×

Habari

Wema Atoa ya Moyoni Kuhusu Uhusiano Wake na Whozu, Akataa Ndoa

  WEMA Isaac Sepetu; ni supastaa wa filamu nchini Tanzania ambaye amekwenda kinyume kabisa na tangazo la boyfriend wake wa...

READ MORE

Chipsika Kiajira na Coke: Over 900 Young Food Vendors Have Received a Shot in the Arm

    Sunday October 30, Dar es Salaam – More than 900 young food vendors have been equipped to take their...

READ MORE

Madereva wa Malori Waigomea TICTS Bandarini

MADEREVA malori wameigomea kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es Salaam (TICTS) kutokana ucheleweshaji mkubwa wa...

READ MORE

Mechi Zenye Odds Kubwa Wikiendi Hii

Unaambiwaje, Wikiendi hii boli litatembea kwenye viwanja tofauti barani ulaya, ni Ligi ya Epl, La Liga, Serie A, Ligue 1...

READ MORE

Hospitali Ya KAM Musika Yapima Bure Matibabu ya Saratani Tezi Dume

  KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali ya awamu ya sita katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Hospitali ya...

READ MORE

Bilionea Namba Moja Duniani, Elon Musk Akamilisha Ununuzi wa Twitter Kwa $44bn

BILIONEA namba moja duniani, Elon Musk amekamilisha ununuzi wake wake wa $44bn (£38.1bn) wa Twitter, kulingana na mwekezaji katika kampuni...

READ MORE

Magari Yaanza Kupita Rasmi Daraja Jipya La Wami

DARAJA jipya la kisasa WAMI ambalo linaunganisha mikoa ya Dar es Salaam, Pwani pamoja na mikoa ya Kaskazini limeanza kutumika...

READ MORE

Washindi wa “Wakishua Twenzetu Qatar na Hisense” Wiki ya Nne Wapatikana

    Oktoba  28, 2022,  Kampuni inayoongoza Tanzania katika kuhakikisha mtanzania anaishi maisha ya kidijitali Tigo Tanzania, kupitia Promosheni yake...

READ MORE

Power Learn Project Yazinduliwa Nchini Kutoa Mafunzo ya Mifumo ya Kompyuta

    Power Learn Project yazinduliwa Tanzania katika Hoteli ya Johari Rotana, Barabara ya Sokoine Drive, Dar es salaam, ikiwa...

READ MORE

Uwekezaji Kidijitali, Nmb Yaendelea Kukuza Uchumi wa Buluu

  Benki ya NMB imekuwa mstari wa mbele kwa ubunifu katika sekta ya TEHAMA kwa kutoa masuluhisho mbalimbali kwa wateja wake...

READ MORE

Wizara ya Maji Yaungana na DAWASA Changamoto ya Maji Dar

Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso (Mb) ametembelea eneo la matengenezo ya bomba kubwa la inch 72 katika kata ya...

READ MORE

Majambazi Wawili Wauawa Gongo la Mboto Wakiiba Mkopo wa Milioni 1

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Wananchi wa maeneo ya Gongo la Mboto wamewadhibiti...

READ MORE

Korea Yaipatia Tanzania Mkopo wa Shilingi Bilioni 310

SERIKALI ya Jamhuri ya Korea imeipatia Tanzania mkopo wa gharama nafuu wa shilingi bilioni 310 kwa ajili ya upanuzi wa...

READ MORE

Bunge Kenya Lawapitisha Mawaziri Wote 24 Walioteuliwa na Rais Ruto

Bunge la Kenya Jumatano hatimaye limeidhinisha uteuzi wa mawaziri wote 24 kuhudumu kwenye baraza la mawaziri la rais William Ruto....

READ MORE

Mtu Mchafu Zaidi Duniani Aaga Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 94 nchini Iran

Mwanaume wa Iran, Amou Haji ambaye anashikilia rekodi ya kuwa ni mtu mchafu zaidi duniani kwa muda wa nusu karne...

READ MORE

SBL Yazindua Kampeni ya Kupinga Unywaji Pombe Katika Umri Mdogo

  Dar es Salaam, Oktoba 27, 2022 –  Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua programu  ya kupambana na unywaji...

READ MORE

Benki ya I&M Tanzania Yakutana na Wateja na Bodi ya Wakurugenzi Kwenye Hafla

    Siku ya Alhamisi 27 Oktoba 2022, Benki ya I&M Tanzania hivi karibuni imefanya hafla ya chakula cha jioni...

READ MORE

Utafiti Waonesha Halotel Yaongoza Kwa Intaneti Yenye Spidi Nchini

Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imeshika usukani mara ya tatu kwa kuwa na huduma ya intaneti yenye...

READ MORE

Rais Samia Aridhia Walioghushi Vyeti Kurudishiwa Michango ya Hifadhi za Jamii

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Watumishi wa Serikali walioondolewa kazini kwa  sababu ya kughushi vyeti kurudishiwa  michango yao waliyochangia katika...

READ MORE

Rais Samia Amedhamiria Kuendelea Kuimarisha Huduma za Afya-Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwezesha...

READ MORE

Mpanda: Mtoto wa Miaka 10 Auawa Akiwa Machungoni

MTOTO wa Miaka 10 kutoka Kijiji cha Kakese Kata ya Kakese Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ameuawa na...

READ MORE

Watendaji URA Saccos Watakiwa Kutoa Huduma Bora kwa Wanachama

CHAMA cha Ushirika cha kuweka na kukopa cha Jeshi la Polisi (URA SACCOS) Kimewataka watendaji wa chama hicho kutoka Mikoa...

READ MORE

Mwanamke Afumaniwa Chumbani Akifanya Ngono na Mwanaye

MWANAMKE mwenye umri wa kati kutoka kaunti ya Meru, amenusurika kifo jana Jumanne, Oktoba 25, baada ya wakazi wenye hasira...

READ MORE

Waziri Ndalichako Aitaka Sekta ya Umma Kushirikiana Na Wadau Kuimarisha Usalama, Afya Mahali pa Kazi

Wito umetolewa kwa wadau wa sekta ya umma kushirikiana kikamilifu na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA)...

READ MORE

Rishi Sunak Ateua Baraza Jipya la Mawaziri Baada ya Kuwa Waziri Mkuu

Rishi Sunak ameteua timu yake ya mawaziri katika siku yake ya kwanza kama waziri mkuu wa Uingereza. Katika hotuba yake...

READ MORE

Makandarasi Watakiwa Kuchangamkia Fursa Ndani na Nje ya Nchi

  MAKANDARASI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kulalamika badala yake waweke juhudi ili wapate kazi kubwa zinazotangazwa ndani ya nje...

READ MORE

Kamati ya Wakuu wa vyuo Vikuu Nchini Yakutana Dar

  KAMATI ya Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu nchini (CVCPT), imeishauri serikali kuongeza wigo wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa...

READ MORE

Tigo Yakabidhi Minara 42 kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

26 Oct 2022 News and Events 1, RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi...

READ MORE

Benki ya NMB Kinara wa Usawa wa Kijinsia Afrika

Ubaguzi wa kijinsia ni mwiko kwa Benki ya NMB na juhudi zake za kutokomeza kabisa unyanyapaaji huo nchini zimeiheshimisha duniani...

READ MORE

Serikali Yaifungia Shule ya Chalinze Modern Islamic Kuwa Kituo Cha Mitihani – Video

Serikali imeifungia Shule ya Awali na Msingi ya Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha Mitihani kutokana na udanganyifu uliofanyika katika...

READ MORE

Baraza la Mitihani Watoa Taarifa Ufanyaji wa Mitihani Darasa la Nne na Kidato cha Pili – Video

 Baraza la mitihani limewaasa walimu wakuu, waratibu Elimu Kata na wamiliki wa shule kutojihushisha katika kupanga na kutekeleza njama...

READ MORE

DC Godwin Gondwe Awaomba Radhi Wananchi Kutokana na Kukosa Huduma ya Maji

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe amewaomba radhi Wananchi wa Wilaya hiyo kutokana na kukosa huduma ya maji...

READ MORE

Mtandao wa WhatsAPP Washindwa Kufanya Kazi kwa Zaidi ya Saa Moja

Watumiaji wa huduma mtandao wa kijamii wa WhatsApp wamejikuta wakilazimika kutumia njia mbadala ya kuwasiliana baada ya mtandao huo kuonekana...

READ MORE

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt. Gwajima Afanya Uteuzi wa Wasadizi Wake

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt. Josephat Gwajima katika kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi katika suala zima la...

READ MORE

CCM Yasambaratisha Ngome ya Upinzani Kibiti, Umati Warudisha Kadi Wakiwemo Viongozi

    23 Oktoba 2022: NGOME ya upinzani wilayani Kibiti imesambaratishwa. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia umati wa wanachama wa...

READ MORE

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF Wawatahadharisha Wastaafu na Matapeli

Meneja wa Uhusiano na Elimu wa PSSSF,James Mlowe akizungumza wakati wa kikao kazi kilichofanyika kati ya mfuko huo na Chama...

READ MORE

Biden Asema Chaguo la Sunak Kama Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza ni ‘Hatua Kubwa Mno’

  Rais wa Marekani Joe Biden Jumatatu alitaja chaguo la Rishi Sunak, waziri wa zamani wa fedha, kama waziri mkuu...

READ MORE

Tigo na XIAOMI Wazindua Simu Mahiri za 4G za Bei Nafuu Nchini Tanzania

    Dar es Salaam. Tarehe 25 Oktoba, 2022. Kampuni inayoongoza katika utoaji wa huduma za kidijitali nchini, Tigo Tanzania,...

READ MORE

Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM Wilaya ya Sengerema: Nitatumia Nafasi Yangu Kuwaunganisha Wana CCM

Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Omary Sukari amesema atatumia nafasi ya ujumbe wa mkutano mkuu ...

READ MORE