×

Habari

Rais Samia Apokea Tuzo Ya Gates Goalkeeper Award, Hyatt Regency – (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akipokea Tuzo ya Gates Goalkeeper Awards Hyatt Regency Hotel...

READ MORE

Jeshi La Afrika Kusini Halitajitoa DRC

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameahidi kuendelea kuisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) licha ya wananchi wa Afrika...

READ MORE

Wanafunzi wawili Walijiteka na Kuomba Fedha Kwa Wazazi, Tunawashikilia

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia wanafunzi wawili kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo baada ya...

READ MORE

China Yatangaza kuongeza ushuru wa bidhaa zinazotoka Marekani

Serikali ya China leo, Jumanne Februari 4, 2025, imetangaza kuongeza ushuru wa bidhaa zinazotoka Marekani kwa wastani wa asilimia 10...

READ MORE

Wafanyabiashara Wawili kizimbani kwa kumiliki mijusi 226

WAFANYABIASHARA wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili za...

READ MORE

Waziri Chana Asisitiza Ajenda ya Kulinda Wananchi Dhidi ya Wanyamapori Wakali

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi...

READ MORE

Bolt Yazindua Kipengele cha “Trusted Contacts” Kuboresha Usalama wa Abiria na Madereva

Dar es Salaam, TZ: 5 Februari 2025 – Kampuni ya Bolt imezindua kipengele kipya cha “Trusted Contacts” ambacho kitawawezesha abiria...

READ MORE

Paul Kagame: Sifahamu kama wanajeshi Wetu wako Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema kuwa hajui kama wanajeshi wa nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Museveni Awataka DRC Na M23 Wakutane

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesisitiza umuhimu wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) kufanya mazungumzo ya amani ya moja...

READ MORE

Wananchi, Vikundi vya Kijamii Wete Pemba vyapigwa msasa NMB Kijiji Day

SERIKALI ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, imewataka Wananchi na Vikundi vya Kijamii na Ushirika Wilaya ya Wete, kuitumia vema Elimu...

READ MORE

Watumishi Brela Wasisitizwa Uadilifu na Nidhamu Kazini

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bw. Godfrey Nyaisa amewataka watumishi wa taasisi hiyo...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Akishiriki Maadhimisho Ya Siku Ya Sheria Nchini (Picha + Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini, Viwanja vya...

READ MORE

Arsenal, PSG, Bayern Zatakiwa Kusitisha Visit Rwanda

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imezitaka klabu za Arsenal, Bayern Munich na Paris St-Germain kusitisha mikataba yao ya udhamini...

READ MORE

Musk: USAID Ni Shirika La Kihalifu, Lifutwe

Bilionea Elon Musk, ambaye anaongoza Kitengo cha Ufanisi wa Serikali ya Donald Trump nchini Marekani, amesema kuwa Shirika la Misaada...

READ MORE

Rwanda Yaikubalia SADC Kujadili Mzozo Wa DRC

  Rwanda Jumapili imekubaliana na pendekezo la kufanyika kwa mkutano utakaosimamiwa na SADC na Jumuiya ya Afrika Mashariki kujadili mzozo...

READ MORE

Benki ya Stanbic Yatoa Msaada Kituo cha Watoto Wenye Mahitaji Maalumu Arusha

Benki ya Stanbic Tanzania imekabidhi msaada wa meza 20 kwa kituo cha watoto wanaoishi na ulemavu wa mtindio wa ubongo...

READ MORE

Mchekeshaji Maarufu Wa Tiktok Atembelea Kwao Senegal, Alamba Dili Na UNICEF – Video

Khaby Lame, kijana mwenye asili ya Senegal na mchekeshaji maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa TikTok, ameteuliwa kuwa Balozi Mwema...

READ MORE

Mtanzania Asimulia Alivyoshiriki Uandaaji Wa Filamu Ya Hollywood – Mufasa: The Lion King

Mtayarishaji na mzalishaji wa video na filamu mwenye uzoefu wa muda mrefu nchini Tanzania, Mussa Ally, maarufu kama Kaka Mussa,...

READ MORE

Netanyahu Kukukutana na Trump White House Kuwajadili Hamas

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anatarajiwa kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump katika Ikulu ya White House, Jumanne...

READ MORE

Makalla: Miaka 48 ya CCM Imeleta Mapinduzi Makubwa katika Jamii

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kina mengi ya kujivunia katika kuadhimisha miaka 48 ya chama hicho, kwani kimeendelea kuleta mapinduzi...

READ MORE

Trump Atoa Amri Jeshi Liwapige Magaidi wa Islamic State

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa ni yeye aliyeidhinisha mashambulizi ya anga ya Jeshi la Marekani nchini Somalia jana,...

READ MORE

Walimu 122 Waitwa Kazini Temeke, Mji Kibaha na Kinondoni, Majina Yapo Hapa

Sektretarieti ya ajira imetangaza majina 122 kuingia katika ajira mpya serikalini Februari Mosi 2025. Kwa mujibu wa tangazo hilo lililochapishwa...

READ MORE

Mkuu Wa Shule Ajiua Kwa Sumu Shinyanga, Polisi Wathibitisha – Video

Mkazi wa Kijiji cha Chambo, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Zaharani Patrombeyu (44), ambaye alikuwa mkuu wa Shule ya Sekondari...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 2, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Mlacha Ajishindia Mil. 5 ya Magift ya Kugift Wengine Waondoka na Milioni Milioni

Kampuni ya mtandao wa Mawasiliano ya YAS Tanzania, ikishirikiana na kitengo cha Mixx by Yas ,Leo hii Feb 3  2025,...

READ MORE

Nchimbi:CCM Na PP Kuimarisha Uhusiano wa Tanzania na Ethiopia

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema urafiki kati ya CCM na Prosperity Party,...

READ MORE

Wanafunzi Waliopata Division One St Mary’s Kwenda Kutalii Mikumi

WANAFUNZI 30 wa shule ya St Mary’s Mbezi waliopata daraja la kwanza kwenye matokeo ya kidato cha nne  mwaka huu...

READ MORE

UN: Watu 700 Wameuawa DRC Ndani Ya Siku 5

  Umoja wa Mataifa (UN) umetoa wito wa kukomesha vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano...

READ MORE

Polisi Arusha Washiriki Mazoezi ya Pamoja na Vyombo vingine vya Ulinzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama Mkoani humo leo Februari 01,...

READ MORE

Hamas Yatangaza Kuuawa Kwa Makamanda Wao

  HAMAS, wamethitibisha habari ya kuuawa kwa makamanda wake kadhaa katika mashambulizi ya Israel kwenye eneo lililozingirwa kila upande la...

READ MORE

Meridianbet Yawageukia Mama Ntilie Muhimbili

Ni siku nyingine tena ya Ijumaa ambapo wakali wa ubashiri Meridianbet waliamua kufunga safari na kwenda hadi Muhimbili kwa lengo...

READ MORE

Ajali Nyingine Ya Ndege Marekani Yalipuka Angani

Ndege ndogo ya matibabu aina ya jet, iliyokuwa ikimbeba mtoto mgonjwa, mama yake, na watu wengine wanne, ilianguka katika kitongoji...

READ MORE

Mahakama ya kijeshi Uganda Yapigwa marufuku kusikiliza kesi za kiraia

Mahakama ya juu nchini Uganda imeamuru kesi zote zinazowahusu raia katika mahakama ya kijeshi zisitishwe mara moja kusiskilizwa na zihamishwe...

READ MORE

Jinsi ya Kujua Kiasi cha Maji Kinachofaa kwa Mwili Wako, Soma Hapa

Maji ni msingi wa afya ya mwili. Yana jukumu la kusafisha sumu mwilini, kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kulinda afya ya...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi Zimbabwe (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya...

READ MORE

Binti Aliyepata Scholership India Arudi Na Ugonjwa Mwaka 1 Kabla Ya Kuhitimu – Video

  Ni huzuni kwa Leyla Shabani Mrosa (23), msichana mwenye ndoto kubwa aliyefanya vizuri kwenye masomo hadi kupata scholarship ya...

READ MORE

Mkulima wa Manyara Aliyejishindia Gari na Magift ya Kugift Apelekewa Mpaka Kijijini Kwake

Ibrahim Njeja, mkulima kutoka Manyara, akipiga picha na mke wake baada ya kupokea gari aina ya Kia Seltos aliloshinda katika...

READ MORE

Trump: Mgogoro Wa DRC, Rwanda Ni Tatizo Kubwa

    Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro unaoendelea kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni...

READ MORE

Makalla: Teknolojia Inayotumika Kujenga Skuli za Zanzibar Ipelekwe Bara

Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu CPA Amos Makalla amesema Zanzibar kunajengwa shule au jina...

READ MORE