×

Habari

Mtanzania Akamatwa na Kilo 2 za Heroin Afrika Kusini

MAMLAKA ya kudhibiti Dawa za Kulevya nchini Afrika Kusini imemkamata Ahmadi Mbwana Chonde (50) ambaye ni raia wa Tanzania akiwa...

READ MORE

Makamishna 4 Wa IEBC Walikuwa Wakishirikiana Na Maafisa Katika Muungano Wa Raila Odinga

Tume maalum iliyoundwa kuchunguza makamishna 4 wa tume huru ya uchaguzi nchini Kenya IEBC, imeambiwa kwamba makamishna hao walikuwa wanashirikiana...

READ MORE

SBL, Jeshi La Polisi Waelimisha Madereva Juu Ya Usalama Barabarani Kipindi Cha Sikukuu

  Disemba 23, 2022, Dar es Salaam.Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imefanya mafunzoya unywaji pombe kistarabu na uendeshaji vifaa...

READ MORE

Tigo Yawakabidhi Mamilioni na Vifaa vya Hisense Washindi wa Droo ya Nne ya Ndinga la Kishua

  Dar es Salaam, 23 Desemba 2022: Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo, leo imewakabidhi zawadi zao...

READ MORE

Simba Queens, Yanga Princess Hakuna Mbabe Uwanja wa Benjamin Mkapa

PAMBANO la watani wa jadi kati ya Simba Queens dhidi ha Yanga Princess limekosa mbabe baada ya timu hizo kuvimbiana...

READ MORE

Polisi Dar Yamnasa Mwanafunzi wa CBE Aliyejifanya Rais Mstaafu Kikwete Kutapeli

Press 22 Desemba 2022 Makosa ya KImtandao(1) KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA 11 MAKOSA YA KIMTANDAO Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya...

READ MORE

Kuwa Bingwa Kwa Kucheza Sloti Ya Odd One Out Kutoka Kasino Ya Mtandaoni Ya Meridianbet!

Sloti ya Odd One Out Kama wewe ni shabiki wa sloti za kizamani ila zinazokupa ushindi murua basi, mchezo huu...

READ MORE

Rais wa Ukraine Afanya Ziara ya Kwanza Marekani Aahidiwa Kuungwa Mkono na Rais Biden

  Rais wa Marekani Joe Biden Jumatano amemkaribisha mwenzake wa Ukraine Volodomyr Zelenskyy kwenye ikulu ya Marekani , ikiwa ziara...

READ MORE

Bodaboda, Madereva Taxi, Bajaj Kumwagiwa Mikopo Jijini Dar -Video

Kampuni mpya inayotoa huduma mbalimbali za kimtandao ikiwemo usafiri wa magari, Bajaj na pikipiki, Chapride Desemba 21, 2022 imetangaza ofa...

READ MORE

Historia, Rais Dkt. Samia Akizindua Ujazaji Maji Bwawa la Nyerere

Leo Desemba 22, 2022 Tanzania inaandika historia katika safari kuelekea mapinduzi ya nishati ambapo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa...

READ MORE

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila Yaanzisha Huduma ya Kupunguza Unene

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imezindua huduma mpya ya kuweka puto maalumu kwenye tumbo la chakula kwa watu wenye uzito uliopitiliza...

READ MORE

HaloPesa Yazindua “Shinda Tena na Halopesa” 

  Halotel ikiwa kampuni inayosifika nchini kupitia huduma zao za kifedha za HaloPesa, inaendelea kuwahamasisha wateja wao kwa kuleta huduma...

READ MORE

Marekani Yaishutumu Vikali Afghanistan kwa Kuzuia Elimu Kutolewa Kwa Wanawake

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeushutumu vikali uongozi wa Taliban baada ya serikali ya Afghanistan kupiga marufuku wanawake...

READ MORE

Benki ya NBC Yamkabidhi Fiston Mayele Tuzo Ya Mchezaji Bora Mwezi Novemba

  Dar es Salaam: Desemba 21, 2022: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu...

READ MORE

Mbunge Ditopile Akabidhi Pikipiki Kata Zote Kondoa Mjini

  Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amekabidhi Pikipiki Nane kwenye Kata zote nane za Halmashauri ya...

READ MORE

Waliochaguliwa kujiunga Mafunzo ya Ufundi kwa Mwaka 2023 VETA Hawa Hapa…

Vyuo vya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini (VETA) vimetoa orodaha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ufundi...

READ MORE

Afrika Kusini: Ramaphosa Achaguliwa Tena Kukiongoza Chama Kinachotawala ANC

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amechaguliwa tena kuwa kiongozi wa chama cha ANC katika mkutano wa chama uliofanyika Johanesburg,...

READ MORE

Ghorofa Laporomoka na Kuua Watano Marangu, Moshi Mkoa wa Kilimanjaro

Watu watano wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na jengo la ghorofa mbili, katika kijiji cha Sembeti,...

READ MORE

Moise Katumbi Atangaza Kugombea Urais wa RDC 2023 Kuminyana na Tshisekedi

Mfanyabiashara maarufu, mwanasiasa na aliyekuwa gavana wa mkoa wa Katanga, Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi, ametangaza kwamba atagombea...

READ MORE

Chama Cha Wasioona Tanzania Waneemeka Na Msaada Kutoka Meridianbet

Chama cha Wasioona Tanzania (TLB) kwa furaha kubwa wamepokea msaada wa fimbo za kutembelea “White canes” kutoka Meridianbet Tanzania ikiwa...

READ MORE

Elon Musk Awaomba Watumiaji wa Twitter Kuamua Mustakabali wa Uongozi Wake

Mmiliki wa Twitter Elon Musk anawaomba watumiaji wa mtandao huo wa kijamii kupiga kura kuhusu mustakabali wake kama afisa mkuu...

READ MORE

Odds za Meridianbet FAINALI ya Kombe la Dunia Zikoje?

    Ule msemo wa mtoto hatumwi dukani utatimia leo jioni pale katika dimba la Lusail ambalo ndio dimba kubwa...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Imetoa Zaidi ya Bil 7 Kuwezesha Ujenzi Chuo cha Ualimu Sumbawanga

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa zaidi ya shilingi bilioni saba kuwezesha ujenzi wa majengo mapya ya...

READ MORE

Waziri wa Elimu Akemea Watumishi Wanaofanya Udanganyifu Kwenye Mitihani

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekemea vikali udanyanyifu wa mitihani unaofanywa na baadhi ya watumishi wa...

READ MORE

Waziri Kairuki Awataka Walimu Kuwa Chachu ya Kudhibiti Ukatili Dhidi ya Watoto

      WALIMU wametakiwa kuchukua hatua za makusudi na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa watoto mashuleni wanapata elimu...

READ MORE

Diamond, Zuchu, Harmonize, Nandy Wang’ara Kwa Kusikilizwa Zaidi BoomPlay

  Mwaka 2022 umekuwa mwaka mzuri kwa tasnia ya muziki wa Tanzania, tukishuhudia kuibuka kwa wasanii mbalimbali wanaochipukia, wasanii wakijituma...

READ MORE

Rufaa ya Kamanda wa waasi Uganda Yatupiliwa Mbali Kukaa Gerezani Miaka 25

Mahakama ya rufaa ya uhalifu wa kimataifa ICC, imetupilia mbali rufaa ya aliyekuwa kamanda wa kundi la waasi la Lords...

READ MORE

SBL Yazindua Ripoti Ya Uendelevu ya Aina Yake

  Desemba 16, 2022,  Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imezidua ripoti yake ya shughuli endelevu chini ya kampuni...

READ MORE

Washindi 24 wa Kampeni ya Wakishua Wajizolea Milioni Kila Mmoja, 6 Vifaa Vya Hisense

  Dar Salaam 16 Desemba 2022:  Wakati kampeni ya Wakishua inayoendeshwa na Kampuni mtandao wa simu za mkononi ya Tigo...

READ MORE

Balozi wa Tanzania Nchini Austria Afariki Ajalini Wilayani Handeni Mkoani Tanga

Balozi wa Tanzania nchini Austria Celestine Mushi amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Mkata Wilayani Handeni Mkoani...

READ MORE

PM Majaliwa Akagua Ujenzi wa Hospitali ya Sumbawanga, Abaini Mapungufu

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea na kujionea maeneo ambayo bado hayajakamilika wakati alipokagua ujenzi wa Kituo cha Afya...

READ MORE

Ufaransa Yatinga Fainali ya Kombe la Dunia Baada ya Kuifunga Morocco Bao 2-0

Timu ya taifa ya Ufaransa Le Bleu imefanikiwa kuingia katka fainali yta kombe la dunia kwa mara nyingine tena baada...

READ MORE

ALAF Limited Yawapa Ufadhili Wanafunzi wa UDSM Wanaosomea MA ya Kiswahili

  Dar es Salaam, 15 Desemba 2022: Kampuni ya mabati ya ALAF Limited leo imetoa ufadhili kwa wanafunzi wa UDSM...

READ MORE

Tamko la Mtandao wa Wanawake Katiba, Uchaguzi na Uongozi Kuhusu Kuchapwa Viboko Kwa Wanawake

Mnamo tarehe 14/12/2022, Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uchaguzi na Uongozi ulipokea kwa mshtuko mkubwa taarifa iliyonukuliwa na chombo kimoja cha...

READ MORE

Wafanyakazi wa Absa Wasaidia Madawati Kwa Watoto Wenye Mahitaji

Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya Absa Tanzania, George Binde ( kushoto) akikabidhi madawati 37 yenye...

READ MORE

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo Aitaka Afrika Kuacha Kuombaomba Kupata Heshima Kimataifa

Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amesema kuwa mataifa ya Afrika lazima yajiondoe kwenye utaratibu wa kuomba nchi za Magharibi ili...

READ MORE

Sambaza Furaha Kwa Umpendaye! Post Picha ya Umpendaye na Uzawadiwe TECNO Camon 19

Kwa mara ya kwanza katika historia tumeshuhudia msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ukiwa pamoja na burudani kubwa ya...

READ MORE

Rais wa Afrika Akusini Ramaphosa Anusurika Kura ya Kutokuwa na Imani Naye bungeni

Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa amenusurika kura ya kutokuwa na Imani na utawala wake, baada ya bunge la nchi...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Makatibu Wawili Wizara ya Viwanda na Wizara ya Mambo ya Ndani

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Kabla ya...

READ MORE

Jumuia ya Wazazi CCM Mkoa wa Dar es Salaam Yapata Safu Viongozi Wake

  Dar es Salaam 14 Desemba 2022: Jumuiya ya Wazazi CCM mkoa wa Dar es Salaam hatiamaye imepata safu ya...

READ MORE