×

Habari

Kafulila: PPP Yaleta Mapinduzi Makubwa Kwenye Huduma za Hijja Saudi Arabia

Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-Centre, David Kafulila amesema mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) umeleta mageuzi...

READ MORE

Fahamu Sensor Zilizopo Kwenye Gari za Toyota na Matumizi Yake

Magari ya Toyota yana mfumo wa kisasa unaotumia sensa (sensors) mbalimbali ili kuboresha utendaji wa injini, usalama na ufanisi wa...

READ MORE

Mojtaba Khamenei Atoa Onyo Kwa Marekani Kuhusu Vituo vya Kijeshi Mashariki ya Kati

Kiongozi mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, amesema mataifa ya Mashariki ya Kati hayatatumika tena kama ngao za kulinda vituo vya...

READ MORE

Tinubu Ashinda Uteuzi wa APC Kugombea Urais Nigeria 2027

Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, amepata rasmi tiketi ya chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kuwania urais katika uchaguzi...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Afanya Mazungumzo na Rais wa AfDB

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah...

READ MORE

Nmb Foundation, TACAIDS Waunganisha Afya na Uchumi Kupambana na Maambukizi ya VVU

Taasisi ya NMB Foundation na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) zimesaini makubaliano ya utekelezaji wa pamoja wa Mradi wa...

READ MORE

Mama Mzazi wa Hayati Magufuli Kuzikwa Ijumaa Chato, Serikali Kugharamia Mazishi

Mama mzazi wa Hayati John Pombe Magufuli, Bi. Suzana Magufuli, anatarajiwa kuzikwa siku ya Ijumaa katika makaburi ya familia yaliyopo...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Majaji Wa Mahakama Ya Rufani, Awaonya Kutenda Haki – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Majaji wa Mahakama ya Rufani aliowaapisha leo Mei 26,...

READ MORE

Tyla Ang’ara Marekani, Ashinda Tuzo Mbili AMA 2026

Msanii wa Afrika Kusini, Tyla, ameendelea kung’ara kimataifa baada ya kushinda tuzo ya Social Song of the Year kwenye tuzo...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu Akimbizwa Hospitali, Ofisi Yake Yafunguka

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amelazwa kwa muda mfupi katika Hospitali ya Hadassah Ein Kerem mjini Jerusalem usiku kuamkia...

READ MORE

Petra Bay Maysara Yafungua Sura Mpya ya Maisha ya Kifahari Dar

Dar es Salaam, Tanzania — 25 Mei 2026 Mradi wa Petra Bay Maysara ulioendelezwa na Petra Protek Construction na kusimamiwa...

READ MORE

Marekani Yashambulia Boti za Iran Zilizokuwa Zikiweka Mabomu Baharini – Video

 Marekani imefanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran baada ya kudai kugundua vikosi vya Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC)...

READ MORE

Airtel Yachochea Ukuaji wa Biashara Kupitia Huduma za Kidijitali

Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imeendelea kupanua huduma zake za kidijitali baada ya kuzindua maduka mawili mapya ya kisasa...

READ MORE

TRC Yaongeza Usalama wa Reli ya SGR kwa Magari ya Kisasa Yenye Teknolojia ya Laser

Shirika la Reli Tanzania Tanzania Railways Corporation (TRC) limepiga hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kisasa ya Standard...

READ MORE

Rais Samia Aomboleza Kifo Cha Mama Wa Rais Hayati John Pombe Magufuli

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Bi. Suzana Magufuli, mama mzazi wa aliyekuwa...

READ MORE

Yas Yatambulika Miongoni mwa Chapa Zinazofuatiliwa Afrika 2026

Dar es Salaam, 25.05.2026. Kampuni ya mawasiliano ya Yas inayomilikiwa na AXIAN Telecom, imeendelea kupata mafanikio makubwa baada ya kutajwa...

READ MORE

Trump Aanzisha Kampeni Mpya ya Kuunganisha Israel na Mataifa ya Kiislamu

Rais wa Marekani Donald Trump amesema ameziomba nchi kadhaa za Kiislamu na Kiarabu kujiunga na Makubaliano ya Abraham Accords kwa...

READ MORE

Fahamu Dalili Za Ebola Unazopaswa Kuzifahamu Mapema, Shirika la Afya Wafunguka

Ugonjwa wa Ebola ni hatari sana kutokana na kiwango chake cha juu cha vifo na huambukizwa kwa kugusa majimaji ya...

READ MORE

Pugu Boys Yapata Mafunzo ya Maisha, Fedha na Taaluma Kutoka Standard Chartered Tanzania

  Standard Chartered Tanzania, kupitia programu yake ya Kujitolea kwa Wafanyakazi (Employee Volunteering – EV), iliandaa kikao cha ulezi na...

READ MORE

Mama Mzazi wa Hayati Magufuli Afariki Dunia

Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana...

READ MORE

Video: Polisi Wawakamata Raia Wanne wa China Kwa Tuhuma Za Utekaji

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia raia wanne wa China wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la utekaji...

READ MORE

PSRS Yatangaza Nafasi za Kazi 309 – Chuo Ushirika Moshi, TRC, eGA, ARU na Nyingine

Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) imetangaza rasmi nafasi kubwa za ajira 309 katika...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aondoka Nchini Kumwakilisha Rais Samia Congo Brazzaville

WAZIRI MKUU wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameondoka nchini leo Jumatatu Mei 25, 2026 kuelekea Brazzaville, Jamhuri ya Kongo kwa...

READ MORE

Kijana Wa Kitanzania Aibuka Mshindi Mashindano Ya Nyuklia Kimataifa

Kijana mtaalamu kutoka Tanzania, Japhet Matekere, amechaguliwa kuwa mmoja wa washindi wa mashindano ya video ya kimataifa ya “Atoms Empowering...

READ MORE

Vifo Na Maambukizi Ya Ebola Vyaongezeka Mashariki Mwa Dr Congo, Marekani Yatajwa

Maambukizi yanayoshukiwa kuwa ya ugonjwa wa Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameongezeka na kufikia zaidi ya kesi...

READ MORE

Lissu Arudishwa Rumande Baada ya Kuahirishwa kwa Maombi ya Chadema – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amerejeshwa rumande leo Jumatatu, Mei 25, 2026, baada ya mahakama...

READ MORE

Spika wa Bunge Senegal El Malick Ndiaye Atangaza Kujiuzulu

Spika wa Bunge la Senegal, El Malick Ndiaye ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huku mzozo wa kisiasa ukiendelea kushika kasi nchini...

READ MORE

Kiongozi Mkuu Wa Iran Adaiwa Kujificha Mahali Pasipojulikana, Mawasiliano Ya Siri Yatawala

Viongozi wakuu wa Iran wanadaiwa kuingia katika hali ya tahadhari kubwa ya kiusalama kufuatia hofu ya mashambulizi mapya baada ya...

READ MORE

Mbeto: Rais Mwinyi Agoma Kuvunja Katiba ili Abaki Madarakani Zanzibar

Chama Cha Mapinduzi kimepongeza uamuzi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Rais Dk Hussein Ali...

READ MORE

Mamelodi Sundowns Watwaa Ubingwa wa Pli wa Ligi Ya Mabingwa, Yaichapa AS FAR

Mamelodi Sundowns wametwaa ubingwa wa pili wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa baada ya kuichapa AS FAR kwa jumla ya...

READ MORE

ICU ni Nini? Ukweli Wote Kuhusu Chumba cha Wagonjwa Mahututi

Watu wengi hawajui mgonjwa wao akipelekwa ICU na kujiuliza kuna nini huko? ICU ni Kitengo Maalum cha Wagonjwa Mahututi. Kinarejelea...

READ MORE

Cadillac Escalade IQ Yatangazwa Kuwa SUV Bora Mwaka 2026

Jarida la magari la MotorTrend limetangaza rasmi kuwa ndiyo SUV Bora ya Mwaka 2026. Ushindi huu si wa bahati, bali...

READ MORE

Chalamila – ”Viwango ni Msingi wa Afya, Biashara na Uchumi Imara”

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni...

READ MORE

Waziri Mkuu Ahimiza Malezi Ya Kimaadili Na Ushirikiano Wa Kijamii

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili...

READ MORE

TOSCI Yafanya Ukaguzi wa Maduka ya Mbegu Dodoma

Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imefanya ukaguzi wa maduka ya mbegu katika Wilaya za Chamwino, Mpwapwa na...

READ MORE

Trump Afichua Mwanga Wa Amani Kati Ya Marekani Na Iran

Marekani chini ya Donald Trump na Iran zinaonekana kukaribia makubaliano muhimu ya amani ambayo yanaweza kufungua tena Mlango wa Bahari...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Equator ya Uganda Yanayowashangaza Watalii Duniani

Uganda ni moja ya mataifa yenye vivutio vya kipekee duniani, lakini miongoni mwa maeneo yanayowavutia zaidi watalii ni uzoefu wa...

READ MORE

Wabongo Wachangamkia Drops & Wins Ya Meridianbet

Kama wewe ni mpenzi wa michezo ya haraka, basi Drops & Wins ya Pragmatic Play kupitia Meridianbet imekuja kwa ajili...

READ MORE

Tanzania Dental Expo 2026 Yazinduliwa, Yaonesha Dhamira ya Kuimarisha Sekta ya Afya ya Kinywa na Meno

Uzinduzi rasmi wa Maonesho ya Kimataifa ya Afya ya Kinywa na Meno Tanzania (Tanzania Dental Expo – TDE 2026) uliofanyika...

READ MORE

Rais Mwinyi Aitaka Taasisi za Zanzibar Kuiga Ufanisi wa sekta Binafsi

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea zawadi maalum kutoka kwa...

READ MORE