×

Habari

Rais Mstaafu Kikwete Ateuliwa Kuwa Mwakilishi Maalum Wa Pembe Ya Afrika Na Bahari Nyekundu

Rais Mstaafu Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika...

READ MORE

Serikali Yasisitiza Ubora wa Maudhui kwa Ajili ya Vijana

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa...

READ MORE

PDPC Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Usajili wa CCTV, Yatoa Elimu Mpya

Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imebaini kuwepo kwa taarifa zisizo sahihi zinazosambazwa mitandaoni zikidai kuwa kila mwenye kamera...

READ MORE

Jeshi la Magereza Lakanusha Taarifa za Kuhusu Afya ya Tundu Lissu

Jeshi la Magereza nchini Tanzania limetoa kanusho kali dhidi ya taarifa zilizoandikwa na baadhi ya magazeti zikidai kuwa hali ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Aeleza Masikitiko Yake Kufuatia Kifo cha Lukuvi – Video

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026. Waziri...

READ MORE

Rais Mwinyi Atoa Pole Kifo cha Lukuvi, Asema Ni Pigo Kubwa kwa Taifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William...

READ MORE

Trump Atangaza Ushindi Dhidi ya Iran, Asema Marekani Yadhibiti Anga ya Iran – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa nchi yake imepata ushindi mkubwa katika vita dhidi ya Iran, akidai kuwa uwezo...

READ MORE

Video: Lukuvi Aacha Historia Nzito Tanzania, Huu Ndio Wasifu Wake

 Kifo cha William Vangimembe Lukuvi kimeacha pengo kubwa katika uongozi na jamii ya Tanzania, huku akitambulika kama mmoja wa...

READ MORE

Heche Aibua Hofu ya Usalama wa Tundu Lissu, Ataka Uwazi Zaidi kwa Mamlaka

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Bara, John Heche, ameibua hofu kuhusu usalama wa Tundu Lissu, akisisitiza kuwa...

READ MORE

Trump Adai Iran Yasalimu Amri Kuhusu Nyuklia, Atamba Kupewa Zawadi Kubwa

Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Iran imekubali rasmi kutokuwa na silaha za nyuklia, akisema pia kuwa taifa hilo...

READ MORE

Iran Yakataa Mazungumzo na Trump, Yasema Marekani Inajizungumzia Yenyewe – Video

Mvutano kati ya Iran na Israel umeendelea kushika kasi baada ya pande hizo mbili kubadilishana mashambulizi ya anga siku ya...

READ MORE

Mwanasiasa Mkongwe William Lukuvi Afariki Dodoma – Video

Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, amefariki dunia asubuhi ya Machi 25, 2026 akiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa...

READ MORE

Ubunifu wa Tehama Waongeza Ushiriki Masoko ya Mitaji

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameagiza wadau wote katika masoko ya mitaji na dhamana wazingatie sheria na kanuni...

READ MORE

Mnyika Afichua Mapya Zuio la Chadema Mahakama ya Rufaa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amesema mwenendo wa shauri la marejeo ya kesi ya...

READ MORE

Airtel Yafanikiwa Majaribio ya Huduma za Data na SMS kupitia Starlink

Dubai, Machi 2026: Airtel Africa kwa kushirikiana na SpaceX wametangaza kufanikiwa kwa majaribio ya huduma za data na ujumbe (SMS)...

READ MORE

Pakistan Yajitolea Kuandaa Mazungumzo Kati ya Iran na Marekani

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, ameonesha utayari wa nchi yake kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani...

READ MORE

Ushirikiano wa Nmb na DarTU; Hatua Halisi Kujenga Kizazi Tayari Kwa Ajira

  Afisa Mkuu Rasilimali Watu wa Benki ya NMB, Bw. Emmanuel Akonaay (kushoto) pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...

READ MORE

Tantrade Inaongoza Mageuzi ya Sekta ya Biashara Nchini Kupitia Mpango wa Cart.is

TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi...

READ MORE

Real Admiral Hassan Awataka Wataalam Uokoaji Kufanya Kazi Kwa Weledi

Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji, Real Admiral Ameir Ramadani Hassan, amewataka wataalam wa zimamoto na uokoaji wa Jeshi...

READ MORE

TBL Yashiriki Zoezi la Usafi Kulinda Mifumo ya Maji Taka Dar es salaam

Kampuni ya Tanzania Breweries Plc (TBL) imefanya zoezi la usafi katika Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni...

READ MORE

Spika Zungu Akagua Ukumbi wa Bunge Kabla ya Mkutano wa Bajeti 2026/27 – (Picha + Video)

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, leo Machi 24, 2026 amekagua ukumbi wa Bunge...

READ MORE

Tukio la Kusikitisha Kigamboni: Mwanadada Auawa, Wakazi Wabaki na Maswali – Video

Hali ya huzuni na simanzi imetawala eneo la Kisota, Kigamboni, kufuatia kifo cha kusikitisha cha mwanadada Lina Kimaro, aliyedaiwa kuuawa...

READ MORE

Tanzania Mnufaika wa Mpango wa TEF wa Ujasiriamali Afrika 2026

Tanzania imepata uwakilishi miongoni mwa wanufaika wa Mpango wa Ujasiriamali wa Taasisi ya Tony Elumelu (TEF) wa mwaka 2026, huku...

READ MORE

Kongamano la Kiswahili Duniani Lafunguliwa Rasmi Jijini Arusha

  Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, ameungana na Waziri wa Habari,...

READ MORE

Video: Mlipuko Mkubwa Watikisa Kiwanda cha Mafuta Texas, Moto Wazuka

Mlipuko mkubwa na moto mkali umezuka katika kiwanda cha kusafisha mafuta cha Port Arthur, kinachomilikiwa na Valero Energy, kilichopo katika...

READ MORE

Chuck Norris Aacha Urithi Mkubwa Mke na Watoto Watano Kunufaika

Gwiji wa sanaa za mapigano na filamu, Chuck Norris, ameacha urithi mkubwa wenye thamani ya takriban dola milioni 70 sawa...

READ MORE

Ajali ya Ndege ya Jeshi Colombia Yaua 66, Wengine 80+ Wajeruhiwa

Ndege ya Jeshi iliyokuwa imebeba takribani watu 125, wengi wao wakiwa wanajeshi, imeanguka muda mfupi baada ya kupaa katika mji...

READ MORE

Spika wa Bunge la Iran Akanusha Mazungumzo na Marekani – Video

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amekanusha vikali madai ya kuwepo kwa mazungumzo yoyote kati ya Iran na...

READ MORE

Shinda Samsung Galaxy A26 Kupitia Promosheni Kubwa ya Meridianbet

Kupitia promosheni kabambe ya Bet Online, mteja anaweza kujishindia simu janja aina ya Samsung A26 na kutimiza ndoto zake. Changamkia...

READ MORE

Serikali ya Kenya Yatoa Msamaha kwa Wakenya Waliojiunga na Vita vya Urusi

Raia wa Kenya waliojiunga kupigana vita kwa niaba ya Urusi dhidi ya Ukraine watapewa msamaha watakaporejea nyumbani,” Waziri wa Mambo...

READ MORE

Japan Yaanza Kuachia Akiba ya Mafuta Kukabiliana na Upungufu wa Nishati

Serikali ya Japan imetangaza kuanza kuachia sehemu ya akiba yake ya kitaifa ya mafuta kuanzia Alhamisi, hatua inayolenga kukabiliana na...

READ MORE

Trump Atoa Matumaini Mapya Kuhusu Uhusiano wa Marekani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amewaambia waandishi wa habari akiwa Palm Beach kwamba Marekani na Iran zina maeneo makubwa ya...

READ MORE

Diwani Ndule Ashukuru Global TV Kusaidia Kurejesha Mwili wa Veronika Nyamwendo – Video

Diwani wa Kata ya Vighawe, Mpwapwa mkoani Dodoma, Emmanuel Ndule ameishukuru Global TV kwa jinsi ilivyosimamia suala la mwili wa...

READ MORE

Video: Serikali Yatangaza Hatua Kuhakikisha Mafuta Yanapatikana

Serikali imewahakikishia wananchi uwepo wa akiba ya mafuta ya kutosha nchini, huku ikijizatiti kufanya kila linalowezekana kuhakikisha nishati hiyo inapatikana...

READ MORE

Trump Aahirisha Mashambulizi Iran Kwa Siku Tano, Atoa Nafasi Ya Mazungumzo – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump leo Machi 23, 2026 ametangaza kuahirisha mashambulizi yaliyokuwa yamepangwa kufanywa dhidi ya mitambo ya umeme...

READ MORE

Serikali Yatangaza Mpango wa ATCL Kufikia Ndege 24 Ifikapo 2030

SERIKALI imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya ndege 24 ifikapo...

READ MORE

Iran Yakanusha Mazungumzo na Marekani, Yamjibu Trump Kuhusu Nishati

Serikali ya Iran kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imekanusha vikali madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba...

READ MORE

Ndege ya Air Canada Yagongana na Gari la Uokoaji, Wawili Wafariki

Ajali mbaya imetokea katika Uwanja wa Ndege wa LaGuardia uliopo New York, baada ya ndege ya shirika la Air Canada...

READ MORE

Iran Yalenga Maeneo 8 Israel Katika Mashambulizi ya Makombora – Video

Iran imezidisha mashambulizi yake ya makombora dhidi ya Israel kwa kutumia makombora ya cluster, yakilenga maeneo nane tofauti katika sehemu...

READ MORE

Video: Polisi Wakamata Mgambo Watatu kwa Mauaji ya Kijana Bugando

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata askari mgambo watatu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kijana Rashid Masunga...

READ MORE