×

Habari

Babu Tale, Salome Makamba Wazungumzia Hali ya Prof. Jay

  Mbunge wa Morogoro Vijijini, Hamisi Shaban Taletale ambao wapo katika Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo...

READ MORE

JNIA Terminal II Kukarabatiwa

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali imetia saini mkataba wa makubaliano ya ukarabati na maboresho ya uwanja wa ndege wa...

READ MORE

Mapokezi Ya Rais Samia Akitokea Ubelgiji (Picha +Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anawasili nchini kutoka Ubelgiji, Leo Februari 20, 2022 baada ya...

READ MORE

Aliyerudisha Begi Lenye Mamilioni Apewa Tuzo

MKULIMA mmoja nchini Benin, Baraka Amidou (37), amepewa tuzo ya heshima kutoka kwa mamlaka ya nchi yake, baada ya kukabidhi...

READ MORE

Tanzania Yashika Nafasi ya 21 Unafuu wa Kununua Gb 1

MAMLAKA   ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema Tanzania ni moja kati ya Nchi 155 Duniani ambazo Intanenti yake ni gharama nafuu....

READ MORE

Majaliwa Aongeza Siku Saba Uchunguzi wa Mauaji

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameridhia kuongeza muda wa siku saba kwa kamati maalum iliyopewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika Mtwara...

READ MORE

Wateja 700 Wabeba Mil 70 Droo Ya “Mastabata Kivyakovyako”

IKIWA ni Wiki ya Saba tangu kuanza kwa Kampeni ya ‘NMB MastaBata Kivyako Vyako’ jumla ya shilingi milioni 70 zimetolewa...

READ MORE

Mwili wa Dkt. Mwele Waagwa Karimjee

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson wameongoza...

READ MORE

Mwili wa Dk. Mwele Wawasili Dar

MWILI wa marehemu Dk. Mwele Ntuli Malecela umewasili jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo, majira ya saa sita...

READ MORE

Hamiliton Akanusha Kustaafu Mbio Za Langalanga

BINGWA mara saba wa mbio za Formula 1, Lewis Hamiliton amethibitisha kuendelea kukimbiza magari kwenye mbio hizo za  Langa langa...

READ MORE

Tanzania Yapata Msaada Wa Tril. 1.15

  SERIKALI ya Tanzania imepata msaada wa Euro milioni 425 ambayo ni sawa na shilingi trilioni 1.15 kutoka Kamisheni ya...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Februari 19, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 19, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Walio Tayari Kuhama Ngorongoro Kulipiwa

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kwamba serikali itagharamia gharama za wananchi wote wanatakaokuwa tayari kuhama ndani ya Mamlaka ya Hifadhi...

READ MORE

Waziri Mkuu Anahutubia Bunge-Video

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akitoa Hoja ya kuahirisha Bunge leo Februari 18, 2022.  ...

READ MORE

Majanga: V8 Yateketea Kwa Moto

Gari aina ya V8 imeteketea kwa Moto maeneo ya mwenge, karibu na Chuo kikuu cha Tumaini jijini Dar es salaam....

READ MORE

Emaan: Binti Mdogo wa Kitanzania na Kiu Ya Kutangaza Utalii

  What makes us Africans? By Emaan Mawani     Why are we are even called Africans? It’s safe to say...

READ MORE

Dereva Wa Basi la Shule Auawa Kwa Risasi

DEREVA  wa basi la shule ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya majambazi kuvamia msafara wa mabasi matatu huko Marakwet katika...

READ MORE

Meridianbet Kuchangia Miche 20,000 Kwenye Masoko Yake

Ubora wa hali ya hewa umekuwa ukiongoza mijadala mikubwa ya masuala ya kimataifa kwa miongo kadhaa sasa. Ndio maana Meridian...

READ MORE

Majaliwa: Wanaotaka Kuhama Kwa Hiari Ngorongoro Wajitokeze

WAZIRI  Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika suala la ushoroba wa kilometa za mraba 1,500 lililopo Loliondo kumekuwa na ubishi wa...

READ MORE

Rais Samia Afunguka Kesi ya Mbowe “Tuiachie Mahakama” -Video

KWA mara nyingine tena, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watu wanaokosoa hatua ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe...

READ MORE

Mahakama Kuamua Kama Mbowe na Wenzake Wana Kesi ya Kujibu Leo

Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Februari 18, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

Mjadala Mzito Hoja Za Lissu, Rais Samia, Hukumu Ya Mbowe Leo | Front Page-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Kocha Man United Amsifia Cristiano Ronaldo

BOSI wa Manchester United, Ralf Rangnick amefunguka juu kiwango ambacho alionyesha staa wake, CristianoRonaldo dhidi ya Brighton akisema ni bora...

READ MORE

Mapomoroko Yaua Watu 100

TAKIBANI watu 100 wamefariki kutokana na maporomoko ya ardhi na mafuriko katika mji wa Petrópolis nchini Brazil, Jiji hilo, ambalo...

READ MORE

Mitazamo Tofauti Rais Samia Kukutana na Lissu Ughaibuni

MUDA mfupi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na...

READ MORE

Baba Adaiwa Kumpa Mimba Binti Yake

Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Tumaini wilayani Iramba mkoani Singida, amesimamishwa masomo baada ya kubainika kuwa...

READ MORE

Video: IGP Sirro Afunguka Mauaji Mtwara, Rais Samia, Lissu Wateta Mazito | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Brig. Jenerali Ibuge Azindua Tawi La TCB Mbinga

Tanzania Commercial Bank (TCB) imeendelea kuongeza jitihada kuwafikia Watanzania katika kila kona ya nchi kwa madhumuni ya kujenga jamii yenye...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa Mabalozi Ubelgiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Februari 15, 2022 amehutubia katika Mkutano wa Mabalozi wa nchi...

READ MORE

Wafungwa zaidi ya 100 wagoma kula

ZAIDI ya wafungwa 100 wa Sudan wakiwemo wanasiasa wa ngazi za juu, wameanza mgomo wa kula katika Gereza la Soban....

READ MORE

Mtoto Auawa kwa kukatwa mapanga na binamu yake

MWANAFUNZI wa darasa la 7 shule ya msingi Mwenge manispaa ya Morogoro, Faidhati Ibrahim (13), ameuawa kwa kukatwa na mapanga...

READ MORE

Ratiba: Mwili wa Balozi Rutangeruka kuzikwa Bukoba

Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Tanzania, Balozi Edwin...

READ MORE

Wamasai Wahamishwe Ili Kuinusuru Ngorongoro au Ngorongoro Iachwe Ipotee?

Wamasai wahamishwe ili kuinusuru Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro au Ngorongoro iachwe ipotee? — Global Publishers (@GlobalHabari) February 16, 2022

READ MORE

Live: Bango la Zamaradi Kwa Mumewe, Atoa Ujumbe Mzito Na Onyo Kwa Wanawake | Katambuga

Karibu kutazama kipindi cha ‘KATAMBUGA’ kinachoruka hewani kila siku jumatatu hadi ijumaa kuanzia sa 4:30 asubuhi hadi sa sita kamili...

READ MORE

Kilimanjaro Marathon Yatangaza Vituo vya Kutolea Namba

    WAANDAAJI wa mbio za 20 za Kilimanjaro Premium Lager Marathon wametangaza vituo vitatu vya kutolea namba za kukimbilia...

READ MORE

Rais Samia: Tutajenga Kiwanda Cha Chanjo ya Corona

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Awamu ya Sita inataka kuanzisha viwanda vya kutengeneza chanjo ya virusi vya corona...

READ MORE

Video: Hukumu Ya Kesi Ya Mbowe Ndani Ya Saa 56, Sabaya Ngoma Bado Mbichi…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

NMB Kuwakomboa Wamachinga

Kwa mara nyingine tena, Benki ya NMB imeonyesha ni benki inayojali watu wa hali zote kiuchumi na kijamii, na leo...

READ MORE

Nyoka Asababisha Ndege Itue Kwa Dharura

Ndege ya Shirika la AirAsia iliyokuwa ikisafiri kutoka Kuala Lumpur kuelekea katika Mji wa Tawai nchini Malaysia, imelazimika kutua kwa...

READ MORE