×

Habari

Shilole Amlilia Rais Samia Ataka Sheria Mpya Mauaji ya Wanawake

SHILOLE au Shishi Baby; ni mwanamama anayefanya Bongo Fleva na mjasiriamali ambaye kuhusu kukithiri kwa mauaji ya wapenzi hasa wanawake,...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yashirikiana na Samaki Samaki Kuwazawadia Wateja

    Dar es Salaam, 3 Juni 2022. Vodacom Tanzania Plc, kampuni inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano nchini,...

READ MORE

TMA Yatoa Tahadhari ya Upepo Mkali kwa Siku Tano, Lindi, Mtwara, Tanga, Dar na Pwani

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) leo imetoa tahadhari ya upepo mkali unaotarajiwa kutokea kwenye siku tano zijazo katika...

READ MORE

Baba, Mama, Mtoto Wapata Ulemavu, Baba Asimulia Alivyokatwa Mguu – Video

 Familia ya Mzee Edimundi Malya (63) Mkazi wa Buza Jijini Dar es Salaam ambayo imejikuta katika majonzi mazito baada...

READ MORE

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Afunguka Urusi Kuteka 20% ya Nchi Yake

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema kuwa vikosi vya Urusi vimeteka 20% ya eneo la nchi yake, wakati uvamizi wa...

READ MORE

Nape: Kampuni za Simu Acheni Kutuma Ujumbe Ambao Mteja Hajaomba, Hii tabia Ikome

  Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye ametaka makampuni ya mawasiliano nchini kuacha mara moja tabia...

READ MORE

NBC Yatoa Gawio la Tsh Bil 4.5 kwa Serikali

Dodom, 3 Juni, 2022 – Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba amepokea gawio la shilingi bilioni 4.5 linalotokana na uwekezaji wa Serikali...

READ MORE

UVCCM: Asante kwa Kazi Kubwa Rais Samia, Piga Kazi Mama

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM limeaziamia kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu...

READ MORE

Makamu wa Rais Ashiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa Nchini Sweden

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 2 Juni 2022 ameshiriki...

READ MORE

Serikali Kuandaa Kanuni za Udhibiti wa Bei ya Dawa na Vifaa Tiba

SERIKALI ipo mbioni kuandaa kanuni za kudhibiti bei za dawa nchini na tayari rasimu ya kanuni hizo zimeshawasilishwa kwa Mwanasheria...

READ MORE

Watu 6 wa Familia Moja Mkoani Songwe Wanasakwa na Polisi kwa Uharibifu wa Mazingira

MKUU wa Mkoa wa Songwe, Omary Mgumba amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi kuwatafuta popote pale walipo watu sita (6)...

READ MORE

Wizara ya Afya Yanuia Kuongeza Kasi ya Matumizi ya Chanjo ya Uviko-19

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu leo Juni 02, 2022 amezindua zoezi la kuongeza kasi ya matumizi ya chanjo ya Uviko...

READ MORE

Rais Samia Afungua Mkutano wa Mwaka wa Chama cha Makatibu Mahsusi(PICHA+VIDEO)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefungua Mkutano wa Mwaka wa Makatibu Mahsusi kutoka mikoa mbalimbali...

READ MORE

Urusi Yatangaza Majaribio ya Makombora ya Nyuklia, Baada ya Marekani Kutoa Roketi

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imetangaza kuanza kwa mazoezi ya kijeshi ya kile kinachoitwa Kikosi cha Makombora cha Kimkakati –...

READ MORE

Tundu Lissu: Serikali Imenilipa Mafao Yangu ya Ubunge Baada ya Kutumikia Miaka Mitatu

  MAKAMU mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amesema Serikali imemlipa kiinua mgongo chake aliochukuwa anadai baada ya kutumikia nafasi ya...

READ MORE

Exim Yakutana na Wateja Wake Shinyanga

                   

READ MORE

Kufuatia Sakata la Mtoto wa Miaka 8 Kuuawa, Wazazi Waibua Mazito – Video

SAKATA la mtoto mwenye umri wa miaka 8 anayedaiwa kunyongwa na msichana wa kazi eneo la Kimara Temboni mtaa wa...

READ MORE

Breaking News: Makada 19 wa Chadema Waachiwa Huru na Mahakama Mwanza

Viongozi na wanachama 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walioshtakiwa kwa madai ya kufanya fujo wakati wa ibada...

READ MORE

Waziri wa Nishati Awasilisha Bajeti Yake Bungeni, Agusia Maboresha ya Umeme Vijijini

WAZIRI wa Nishati January Makamba ametoa hotuba ya makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha...

READ MORE

Dada wa Kazi Adaiwa Kumuua Mtoto kwa Kumnyonga Kimara, Dar… Anaswa na CCTV Kamera

DADA wa kazi anadaiwa kumuua Mtoto Erickson Kimaro (8) kwa kumnyonga. Tukio hilo limetokea Mei 30, 2022 eneo la Kimara...

READ MORE

Airtel Yaja na Tesa Kimilionea Inaendelea, Kutoa RAV4, Mil 10 na Mil 1 Kila Siku

    DAR ES ALAAM, Jumatano Juni 2022: Airtel Tanzania leo imetangaza TESA KIMILIONEA INAENDELEAAAA ambapo kwa sasa wateja na...

READ MORE

Equity Bank Tanzania Wazindua Kampeni ya Karibu Memba

    LEO Benki ya Equity imezindua kampeni yake mpya iitwayo Karibu Memba ambapo Mkuu Wa Kitengo Cha Uendeshaji Wa...

READ MORE

EWURA Yatangaza Punguzo la Bei ya Mafuta Ambalo Halijawahi Tokea Nchini, Petroli Sh2,994

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), leo Jumanne Mei 31, 2022  imetangaza bei kikomo za bidhaa...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho ya Miaka 30 ya Joseph Mbilinyi (Sugu)-Video

  Rais Samia leo Mei 31, 2022 ameshiriki maadhimisho ya miaka 30 ya Joseph Mbilinyi (Sugu) kuwa Msanii wa Hiphop...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Awasili Nchini Sweden Kuhudhuria Mkutano wa UN

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 31 Mei 2022 amewasili Stockholm...

READ MORE

Vijana Waliomaliza Kidato cha Sita 2022, Waitwa Kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria(PICHA+VIDEO)

JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limewaita vijna waliohitimu elimu ya Sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2022 kutoka shule zote...

READ MORE

Prof. Mbarawa Aruhusu Magari Kupita Barabara ya Juu Chang’ombe

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameruhusu kuanza kutumika kwa njia moja ya barabara ya Juu Chang’ombe ili...

READ MORE

Mamia Wajitokeza Kumzika Aliyepigwa Risasi na Mumewe Ilemela, Mwanza – Video

HATIMAYE mwili wa mwanamke Swalha Salum mkazi wa Buswelu wialayani Ilemela jijini Mwanza aliyeuawa kwa kupigwa risasi na mumewe wa...

READ MORE

Rais Samia Atoa Onyo kwa Watanzania Watakaokwenda Kufanya Biashara Haramu Nchini Qatar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa watanzania wanaofikiria kwenda kufanya huduma haramu nchini...

READ MORE

Waziri Nape Apongeza Vodacom, TBL Katika Jitihada za Kuinua Kilimo

  SERIKALI inaunga mkono jitihada za Kampuni ya Vinywaji vikali ya TBL na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mikononi...

READ MORE

Breaking News: Mambo ni Moto Simba, Kocha Pablo, Kocha wa Viungo Watimuliwa

  KLABU ya SIMBAimetangaza rasmi leo Mei 31, 2022, kuachana na Kocha wake Mkuu Pablo Franco na Kocha wa viungo...

READ MORE

Pauni 115m Kushusha Majembe Mawili United, Mambo Yameiva Kwa Kocha Mpya

  MANCHESTER United italazimika kutoa pauni 115m kwa wachezaji wawili ambao wanapewa kipaumbele katika usajili ujao.   Wachezaji hao ni...

READ MORE

Taasisi ya Dkt. Mengi Yakutanisha Watu Wenye Ulemavu Katika Kumbukizi ya Muasisi Wao

TAASISI ya Dkt. Mengi Maarufu kama Dr. Reginald Mengi Foundation imeandaa hafla ambayo imewakutanisha watu wenye ulemavu kama sehemu ya...

READ MORE

Rafiki Wa Mume Aliyempiga Risasi 7 Mke Wake Mwanza, Afunguka Mazito… – Video

 Global Tv imezungumza na rafiki wa mume wa Swalha, ambaye anatuhumiwa kuhusika na kifo cha mke wake huyo, kwa...

READ MORE

Hukumu ya Sabaya Yaahirishwa Kutolewa Juni 10, Wakili Wake Afunguka – Video

Hukumu ya Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake imeahirishwa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo Awasili Simiyu kwa Ziara ya Kikazi

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM) Daniel Chongolo amewasili leo Mkoani Simiyu akitokea Mkoani Shinyanga kuanza rasmi ziara...

READ MORE

Live: Mapya Yaibuka Sakata la Mume Kuua Mke, Kujiua, Sabaya Kutoka Au Kubaki Jela?

 Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi...

READ MORE

Vita vya Ukraine: Viongozi wa EU Wakubaliana Kupiga Marufuku Uagizaji Mafuta ya Urusi

  Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana juu ya mpango wa kuzuia zaidi ya theluthi mbili ya uagizaji wa mafuta...

READ MORE

Wydad Casablanca ya Morocco Yabeba Ubingwa Ligi ya Mabingwa Afrika -Video

 Wydad Casablanca ya Morocco wanafanikiwa kutwaa Ubingwa wa Club Bingwa Afrika kwa kuifunga 2-0 club ya Al Ahly ya Misri...

READ MORE

TADB Yaendesha Warsha ya Uwezeshaji Jinsia na Vijana Kiuchumi

    BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeandaa mpango mkakati wa kuwawezesha kiuchumi wanawake na vijana kwa kushirikiana...

READ MORE