×

Habari

CAG Kichere: Bil 18.5/- Zilizokusanywa na KADCO Hazikupelekwa TRA – Video

KIASI cha Sh 18.5 bilioni zilizokusanywa na Kampuni ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) kama malipo ya...

READ MORE

Breaking; Kiwanda cha Mikate Mikocheni Industrial Area Kikiungua Moto Muda Huu

Kiwanda cha mikate kilichopo Mikocheni Industrial Area kikiungua moto muda huu, kinachoendelea kwa sasa ni shughuli za kuuzima moto huo...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Ikulu Jijini Dar Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 12, 2022 amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki...

READ MORE

Ajali ya Gari Yaua 6 na Kujeruhi 19 Mkoani Tanga, Chanzo Mwendokasi wa Dereva

WATU sita wamepoteza maisha na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka wilayani Korogwe, mkoani...

READ MORE

Baada ya Makonda Kuandika Ujumbe Mtandaoni, Manara Amuwashia Moto

BAADA ya jana, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram...

READ MORE

Live: Wabunge Wanajenga Hoja Nzito Kwa Serikali, Bunge La 12, Mkutano Wa 7, Kikao Cha 5.

Kikao cha tano kinaendelea leo Aprili 12, 2022 Bungeni Dodoma. Wabunge wanauliza maswali na kujibiwa na Serikali. 

READ MORE

Live: Makonda Awataja Wanaotaka Kumuua, Ajitabiria Ya Sabaya, Mkakati Kupoza Maumivu Ya Bei…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

SBL Yapanua Fursa za Kilimo kwa Wanafunzi wa Vyuo

MOSHI.Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeendeleza malengo yake ya kuongeza tija kwenye kilimo kwa kutoa fursa zaidi kwa wanafunzi...

READ MORE

Nmb Yatia Mkono Ujenzi wa Mradi wa Reli ya SGR

  Kama ilivyokuwa katika miradi mbalimbali ya kimkakati, Benki ya NMB imeendelea kuwa mstari wa mbele kwenye kutoa ushirikiano kwa...

READ MORE

Rais Wa Ufaransa Aongoza Kura Duru ya Kwanza ya Uchaguzi, Atahadharisha Wafuasi Wake

RAIS  wa Ufaransa Emmanuel Macron ametahadharisha wafuasi wake kwamba bado wana safari ndefu ya kuibuka na ushindi licha ya kuongoza...

READ MORE

Kinana Akutana na Balozi wa Marekani, Uhusiano Kati ya Tanzania na Marekani Kuimarishwa

MAKAMU  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM-Bara), Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amekutana na Balozi wa Marekani nchini, Donald Wright,  jijini...

READ MORE

Mume wa Mwimbaji wa Ekwueme Akamatwa na Polisi Kujibu Tuhuma za Mauaji

  MUME wa mwimbaji wa nyimbo za Injili wa Nigeria, Osinachi Nwachukwu aliyefariki dunia Ijumaa katika hospitali jijini Abuja, amekamatwa...

READ MORE

PM Majaliwa Azindua Teleza Kidigitali Ya NMB

BENKI ya NMB, imefanya mapinduzi makubwa ya kibenki ambapo imezindua huduma kubwa tatu kupitia kampeni yake ya Teleza Kidijitali zinazomwezesha mteja wa benki hiyo...

READ MORE

Serikali ya Tanzania Yaingia Ubia na Aga Khan Kukabiliana na Ugonjwa wa Saratani

WAZIRI wa Afya Ummy awataka watanzania kuacha dhana ya kwenda kwa waganga wa kienyeji na badala yake waende hospitali kupima...

READ MORE

Kesi ya Zuma Kunguruma Leo, Barabara Zafungwa Hofu ya Maandamano Ikitanda

BARABARA kadhaa zimefungwa karibu na mahakama ya Pietermaritzburg huku kesi ya ufisadi inayomkabili Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob...

READ MORE

Wabunge Wanaibana Serikali Kwa Maswali, Bunge La 12, Mkutano Wa 7 Kikao Cha Nne…Video

Bunge la 12, mkutano wa saba, kikao cha nne kinaendelea Bungeni Dodoma leo Aprili 11, 2022. 

READ MORE

Kinana Aanza Kutema Cheche CCM, Mawaziri, CCM Uso Kwa Uso, NEC Kufumuliwa Upya -Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Makazi Mapya Waliohamishwa Ngorongoro Yanoga

  Wawakilishi wa wananchi walioamua kuondoka kwa hiari kutoka kata 10 kati ya kata 11 ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro...

READ MORE

SBL na WaterAid Wazindua Mradi Mpya wa Maji Safi na Salama Bassotu

    BASSOTU, Hanang. Zaidi ya wanakijiji 4000 wa Bassotu na jirani wilaya ya Hanang mkoani Manyara wamenufaika na mradi...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Mabalozi Wanne Ikulu Dar es Salaam, Awapangia Vituo vya Kazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Leo Aprili 10, 2022 amewaapisha mabalozi wanne Ikulu Jijini Dar...

READ MORE

Kinana Atangaza Ziara Mikoa 11, Kuanza na Pwani, Tanga, Kilimanjaro na Arusha -Video

MAKAMU Mwenyekiti mpya wa CCM, Abdulrahman Kinana, ametangaza ziara ya kichama ya mikoa minne atakayoifanya hivi karibuni.   Kinana ametangaza...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan Aondolewa Madarakani, Alikuwa Anaipinga Marekani

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameondolewa mamlakani baada ya bunge kupiga kura ya kutokuwa na imani naye. Washirika wake...

READ MORE

NBC Yaandaa Futari kwa Wateja Wake Zanzibar

Zanzibar: April 9, 2022: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeandaa hafla ya futari kwa ajili ya wateja wake visiwani...

READ MORE

Al Barakah ya Benki ya CRDB Yawagusa RC na Sheikh Mkuu Tanga

    TANGA 9 Aprili 2022 – Huduma ya Al Barakah ya Benki ya CRDB inayozingatia misingi ya kutotoza au...

READ MORE

Sista Osinachi Mwimbaji Maarufu wa Nyimbo za Dini wa Nigeria Afariki Dunia

MWIMBAJI maarufu wa nyimbo za Injili kutoka nchini Nigeria, Sister Osinachi Nwachukwu maarufu kupitia wimbo wake wa “Ekwueme” amefariki dunia...

READ MORE

Meli Aina ya Frontier Ace Yatua Bandari ya Dar es Salaam Ikiwa na Magari 40,41

MELI ya mizigo aina ya Frontier Ace iliyobeba magari 4,041 imewasili katika Bandari ya Dar es Salaam leo April 8...

READ MORE

Rais Samia Azindua Nembo Na Tarehe Ya Sensa Ya Watu Na Makazi Ya Mwaka 2022 Zanzibar (Picha +Video)

RAIS  wa Tanzaniza, Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi nembo ya sensa na kutangaza siku ya sensa ya watu na makazi...

READ MORE

Meridianbet Tanzania Yatoa Mkono Wa Pole Kwa Familia ya Bi. Zainabu Mohamed

Ni desturi ya kampuni ya Meridianbet kurudisha kwa jamii inayoizunguka. Katika kuendeleza utamaduni huu, Meridianbet inaungana na familia ya Bi....

READ MORE

MO Green Yazindua Kiuatilifu cha Mo Strong Mkombozi kwa Zao la Pamba

    KAMPUNI ya Mo Green International Company Limited inayojihusisha na uagizaji na usambazaji wa pembejeo za kilimo imezindua kiuatilifu...

READ MORE

Royal Oven ya Yatunukiwa Cheti na TBS Utengenezaji Bora wa Vitafunwa

    KAMPUNI ya uzalishaji wa mikate na vitafunwa mbalimbali ya Royal Oven yenye makao yake makuu jijini Mwanza na...

READ MORE

Tarura Yasitisha Utozaji wa Faini za Ushuru wa Maegesho ya Magari Kuanzia Leo

Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 7/04/2022 Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), ilitoa taarifa ya kuanza kutoza faini kwa...

READ MORE

Video: Soko la Mchikichini Karume Lateketea, Wafanyabiashara Waangua Vilio

SOKO la Karume (soko la mchikichini) limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Aprili 8, 2022. Imeelezwa kuwa moto huo...

READ MORE

Bella Amshukuru Rais Samia kwa Kuukubali Muziki Wake na Kumpongeza Jijini Dodoma

Christian Bella au King Of The Best Melodies; ni staa wa muziki wa Dansi nchini Tanzania ambaye amemshukuru Rais wa...

READ MORE

Tarura Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Faini Zinazotokana na Kukwepa Ushuru wa Maegesho

WAKALA wa barabara Mijini na Vijijini Tarura umetoa taarifa kwa umma kuwa umeanza rasmi kutoza faini kwa watumiaji wa maegesho...

READ MORE

Wilaya ya Ikungi Yapata Uwekezaji Mpya Wenye Thamani ya Shilingi Bilioni 3

LEO tarehe 07/04/2022 Mkuu wa wilaya ya Ikungi Jerry C. Muro amesimamia tukio la kihistoria la uwekaji saini ya makubaliano...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Kumbukizi ya Miaka 50 ya Hayati Sheikh Abeid Aman Karume (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Sheikh Amani Abeid...

READ MORE