×

Habari

Spika Tulia Anatoa Tamko Kuhusu Ajali ya Precision Air – “Tumetuma Wawakilishi Watatu-Video

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson anatoa tamko kuhusu ajali ya Ndege ya Kampuni ya...

READ MORE

Miili 19 Ajali ya Ndege ya Ziwa Victoria Yatambuliwa, RC Chalamila Ataja Majina, Wamo Marubani -Video

MIILI 19 ikiwa ni pamoja na wanafamilia wawili na Mchina mmoja iliyopatikana kwenye eneo la ajali ya ndege ya abiria...

READ MORE

Waajiri Waaswa Kuwasilisha Michango ya Wanachama kwa Wakati

    MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umewataka  waajiri ambao wanachelewesha   michango ya watumishi kunasababisha  tozo...

READ MORE

Mahafali ya Shule Ya St Anne Marie Academy Yafaana Dar

  MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Dk. Jasson Rweikiza, amesema mwanafunzi ambaye atafiwa na wazazi wake wakati akiendelea na masomo kwenye...

READ MORE

Wizara za Maji na Afya Kushirikiana Kuepusha Changamoto ya Maji Hospitali ya Muhimbili

Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso leo ametembelea hospitali ya Taifa Muhimbili kuhakikisha huduma za maji ndani ya hospitali hiyo zinaendelea...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latoa Elimu ya Uzalendo Kwa Maelfu ya Waumini Kanisa la Ngome ya Yesu

    6 Novemba 2022: JESHI polisi nchini leo limetoa elimu ya uzalendo mbele ya maelfu ya waumini waliofurika kwenye...

READ MORE

Rais Samia Atoa Pole Kufuatia Ajali ya Ndege Iliyotokea Ziwa Victoria

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa watu walioathirika kufuatia ajali ya ndege ya Shirika la Precision katika Ziwa Victoria...

READ MORE

Updates: Ndege ya Precision Air Yaanguka Bukoba, 26 Waokolewa Kati ya 43 -Video

  Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amesema Ndege ya Precision Air iliyopata ajali wakati wa kutua Bukoba leo...

READ MORE

Mgomo wa Marubani wa Kenya Airways Wakwamisha maelfu ya Abiria

Maelfu ya abiria wa shirika ndege la Kenya Airways wamekwama baada ya marubani wa shirika hilo kuanza mgomo siku ya...

READ MORE

Mawaziri wa Rwanda na DRC Wakutana na Rais Joao Lourenco Kujadili Mapigano ya M23

Mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekua na mazungumzo na rais...

READ MORE

Mwinyijuma, Aliyekuwa Mwanasheria wa RAHCO Massawe Waachiwa Huru Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewaachia huru mfanyabiashara Kanji Mwinyijuma na aliyekuwa Mwanasheria wa Kampuni Hodhi ya...

READ MORE

Wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Kenya Warejesha begi lenye Milioni 44 Kwa Mtalii

Wafanyakazi wawili wa uwanja wa ndege wa Kenya na afisa wa polisi wamejizolea sifa baada ya kurudisha begi lililokuwa limebeba...

READ MORE

Wananchi wa Buchosa Kulipwa Fidia Zao Kabla ya Ujenzi wa Barabara ya Lami

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema kuwa Wananchi wa Jimbo la Buchosa watalipwa fidia zao kupisha ujenzi wa...

READ MORE

Mgomo wa Marubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways Kuanza Kesho Jumamosi

Marubani katika shirika la ndege la taifa la Kenya, KQ wanaanzisha mgomo kuanzia kesho Jumamosi, maafisa wa muungano wa wafanyakazi...

READ MORE

Mke Wangu Ananiomba Msamaha Baada ya Mama Yake Kudai Nimembaka

HUKU duniani kuna mambo ukiambiwa unaweza kujiuliza inawezekanaje lakini ukweli ni kwamba mambo hayo yapo na wanafanywa na ni binadamu...

READ MORE

Hawa Hapa Washindi wa “Wakishua Twenzetu Qatar na Hisense” Wiki ya Tano

  Novemba 4, 2022,  Kampuni inayoongoza Tanzania katika kuhakikisha mtanzania anaishi maisha ya kidijitali Tigo Tanzania, kupitia Promosheni yake ya...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Xi Jinping – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassana leo Novemba 3, 2022 amekutana na Mwenyeji wake Rais wa...

READ MORE

Mpina Ambana Tena Mwigulu Sakata la TRAT na TRAB

MBUNGE wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina ameibua tena bungeni sakata la Sh. trilioni 360 za malimbikizo ya kodi za makinikia...

READ MORE

Mazito! Amuua Mkewe Kisa Kulala Kwenye Sofa

Mwanamume mmoja mkazi wa kaunti ya Mombasa nchini Kenya amekamatwa na maofisa wa polisi baada ya kumdunga kisu mkewe kutokana...

READ MORE

Ikulu ya Marekani: Korea Kaskazini Inaipatia Urusi Silaha Kwa Siri Vita vya Ukraine

  Ikulu ya Marekani ilisema Jumatano kwamba Korea Kaskazini inaipatia Urusi silaha kwa siri kwa ajili ya vita vya Ukraine....

READ MORE

Kisa Mayele, Kocha Africain Aingia Mchecheto Kutinga Makundi Kombe la Shirikisho

  KOCHA Bertrand Marchan wa Club Africain ya Tunisia amesema kuwa anawatambua wapinzani wao kuwa ni wazuri ikiwa ni pamoja...

READ MORE

Mbunge Shigongo Amshukuru Rais Samia kwa Kujenga Lami Buchosa

  MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo amempongeza na kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kitendo cha kutenga fedha ambazo zimewezesha...

READ MORE

Washindi wa Promosheni ya Meridianbet ya Bodaboda na Simu Wapatikana

  Kila mmoja ni Bingwa kwenye uwanja wake! Meridianbet walitoa nafasi ya kutamba ukibashiri kwa USSD bila kutumia Intaneti, ukibeti...

READ MORE

Aliyenitapeli Fedha Zangu Amezirudisha Mwenyewe Baada ya Kufanya Hivi!

HAKUNA kitu kinaumiza kama kutapeliwa, utapeli umewaingiza watu wengi katika msongo wa mawazo baada ya kupoteza vitu vyao vya thamani...

READ MORE

Watumiaji wa Twitter Kulipa Ada ya $8 Kila Mwezi Kumiliki Bluu Tiki- Elon Musk

Elon Musk amesema Twitter itatoza $8 (£7) kila mwezi kwa watumiaji wa Twitter ambao wanataka tiki ya bluu kwa majina...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yatoa Msaada wa Vifaa vya Tehama Jijini Dodoma

VODACOM Tanzania Plc kupitia Vodacom Tanzania Foundation, inaendeleza juhudi za kuipeleka Tanzania katika ulimwengu wa kidijitali, ambapo jana imekabidhi msaada...

READ MORE

Msanii Takeoff wa Kundi Maarufu la Migos Auawa kwa Kupigwa Risasi Kichwani

  MSANII wa kundi la Migos kutoka nchini Marekani, Takeoff ameuawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya leo, tukio lililotokea katika...

READ MORE

Rais Samia Afafanua Chanzo cha Ukosefu wa Maji Maeneo Mbalimbali Nchini

RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameguswa na suala la maji kukosekana sehemu mbalimbali na hata...

READ MORE

Kumekucha Bungeni, Wabunge Wanaunguruma Muda Huu Kwa Hoja Nzito-Video

MKUTANO wa 9 kikao cha kwanza wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza leo Novemba 1, 2022. 

READ MORE

Mechi za Kuamua Nani Atafuzu Hatua ya 16 Bora Uefa Champions League

Baada ya mechi 5 za mwanzo kuchezwa, sasa hii ni mechi ya 6 ya kuamua ni nani atafuzu hatua ya...

READ MORE

Watumiaji wa Twitter Ambao Kurasa Zao Ziko Verified Kuanza Kulipia kwa Mwezi

WATUMIAJI wa mtandao wa Twitter ambao kurasa zao zimethibitishwa (verified), wataanza kutozwa ada ya dola za Kimarekani 20 kila mwezi,...

READ MORE

Matoikeo ya Sensa: Tanzania Ina Watu Milioni 61.7

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa idadi ya Watanzania ni milioni 61.7 mpaka kufikia...

READ MORE

Game Super Market Kufunga Maduka Yake Nchini Tanzania

KAMPUNI ya Massmart kutoka Afrika Kusini inayomiliki maduka ya Game imesema Desemba 25, 2022 ni mwisho wa maduka yake kutoa...

READ MORE

Fursa za Ajira kwa Vijana Waliosomea IT na Wenye Uzoefu wa Teksi Mtandao

WANATAKIWA vijana wa Kitanzania, waishio jijini Dar es Salaam, waliosomea Information Technology (IT) kwa ajili ya kufanya kazi kwenye kampuni...

READ MORE

Live: Rais Samia Anazindua Matokeo ya Mwanzo ya Sensa ya Watu na Makazi-Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anaongoza Taifa katika uzinduzi wa matokeo ya mwanzo ya Sensa...

READ MORE

PM Majaliwa Kuwa Mgeni Rasmi Mahafali ya 57 Ya  Chuo Cha CBE

    Mkuu wa chuo hicho, Prof. Emmanuel Mjema amesema kuwa  mahafali ya 57 ya  cha ElChuo cha Elimu ya...

READ MORE

Zawadi za Nmb Mastabata Msimu Huu Kuwakwamua Wateja Kiuchumi

  Msimu wa nne wa kampeni ya NMB MastaBata tayari umeanza baada ya promosheni hiyo ya kuchagiza malipo kidijitali kuzinduliwa...

READ MORE

Watu 150 Wafariki Kwenye Mkanyagano Wakisherekea Sikukuu ya Halloween

Zaidi ya watu 150 wanaripotiwa kufa huko Korea Kusini katika mkanyagano uliotokea wakati wa Sherehe za Halloween mjini Seoul usiku...

READ MORE

Kocha Mgunda Kutopewa Mkataba Kisa Kufungwa? Ahmed Ally Ajibu – Video

 GLOBAL TV imezungumza na Afisa habari wa Simba Ahmed Ally amezungumza kuelekea maandalizi yao kuelekea mchezo dhidi ya Mtibwa...

READ MORE