×

Habari

Vyakula 8 vya Baharini Vinavyoweza Kukuletea Madhara Makubwa Bila Kujua

Ingawa vyakula vya baharini vinajulikana kuwa na faida kubwa kiafya, si kila samaki au sahani ya seafood ni salama au...

READ MORE

Mwili wa Lukuvi Ulivyowasili Iringa kwa Shughuli za Mwisho – Picha

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi, umefikishwa katika...

READ MORE

Video: Mwajuma na Mwanaye Wauawa na Kutupwa Kisimani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kuwakamata watu wanane wanaotuhumiwa kuhusika na matukio matatu tofauti ya uhalifu yaliyotokea katika...

READ MORE

Nchimbi Amwakilisha Rais Samia Katika Mkutano wa OACPS Guinea ya Ikweta

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Trump Akwepa Swali Muhimu Kuhusu Hali ya Watu Iran, Abadilisha Mada

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amezua mjadala baada ya kuonekana kukwepa kujibu swali muhimu kuhusu hali ya kibinadamu...

READ MORE

Papa Leo XIV Aponda Vita Jumapili ya Matawi ‘Mungu Hahusiki na Mauaji’

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amekataa vikali madai kwamba dini au Mungu vinaweza kutumika kuhalalisha vita, akisisitiza...

READ MORE

Video: Wamarekani Waandamana Kumpinga Trump na Kupinga Vita Dhidi ya Iran

Maelfu ya Wamarekani wameandamana katika majimbo yote 50 ya Marekani kupitia harakati za “No Kings” (Hatutaki Madikteta), wakipinga sera na...

READ MORE

Yas Yazindua Duka Jipya Dodoma, Walenga Abiria wa SGR

Dodoma, 30 Machi 2026 – Wakazi wa Dodoma na maeneo ya jirani pamoja na wasafiri wa treni ya umeme (SGR)...

READ MORE

Kiongozi wa Zamani Nepal Akamatwa Kufuatia Vifo vya Maandamano ya Gen Z

Kathmandu, Nepal – Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Nepal, K. P. Sharma Oli, amekamatwa na mamlaka za nchi hiyo kufuatia uchunguzi...

READ MORE

Rais Samia Atoa Heshima za Mwisho kwa Hayati Lukuvi Karimjee, Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 28, 2026 ameongoza mamia ya viongozi na maelfu...

READ MORE

Rais Samia Atoa Funzo la Uongozi Akimuenzi Lukuvi (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaongoza Watanzania kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa...

READ MORE

Video: Iran Yafyatua Msururu wa Makombora Kuwait, Uwanja wa Ndege Washambuliwa

Msururu wa mashambulizi ya drones na makombora wapiga mataifa ya Ghuba; uwanja wa ndege wa Kuwait na kambi ya Marekani...

READ MORE

Wanajeshi 12 wa Marekani Wajeruhiwa Baada ya Iran Kurusha Kombora

Wanajeshi 12 wa Marekani wamejeruhiwa kufuatia shambulio lililolenga Kambi ya Anga ya Prince Sultan nchini Saudi Arabia, huku vita kati...

READ MORE

Rais Samia Alivyoongoza Kuuaga Mwili wa Lukuvi (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika matukio tofauti ya picha, alipoongoza Watanzania kuuaga mwili wa...

READ MORE

Airtel Divas Mwanza Wakabidhi Msaada Kituo cha Watoto Yatima Busweru

MWANZA, Machi 28, 2026. Kundi la wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania mkoani Mwanza siku ya Jumamosi walitembelea kituo cha watoto...

READ MORE

Prof. Shemdoe Awaasa Walimu 150 Kuzingatia Mafunzo Nchini India ili Kuleta Mageuzi ya Elimu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewataka walimu 150 wa Amali za Kihandisi...

READ MORE

Mkurugenzi wa FBI Marekani Adukuliwa na Kundi la Wahalifu Mtandaoni – Video

WADUKUZI wanaodaiwa kuwa na uhusiano wa karibu na Iran wamezua taharuki kubwa kimataifa baada ya kudai kuidukua akaunti binafsi ya...

READ MORE

Fahamu Jeshi Hatari la Parachuti Linaloweza Kutumwa Popote Duniani

 Kikosi cha 82nd Airborne Division cha jeshi la Marekani kimekuwa sehemu ya mjadala mkubwa wa kisiasa na kijeshi, huku...

READ MORE

Wasira Awatolea Uvivu Walioanza Mbio Za Urais Mwaka 2030 (Picha +Video)

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030...

READ MORE

Marekani Yatuma Wanajeshi Hormuz, Donald Trump Aweka Mkakati Mpya

Kadri mvutano unavyozidi kuongezeka katika Mlango wa Strait of Hormuz, Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi lengo lake kuu...

READ MORE

Picha 15 za Safari ya Mwisho ya Lukuvi Kutoka Dodoma mpaka Dar, Kuagwa Rasmi leo

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), marehemu William Lukuvi, ulivyowasili...

READ MORE

TBL Yaendeleza Mafanikio Kupitia Kilimanjaro Marathon 2026

  Moshi ilichangamka kwa maelfu ya wakimbiaji na mashabiki walioshiriki Kilimanjaro Marathon 2026, tukio linaloendelea kuunganisha michezo, utalii na jamii...

READ MORE

Airtel Yachochea Uchumi wa Kidijitali kwa Uzinduzi wa Mnara Mpya Dar

Dar es Salaam – Airtel Tanzania imezindua rasmi mnara wa mawasiliano wenye teknolojia ya 4G na 5G katika mtaa wa...

READ MORE

Wasifu Kamili wa William Lukuvi Uliosomwa Rasmi na Serikali – Video

Marehemu William V. Lukuvi alizaliwa katika Mkoa wa Iringa na alikulia katika mazingira yaliyomjenga kuwa kiongozi mwenye nidhamu, bidii na...

READ MORE

Mwanamke Aweka Rekodi, Aapishwa Kuwa Askofu Mkuu Uingereza

Canterbury, England — Sarah Mullally ameweka historia baada ya kuapishwa rasmi kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury, hatua inayomfanya kuwa mwanamke...

READ MORE

Viongozi, Wananchi Wajitokeza Kuaga Mwili wa Lukuvi Viwanja vya Bunge Dodoma (Picha +Video)

Shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na...

READ MORE

Trump Aongeza Muda wa Mashambulizi Iran, Atoa Siku 10, Israel Yageukia Viwanda vya Silaha

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameongeza muda wa kusitisha mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nishati ya Iran kwa siku 10...

READ MORE

Hakimu Hellerstein Kusikiliza Pingamizi la Kisheria la Maduro

New York, Marekani – Rais wa zamani wa Venezuela, Nicolás Maduro, kurejea mahakamani Alhamisi 27, 2026 mjini New York huku...

READ MORE

Polisi Wakamata Pikipiki 248 Zisizofuata Sheria, Operesheni Yaendelea

Katika kuhakikisha huduma ya usafiri inakuwa salama pamoja na kupunguza kero zitokanazo na bodaboda, Kamati ya Usalama wilaya ya Arusha...

READ MORE

Lukuvi Kuagwa Dodoma Bungeni leo, Dar Machi 28 Kuzikwa Iringa Machi 31, 2026 – Video

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi (70), utazikwa...

READ MORE

Trump Atoa Onyo Kwa Viongozi wa Iran Kufanya Mazungumzo ‘Hakutakuwa na Kurudi Nyuma’

Washington, Machi 26, 2026 – Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Iran juu ya mazungumzo...

READ MORE

Israel Yadai Kumuua Mkuu wa Jeshi la Majini la IRGC Katika Shambulio

Tel Aviv, Machi 26, 2026 – Israel imedai kumuua kamanda mkuu wa jeshi la majini la Walinzi wa Mapinduzi ya...

READ MORE

Dkt. Mwigulu: Tuendelee Kumuombea William Lukuvi na Kuifariji Familia Yake

 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaomba Watanzania waendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,...

READ MORE

Juma Lokole Amwaga Machozi Baada ya Kupewa Gari Siku ya Birthday

Dar es Salaam – Msanii na mchekeshaji maarufu, Juma Lokole, amegusa hisia za mashabiki baada ya kuonekana akimwaga machozi ya...

READ MORE

Oryx Gas Yazindua Duka Chato Kusogeza Nishati Safi ya Kupikia

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali kusogeza nishati safi ya kupikia kwa wananchi baada ya...

READ MORE

Trump: Tumekata Saratani ya Nyuklia Iran, Vita Yaelekea Mwisho

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Marekani kwa kushirikiana na Israel imefanikiwa kudhoofisha kwa kiwango kikubwa mpango wa nyuklia...

READ MORE

TBL Yachukua Hatua Muhimu Kulinda Mifumo ya Maji Jijini Dar es Salaam

Kampuni ya Tanzania Breweries PLC (TBL) imeadhimisha Siku ya Maji Duniani kwa kuchukua hatua ya moja kwa moja ya kulinda...

READ MORE

ALAF Yaahidi Kuendelea Kuwekeza Katika Afya za Wafanyakazi Kupitia Kili Marathon

Moshi, Tanzania – Kampuni ya ALAF Limited imeahidi kuendelea kuwekeza zaidi katika afya za wafanyakazi wake kwa kuhimiza ushiriki wao...

READ MORE

Video: Serikali Yatoa Mwongozo Kwa Waliopoteza Pasipoti Nje ya Nchi

Ofisa Uchunguzi Mkuu kutoka Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Selestine Makoba, amewataka Watanzania walioko nje...

READ MORE

Nchi Za Kiarabu Zalalamika Kushambuliwa Na Iran, Zatoa Onyo – Video

Nchi za Ghuba ya Kiarabu zimeendelea kutoa onyo kali kuhusu hali ya usalama katika eneo hilo, zikieleza kuwa zinakabiliwa na...

READ MORE