×

Habari

Waziri wa Fedha Uganda Akamatwa kwa Madai ya Kuiba Mabati

MABATI yalitengwa kwa ajili ya makazi ya gharama nafuu huko Karamoja eneo ambalo halina maendeleo na halifuatiliwi huko kaskazini magharibi...

READ MORE

Rais Dkt. Samia: Sherehe Za Muungano Zifanyike Katika Ngazi Ya Mikoa

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza maadhimisho sherehe za miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yafanyike katika ngazi...

READ MORE

Ndege ya Shirika la Emirate A380 Yatua Kwa Dharura Tanzania

Uwanja wa Ndege wa Julius Kambarage Nyerere uliopo Jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Aprili 16, 2023 umepokea...

READ MORE

Aweso Afanya Mabadiliko Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Korogwe, Asisitiza Utatuzi wa Changamoto za Maji

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefika wilayani Korogwe mkoa wa Tanga na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe...

READ MORE

Pamba Wanaitaka Ligi kuu, waichapa Mashujaa, Matubaini kibao ligi Kuu.

Baada ya ushindi wa 2-0 walioupata Pamba  dhidi ya Mashujaa FC kwenye dimba la Nyamagana, Kocha wa Pamba FC Yusuph...

READ MORE

Uchumi wa Tanzania Wapaa Miaka Miwili ya Rais Samia, Pato la Taifa Laongezeka

  TAKWIMU mpya za Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania kwa bei ya...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Japan Anusurika Kifo Kufuatia Mlipuko Mkubwa wa Bomu

Waziri Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amenusurika kifo baada ya kutokea mlipuko uliofuatiwa na moshi mzito alipokuwa akitoa hotuba katika...

READ MORE

Mateso Ya Mtoto Miezi 6 Yatakuliza, Mama Yake Aomba Msaada – Video

Mkazi wa Kibada Jijini Dar es Salaama, Rukia Mohamed Ally (25) ambaye kwa sasa anapitia mateso makali baada ya Mtoto...

READ MORE

Majaliwa kuongoza harambee ujenzi Shule ya KKKT inayogharimu Sh1.9 bilioni Mwanza

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Kassim Majaliwa (Mb) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Harambee ya kuchangisha...

READ MORE

Jeshi la Polisi Mwanza lakamata wahalifu 264, RPC Atoa onyo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza baada ya  kufanya misako na doria mbalimbali na limefanikiwa kukamata watuhumiwa 264 wa makosa...

READ MORE

Mpira Ulianzia Wapi? Pesa Zinatoka Wapi? Majibu yapo Hapa

Historia ya mpira wa miguu ilikuwepo tangu karne ya 15C, lakini ilisambaa Zaidi karne ya 19C huko Uingereza ambapo mpira...

READ MORE

Waziri Gwajima Aitambulisha Klabu ya Yanga kuwa Mabalozi wa kupinga Unyanyasaji wa Watoto -Video

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima leo Aprili 14, 2021 ameitambulisha rasmi Klabu...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Imeanza Kufanyia Kazi Taarifa Ya CAG – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali tayari imeanza kuifanyia kazi taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

READ MORE

Mfanyakazi Kitengo cha Ujasusi Akamatwa Akidaiwa Kuvujisha Nyaraka za siri za jeshi la Marekani

Idara ya upelelezi ya Marekani (FBI) imemkamata mlinzi wa usalama wa anga mwenye umri wa miaka 21 kuhusiana na uvujaji...

READ MORE

Russia yaomba kuondolewa vikwazo ili kuruhusu tena usafirishaji wa nafaka ya Ukraine

Russia Alhamisi imesema hakutakuwa na kuongeza muda kwa makubaliano yaliyosimamiwa na Umoja wa Mataifa ya kusafirisha nafaka za Ukraine kutoka...

READ MORE

Jipatie Virutubisho na Mimea Tiba kwa Ajili ya Kurudisha Heshima ya Ndoa

➡️ MWANAUME ZINGATIA HAYA 👇 Kumfikisha mwanamke kileleni lazima mwanaume awe na bakora yenye nguvu na iliyosimama imara mda wote...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Kuweka Mfumo Mpya Mikopo Ya Asilimia 10 -Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezielekeza Halmashauri zote nchini kusitisha utoaji wa fedha za mikopo kwa makundi maalum ya vijana, wanawake...

READ MORE

Masauni Aruhusu Mabasi Kuanza Safari Usiku, Asubiri Maombi ya Wamiliki

Serikali imekubali kuruhusu magari yanayofanya safari zake kupitia Wilaya ya Sikonge kutoka Jijini Dar es Salaama kuanza safari zake kati...

READ MORE

Mkurugenzi wa TBS: Watanzania Wasitumie Poda ya Johnson & Johnson hadi Uchunguzi Utakapokamilika

Shirika la Viwango nchini Tanzania(TBS) limewataka Watanzania kuacha kutumia poda ya Johnson & Johnson hadi uchunguzi kuhusu poda hiyo utakapokamilika....

READ MORE

Mbunge Aangua Kilio Bungeni, Awaacha Wabunge Hoi – “Tembo Wanaua Wananchi Wetu”-Video

Mbunge wa Lindi, Viti Maalum kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Maimuna Pathan leo April 12, 2023 amemwaga machozi...

READ MORE

Mwanamfalme Harry Kuhudhuria Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

Mke wa Harry, Meghan, Duchess wa Sussex atabaki California nchini Marekani akiwa na watoto wao wawili Mwanamfalme Archie na Binti...

READ MORE

PASS Trust Ya Wadau Kuhusu Uhamasishaji Wa Ajenda Ya Ukuaji Wa Kijani Shirikishi Nchini

Iringa, April 12, 2023: Taasisi ya Kusaidia Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS Trust) leo imefanya mkutano wa mashauriano na wadau...

READ MORE

Aweso Atoa Wiki 6 Buswelu Wapate Maji – Video

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa wiki sita kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kukamilisha matengenezo...

READ MORE

Kilimanjaro Marathon Yamlilia John Bayo

Kilimanjaro Marathon Company Limited imeelezea kuhuzunishwa kufuatia kifo cha Mkurugenzi wa mbio maarufu ya Kilimanjaro International Marathon, Bwana John Bayo...

READ MORE

Airtel, Lethshego Watangaza Washindi Droo Ya Kwanza Promosheni ya Vimba na Timiza Akiba Ushinde

  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kwa kushirikiana na benki ya Letshego wametangaza washindi wa droo ya...

READ MORE

Mmiliki wa Kampuni ya Mabasi ya Tashrif Afariki Dunia Ghafla Mkoani Tanga

  Mfanyabiashara mkubwa wa usafirishaji ambae pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Tashrif Bus Service, Hamoud Said Al...

READ MORE

Kumbukumbu Ya Hayati Sokoine Kufanyikia Monduli Leo, Taasisi Sokoine Memorial Kuenzi Aliyoyaacha

12 Aprili 2023: Imekuwa ni kawaida ya binadamu kumsifia mtu anapotangulia mbelea za haki lakini hata hivyo aliyekuwa Waziri Mkuu...

READ MORE

Wabunge wa Ruto kukutana na Upinzani Unaoongozwa Raila Odinga

Serikali ya Rais wa Kenya William Ruto, Jumanne, imewatangaza wabunge saba wa Kenya Kwanza watakao shiriki katika mazungumzo na upinzani...

READ MORE

Kiongozi wa Dini Anayeabudiwa Akabiliwa Na Kashfa Nzito – Video

Jina la Dalai Lama limekuwa gumzo duniani kote baada ya mtu huyo kukumbwa na kashfa nzito ya kulazimisha mtoto ambusu...

READ MORE

Rais Biden Awasili Ireland Kuunga Mkono na Kusherehekea Mkataba wa Amani

Rais wa Marekani Joe Biden anasafiri kwenda pande zote mbili za mpaka wa Ireland wiki hii, akishiriki katika maadhimisho ya...

READ MORE

DART Kushiriki Kampeni ya Upandaji #MitiMilioni ya Benki ya NMB

Taasisi ya Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Mwendokasi) – DART wameungana na Benki ya NMB kupitia kampeni yao inayozidi kushika...

READ MORE

Dkt. Mpango Mgeni Rasmi Kikao Kazi Tathmini Utendaji wa Mahakama Kesho

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Kikao Kazi cha Tathmini ya Utendaji wa Mhimili wa...

READ MORE

Mtangazaji wa Kwanza Kuwait Aliyetengenezwa kwa Teknolojia ya Artificial Inteligence

Shirika la Habari la Kuwait News, limemtambulisha mtangazaji wake wa kwanza ambaye ameundwa kwa teknolojia ya Artificial Inteligence (AI), aliyepewa...

READ MORE

Pata Odds za Kibabe leo na Kesho Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Kutoka Meridianbet

Hatua ya Robo fainali ya UCL itaanza leo tena kwenye viwanja tofauti Ulaya, ni mechi mbili Man City vs Bayern...

READ MORE

Mfanyakazi wa Benki Awaua Wafanyakazi Wenzake Watano Kwa Kuwapiga Risasi

Mfanyakazi wa Benki ya Old City Bank iliyopo Louisville, Kentucky nchini Marekani amewaua kwa kuwapiga risasi wafanyakazi wenzake watano wa...

READ MORE

Ushindi wa Tsh Mil 26 Kutoka Meridianbet Wamfanya Apagawe

Ilikuwa ni kama ndoto iliyootwa usiku na mara ghafla inageuka kweli, kutoka kulala maskini na kuamka Tajiri mwenye mamilioni ndani,...

READ MORE

Nahodha Atelekeza Meli Ikiwa na Wahamiaji 400 Baharini

Meli iliyokuwa imebeba takriban watu 400 imepoteza mwelekeo na kuanza kujaa maji ikiwa katika meneo ya kati ya Ugiriki na...

READ MORE

Bunge la Iran Lapendekeza Adhabu Kali kwa Wahusika wa Ukatili dhidi ya Wanawake

Bunge la Iran limeidhinisha mapendekezo ya kutoa adhabu kali kwa wahusika wa ukatili dhidi ya wanawake, mapendekezo ambayo yanaweza kupitishwa...

READ MORE

SBL Yakabidhi Gari Mpya Kwa Mshindi Kampeni Ya ‘Kapu La Wana’

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mchengerwa (kushoto) akionyesha kadi ya gari aliyokabidhiwa mkazi wa Arusha, Shamimu Hemedi Mushi (katikati)...

READ MORE

Mwanamuziki Mkongwe, Hussein Jumbe Afariki Dunia Akitibiwa Hospitali ya Amana

Msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Hussein Jumbe amefariki dunia leo, April 10, 2023. Kwa mujibu wa mtu wa...

READ MORE