×

Habari

Mke wa Trump Akanusha Kuwa na Uhusiano na Epstein Baada ya Nyaraka Kuibuka

Mke wa Rais wa Marekani, Melania Trump usiku wa kuamkia leo Aprili 10, 2026 amekanusha vikali madai yanayomhusisha na mfanyabiashara...

READ MORE

Trump Aweka Masharti Mazito Kwa Iran, “Tusipokubaliana Vita Inaweza Kurudi”

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa vikosi vya kijeshi vya nchi hiyo vitaendelea kubaki katika hali ya utayari mkubwa...

READ MORE

FBI Yamnasa Mvujishaji wa Siri za Ndege ya Kivita Iliyoanguka Iran

Shirika la upelelezi la Marekani, FBI, limemkamata mtu anayetuhumiwa kuvujisha taarifa za siri kuhusu kuangushwa kwa ndege ya kivita aina...

READ MORE

Mwigulu: Serikali Kuongeza Bajeti ya Elimu Kukidhi Mahitaji ya Mtaala Mpya – Video

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha bajeti ya elimu wakati ikitekeleza mtaala mpya wa elimu ili kuziba...

READ MORE

Wakazi Dar Waipongeza NMB Ikizindua Huduma za Matawi Yanayotembea

Mkuu wa Idara ya Mauzo na Mtandao wa Matawi ya Benki ya NMB, Donatus Richard (katikati), akimhudumia  Mwajuma Athumani Saidi...

READ MORE

Video: Jafo Apendekeza Mishahara ya Laki 5 na 7 Kwa Vijana, Ajira za Mikataba

Mbunge wa Kisarawe, Seleman Jafo ameshauri serikali kuwachukua vijana waliohitimu vyuo na vyuo vikuu nnchini, kisha kuwapa ajira za mikataba,...

READ MORE

Sheria Mpya Marekani: Vijana Kuingizwa Jeshini Moja kwa Moja Bila Kujisajili

Serikali ya Marekani inapanga kuanza mfumo mpya wa kuwasajili moja kwa moja wanaume wenye umri wa kati ya miaka 18...

READ MORE

LATRA Yafafanua Vigezo Vinavyozingatiwa Katika Upangaji wa Nauli Nchini

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuwa upangaji wa nauli hauzingatii bei ya mafuta pekee, bali huzingatia vigezo mbalimbali...

READ MORE

Angela Kizigha na Evaline Munisi Waapishwa Rasmi Bungeni – (Video +Picha)

Wabunge wateule wawili, Angela Kizigha na Evaline Munisi, leo Aprili 09, 2026 wamekula kiapo cha uaminifu na ahadi ya uzalendo...

READ MORE

Serikali Yatoa Ufafanuzi Kupanda Kwa Bei za Mafuta Duniani – Video

Aprili 08, 2026 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati akiwaapisha viongozi aliowateua hivi...

READ MORE

Mbinu ya Trump Yafichuka Vitisho Kwanza, Amani Baadaye kwa Iran

Hatua ya Donald Trump kutangaza kusitisha mapigano kwa muda dhidi ya Iran imezua mjadala mkubwa duniani, huku wengi wakishangazwa na...

READ MORE

TBL Yataka Hatua za Pamoja Kudhibiti Pombe Haramu

Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito kwa Serikali, sekta binafsi na jamii kushirikiana kikamilifu kukabiliana na tatizo la...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Kabudi, Dugange, Nhamanilo na Mdemu Chamwino – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Aprili 8, 2026 ameongoza hafla ya uapisho wa viongozi mbalimbali...

READ MORE

Video: Rais Samia Aelekeza Serikali Kupunguza Matumizi ya Mafuta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa wafanyabiashara nchini dhidi ya kutumia mwanya wa...

READ MORE

Qualcomm Make in Africa 2026 Yatangaza Kampuni Changa 10 Zilizochaguliwa

Kampuni ya Qualcomm Incorporated imetangaza rasmi kampuni changa 10 zilizochaguliwa kushiriki katika toleo la nne la Mpango wa Ushauri wa...

READ MORE

Video: Marekani na Iran Zakubaliana Kusitisha Mapigano kwa Wiki Mbili

Rais wa Marekani, Donald Trump, amepunguza mvutano wa vita kwa kutangaza kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya Iran, huku mataifa hayo...

READ MORE

Museveni na Kikwete Wakutana Kujadili Amani Sudan Kusini

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja...

READ MORE

Rais wa Sudan Kusini Amtumbua Spika wa Bunge na Naibu Wake

RAIS wa Sudan Kusini, Salva Kiir amemfuta kazi Spika wa Bunge la nchi hiyo, Jemma Nunu Kumba pamoja na Naibu...

READ MORE

Trump Aitaja China Kusukuma Iran Kukubali Mazungumzo ya Amani

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini kuwa China imekuwa na mchango mkubwa katika kuishawishi Iran kukubali kuingia kwenye mazungumzo...

READ MORE

Fahamu Wasifu wa Wajumbe wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uchaguzi

Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Kabla na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeendelea kupewa muda...

READ MORE

Serengeti Apple Yanogesha Pasaka kwa Mandhari, Ladha na Vibe ya Kipekee Dar es Salaam

Kama sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka kote nchini, Serengeti Apple iliandaa premium brunch experience maalum mwishoni mwa wiki...

READ MORE

NASA Yafichua Mandhari ya Ajabu ya Mwezi na Dunia, Yatoa Picha za Kihistoria

Shirika la anga la NASA limetoa picha za kipekee zikiwemo “Earthset” na matukio ya kupatwa kwa jua, zilizopigwa wakati wa...

READ MORE

Mashambulizi ya Marekani Kharg Island Yaibua Mjadala Mpya Iran

Marekani imeendelea na operesheni zake za kijeshi dhidi ya Iran baada ya kuripotiwa kushambulia maeneo ya kijeshi katika Kisiwa cha...

READ MORE

Video: CCM Yaitaka Serikali Kutoa Ruzuku Kupunguza Bei ya Mafuta

Chama cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimeishauri serikali kuangalia uwezekano wa kutoa ruzuku kwa mafuta ili kupunguza makali ya...

READ MORE

Trump Awasiliana na Wanaanga wa Artemis II “Mmeifanya Marekani Kujivunia” – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amewapigia simu wanaanga wa misheni ya Artemis II masaa machache baada ya kufanikisha safari yao...

READ MORE

Samia Aongoza Maadhimisho ya Karume Day Kisiwandui – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameungana na viongozi wengine wa serikali na chama katika kuadhimisha...

READ MORE

Samia, Mwinyi Washiriki Dua ya Kumkumbuka Karume Miaka 54 Tangu Kuuawa (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan leo ameshiriki Dua maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

READ MORE

Trump Awageukia Waandishi, Atishia Kuwapeleka Jela

Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuwachukulia hatua kali, ikiwemo kuwafunga jela waandishi wa habari waliotoa taarifa za siri kuhusu...

READ MORE

Trump Atishia Kuimaliza Iran Ndani ya Usiku Mmoja, Vita Yazidi Kupamba Moto

Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza vitisho dhidi ya Iran akisema taifa hilo linaweza “kuondolewa ndani ya usiku mmoja,” huku...

READ MORE

Tume Yaomba Nyongeza ya Siku 21 Kukamilisha Uchunguzi wa Uchaguzi wa 2025

Tume ya Rais ya kuchunguza matukio ya kabla na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 imeomba kuongezewa tena muda...

READ MORE

Iran Yasema Strait of Hormuz Haitarudi Kama Zamani, Mvutano Wazidi Kuongezeka

Mvutano kati ya Iran na Marekani umechukua sura mpya baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) kusema...

READ MORE

Trump Aibua Hasira, Greene Amtupia Maneno Mazito Kisa Iran

Aliyekuwa mbunge wa Marekani, Marjorie Taylor Greene, amemkosoa vikali Rais Donald Trump baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Hatua Za Haraka Kurejesha Biashara Soko La Simu 2000 – Video

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza hatua za haraka kurejesha shughuli za biashara kufuatia ajali ya moto ulioteketeza Soko la...

READ MORE

Iran Yakataa Kusitisha Vita, Yakataa Makubaliano ya Muda

Mvutano kati ya Iran, Israel na Marekani umeingia hatua mpya baada ya Tehran kukataa pendekezo la karibuni la kusitisha mapigano,...

READ MORE

Mwigulu Akagua Madhara ya Moto Soko la Simu 2000 Ubungo – Video

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Aprili 6, 2026 amekagua madhara yaliyosababishwa na ajali ya moto katika soko la wafanyabiashara...

READ MORE

Papa Leo XIV Atoa Wito wa Amani Katika Ujumbe Wake wa Kwanza wa Pasaka

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametoa wito kwa viongozi wa dunia na wale wenye uwezo wa kuanzisha...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Tamasha La Mtoko Wa Pasaka, Asisitiza Amani

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, Aprili 5, 2026, ameshiriki Tamasha la Pasaka la Mtoko na Christina Shusho lililofanyika katika Ukumbi...

READ MORE

Trump Aibuka na Tishio Zito Kuhusu Mlango wa Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua taharuki mpya kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran kupitia ujumbe mkali...

READ MORE

Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’ Mitandaoni – Video

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa wote wanaosambaza uzushi mitandaoni kuhusu ‘kuibiwa nyeti’ na kueleza kuwa watasakwa na kukamatwa. Msemaji...

READ MORE

Meridianbet Wafungua “Shamba la Bahati” la Mamilioni, Soma Hapa!

Meridianbet wamefungua shamba jipya la bahati ambalo halifanani na mashamba ya kawaida. Hapa hakuna jembe wala mbegu, bali unakuja kuandaa...

READ MORE