Misri | The Cursed King Kasino Bomba Ndani ya Meridianbet

Kupitia Meridianbet utakutana na mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoelezea kisa cha Farao aliyelaaniwa kwa matendo yake, unachopaswa kufanya ni...

READ MORE

Putin Yupo Tayari kwa Maridhiano na Ukraine, Ataka Mazungumzo na Trump

  Rais wa Russia, Vladimir Putin, Alhamisi amesema yuko tayari kuafikiana kuhusu Ukraine katika mazungumzo yanayowezekana chini ya Rais-mteule wa...

READ MORE

Samwel Welwel Ashinda Mwenyekiti wa Kanda akichukua nafasi ya Lema

Usiku wa kuamkia leo Disemba 20, 2024 matokeo ya uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwa Kanda ya...

READ MORE

Katibu Mkuu Kazi Awafunda Watumishi wa OSHA Masuala ya Kiutendaji

Watumishi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) wametakiwa kuzingatia weledi katika kutekeleza jukumu lao la msingi...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Awasili Tabora Kwa Ajili ya Ziara ya siku Mbili

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili mkoani Tabora kwa ajili ya ziara ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Samia kuaga mwili wa marehemu John Billy Tendwa Viwanja vya Karimjee

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Desemba 19, 2024 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye kuaga mwili wa marehemu John...

READ MORE

TFF Yamfungia Miaka Mitano Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha DRFA

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano kujihusisha na mpira wa miguu Mwenyekiti...

READ MORE

Lipumba Aibuka Kidedea Uchaguzi Mkuu CAF

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa Prof. Ibrahim Lipumba ametetea tena nafasi yake baada ya kuibuka kidedea kwa mara...

READ MORE

Mchengerwa: Wakuu Wa Mikoa Na Wilaya Mdhibiti Tabia Ya Wananchi Kuchukua Sheria Mikononi – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na...

READ MORE

#Exclusive Video: Lissu Achafua Hali Ya Hewa, Awavaa Kina Mdee, Chadema Kugawanyika

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo amefanya mahojiano na Kipindi cha Frontpage cha Global...

READ MORE

HopeSprout Watoa Msaada katika cha Zaidia Orphanage cha jijini Dar

Shirika la HopeSprout ambalo linajishughulisha na kutoa misaada kwa Makundi Mbalimbali ya wasiojiweza kupitia mpango wake unaolenga katika elimu, huduma...

READ MORE

Polisi Wawili Wauawa kwa Risasi Dodoma

Askari Polisi wawili wa wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma, wamefariki dunia usiku wa kuamkia Desemba 18, 2024, katika majibizano ya risasi...

READ MORE

Bashungwa Atoa Maagizo Kwa AGP, Wambura Kuelekea Sikukuu za Mwisho wa Mwaka

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura kulisimamia...

READ MORE

Rais Dkt.Samia ateua Mkurugenzi Mkuu wa NIDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua James Wilbert Kaji kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka...

READ MORE

Washindi wa Magift ya Kugift Droo ya 6, Leo Vicheko Kama Vyote

Dar es Salaam, 20 Desemba 2024:  Watumiaji wa mtandao wa simu wa Yas kupitia Kampeni yake inayoendelea ya Magift ya...

READ MORE

Wananchi wa Mdunduwalo Washukuru TASAF Kuwakamilishia Ujenzi wa Zahanati

Wananchi wa Kijiji cha Mdunduwalo kilichopo Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoani Ruvuma wameushukuru Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF)kwa kukamilisha...

READ MORE

Mbowe Aomba Saa 48 Atoe Maamuzi ‘Sitaki Kwenda Kwenye Vita Ya Kukipasua Chama’ – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe amefunguka na kueleza kuwa apewe saa 48 kwa ajili ya...

READ MORE

Jengo la Huduma ya Chanjo ya Mama na Mtoto Uliofanywa na Tasaf Ulivyoboresha Huduma

UJENZI wa Jengo la kutolea huduma ya chanjo ya mama na mtoto uliofanywa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)...

READ MORE

Benki ya Absa Tanzania Yakamilisha Kampeni ya Kusisimua ya Spend & Win kwa Droo ya Mwisho na Hafla ya Kukabidhi Gari

Benki ya Absa Tanzania imehitimisha rasmi Kampeni yake ya “Spend & Win” kwa mafanikio makubwa, kupitia droo ya tatu na...

READ MORE

Papa Francis Afichua Jinsi Alivyonusurika Kuuawa Kwenye Ziara Yake Nchini Iraq

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amefichua jinsi alivyonusurika kuuawa katika mtego aliokuwa ameandaliwa jijini Baghdad, Iraq alipofanya ziara...

READ MORE