×

Habari

Rais Samia Aitaka Afrika Kuongeza Uwekezaji wa Nishati ya Nyuklia

Rais Samia amesema Afrika inapaswa kuendelea kuwekeza katika teknolojia za kisasa za nishati ili kuongeza upatikanaji wa umeme, kukuza viwanda na...

READ MORE

Ofisi Ya Msajili Wa Hazina Yaendesha Mafunzo Ya Usimamizi Wa Vihatarishi Kwa Taasisi Za Umma

Morogoro. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kupitia Kitengo cha usimamizi wa vihatarishi, imeanza kutoa mafunzo maalum kwa taasisi za...

READ MORE

Raia wa China Auwawa Mabibo, Dar es Salaam, Polisi Waendelea na Uchunguzi – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mmiliki wa kiwanda...

READ MORE

Arsenal Yakaribia Ubingwa Baada ya Kuifunga Burnley Bao 1-0

Arsenal F.C. imeendelea kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya...

READ MORE

Sakata La Spika Wa Bunge Wa Uganda Lazidi Kupamba Moto

Sakata linalomhusu Spika wa zamani wa Bunge la Uganda, Anita Among, limeendelea kuibua mjadala mkubwa nchini humo baada ya vyombo...

READ MORE

Trump Aahirisha Mashambulizi Mapya Dhidi ya Iran Kwa Ombi la Mataifa ya Uarabuni – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema ameahirisha mashambulizi mapya ya kijeshi dhidi ya Iran yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Jumanne, kufuatia ombi...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Kigali Kushiriki Mkutano wa Nishati ya Nyuklia Afrika (NEISA 2026)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 19, 2026 anaondoka nchini kuelekea Kigali, Rwanda,...

READ MORE

Arusha Yapaa Kidigitali Baada ya Yas Kuongeza Minara ya 5G

Arusha – Wakazi wa jiji la Arusha wanatarajiwa kunufaika na huduma bora zaidi za mawasiliano na intaneti yenye kasi kufuatia...

READ MORE

Kenya Yashusha Bei ya Petroli na Dizeli Baada ya Mgomo wa Matatu Kenya

Siku moja baada ya mgomo wa usafiri wa umma wa matatu kutikisa maeneo mbalimbali nchini Kenya, Energy and Petroleum Regulatory...

READ MORE

Hizi Hapa Sifa za Wanawake Wanaopendwa Zaidi Na Wanaume

MTASEMA mengi kuhusu wanawake ambao ni rahisi kuwateka wanaume kimapenzi lakini makundi haya yafuatayo ndiyo wanawake wanaopendwa zaidi. WENYE MSIMAMO...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 19, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

RC Chalamila: Ukatili wa Mauaji ya James Temba Haukubaliki – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameonesha masikitiko yake kufuatia tukio la kikatili la mauaji ya kijana...

READ MORE

Rais Samia Aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia Oktoba 29

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia yaliyotokea wakati na...

READ MORE

Iran Yatuma Mapendekezo Mapya ya Amani kwa Marekani Kupitia Pakistan

Serikali ya Pakistan imethibitisha kuwasilisha kwa Marekani mapendekezo mapya kutoka Iran yanayolenga kumaliza vita vinavyoendelea Mashariki ya Kati, huku mazungumzo...

READ MORE

Mwanamke Afariki Baada ya Kushambuliwa kwa Petroli Nairobi

Nairobi, Kenya — Mwanamke aliyefahamika kama Rachel Wandetto aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya Kenyatta National Hospital amefariki dunia akiwa anapatiwa...

READ MORE

Ndege Mbili za Kivita za Marekani Zagongana Angani Wakati wa Maonesho

Ndege mbili za kivita za Jeshi la Wanamaji la Marekani aina ya Boeing EA-18G Growler zimegongana angani wakati wa maonesho...

READ MORE

Jinsi Mama Alivyomuua Binti’ke Akishirikiana na Mwanae wa Kiume na Kuitupa Maiti Bagamoyo- Video Part 1&2

Mama mmoja pamoja na mwanaye wanakabiliwa na tuhuma nzito za kumuua mtoto wa kambo katika tukio lililoibua simanzi na taharuki...

READ MORE

Trump Aionya Iran Tena, Asema “Hakutakuwa na Chochote Kitakachosalia”

Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Iran kuwa muda wa kufikia makubaliano ya kumaliza vita unaendelea kuyoyoma huku mazungumzo kati...

READ MORE

Israel Yaendelea Kuwawinda Viongozi wa Hamas Ndani na Nje ya Gaza

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema Israel ipo karibu kukamilisha moja ya malengo makubwa ya vita vya Gaza kwa...

READ MORE

WHO Yatoa Tahadhari Kufuatia Mlipuko Mpya wa Ebola Afrika

Shirika la Afya Duniani,  limetangaza mlipuko wa ugonjwa wa Ebola Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuwa dharura ya afya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 18, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Waziri Mkuu Awahimiza Wananchi Kuendelea Kuiombea Tanzania

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewahimiza wananchi kuendelea kuiombea Tanzania ili amani, umoja na mshikamano wa kitaifa viendelee kuimarika sambamba...

READ MORE

Waandishi Wakimbia Baada ya Nyuki Kuvamia Ikulu ya Marekani

Maelfu ya nyuki walizua taharuki katika Ikulu ya Marekani, White House baada ya kuvamia ghafla uwanja wa North Lawn, karibu...

READ MORE

Serikali Yaipongeza SBL Kwa Kuwezesha Wakulima na Wenye Ulemavu

Dodoma, Tanzania – 17 Mei 2026: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imefanya kikao cha kimkakati na Waziri wa Nchi,...

READ MORE

Filamu ya #NotiFeki Yatoa Tahadhari kwa Mawakala wa Miamala – Video

 Wafanyabiashara wa huduma za miamala ya simu nchini, maarufu kama mawakala, wameendelea kuwa miongoni mwa waathirika wakubwa wa matukio...

READ MORE

USM Alger Yabeba Ubingwa Kombe la Shirikisho kwa Mara ya Pili, Che Malone Aandika Historia

Klabu ya USM Alger imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa mara ya pili katika...

READ MORE

Msisimko wa Kasino: Gates of Arabia Yaendelea Kuvutia Wachezaji

Kuna wakati bahati inahitaji uipe nafasi tu ili ikuonyeshe uwezo wake. Kupitia Gates of Arabia kutoka Meridianbet, unaweza kuingia kwenye...

READ MORE

Jinsi ya Kupunguza Mafuta ya Ini kwa Lishe Sahihi

Ini lenye mafuta ni hali inayotokea pale mafuta yanapokusanyika kwa wingi kwenye seli za ini, jambo linaloathiri utendaji wake kwa...

READ MORE

Mbunge Shigongo Aibua Kilio cha Wananchi Wanaoshambuliwa na Mamba – Video

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo ameibua tena bungeni changamoto ya wananchi wa jimbo lake kushambuliwa na mamba wanapokuwa wakifanya shughuli...

READ MORE

Dola Milioni 180 Kuimarisha Biashara, Kilimo na Wajasiriamali Kupitia Nmb

Benki ya NMB Plc imepata ufadhili wa jumla ya Dola za Marekani milioni 180, sawa na takribani Sh bilioni 468.1...

READ MORE

RC Makalla Akaribisha Watalii na Wawekezaji Kutoka Urusi Kuwekeza katika Sekta ya Utalii

Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla Jumamosi Mei 16, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 17, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Mnara wa Airtel 4G wamaliza changamoto za mawasiliano Hai, Kilimanjaro

Wakazi wa Kijiji cha Mungushi, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Region, sasa wameondokana na changamoto za muda mrefu za mawasiliano...

READ MORE

Kikwete Amwakilisha Rais Samia Mazishi ya Kitaifa ya Rais Mstaafu Mogae Botswana

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo tarehe 16 Mei...

READ MORE

Manchester United Yamthibitisha Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu

Manchester United wamefikia makubaliano ya kumteua Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo baada ya kufanya vizuri...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Tajiri wa Afrika Aliko Dangote

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 16, 2026 amekutana na Mfanyabiashara maarufu kutoka Nigeria na Mwanzilishi wa Dangote...

READ MORE

Video: Mjumbe, Majirani wa Mganga Wafunguka Kupatikana Kichwa cha Marehemu James Temba Kitunda

Global TV imefika eneo la Kitunda Kibeberu, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, ambako kichwa cha marehemu James Temba...

READ MORE

Nicki Minaj Afunguka Sababu ya Kumuunga Mkono Trump Hadharani

Rapa maarufu Nicki Minaj amesema kuwa mastaa wengi wa burudani wanaunga mkono mawazo yake kuhusu Donald Trump lakini wanaogopa kusema...

READ MORE

Trump Aionya Taiwan Dhidi ya Kutangaza Uhuru wake Kutoka China

Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Taiwan dhidi ya kutangaza rasmi uhuru wake kutoka China, saa chache baada ya kumaliza...

READ MORE

Mfadhili wa Reform UK Afichuliwa Kuwa Miongoni mwa Matajiri nchini Uingereza

Mwekezaji wa sarafu za kidijitali, Christopher Harborne, ambaye alimpatia kiongozi wa chama cha Reform UK Nigel Farage zawadi ya pauni...

READ MORE