×

Habari

Baba Amuua Mwanaye na Kumtupa Kwenye Korongo

JESHI la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia Ambwene Sanga (34), ambaye ni baba wa kambo wa mtoto Mesia Kaduma (5)...

READ MORE

Breaking: Zungu, Kigwangalla, Mwinyi Wajitosa Unaibu Spika

Wabunge wanne wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wamechukua fomu za kuwania kugombea unaibu Spika, leo Febriari 5 jijini Dodoma....

READ MORE

Kazi Ngumu ya Kumuokoa Mtoto Aliyenasa Kisimani kwa Siku 5 Yakaribia Kukamilika

Macho na masikio ya watu wengi duniani kwa sasa, yapo nchini Morocco ambapo oparesheni kubwa ya kumuokoa mtoto Rayan mwenye...

READ MORE

Mganga wa Jadi Adaiwa Kuua Wateja Wake Wawili na Kuwatupa Msituni

WATU wawili, Suzana Mtitu (38) na Kassim Kitamkanga (35) wakazi Makambako Mkoani Njombe wamekutwa wamefariki katika msitu wa Tanwat uliopo...

READ MORE

Kimbunga Batsirai Chatabiriwa Kutua Tanzania

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Batsirai katika maeneo ya Kusini Magharibi mwa...

READ MORE

Morrison Atajwa Kuibukia Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison amemamisha kwa muda hadi suala...

READ MORE

Mke Ajinyonga Kwenye Gesti ya Mumewe

KATIKA hali isitokuwa ya kawaida, mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Naomi mkazi wa Mji mdogo wa Katoro Wilayani...

READ MORE

Mtoa Roho Maarufu Njombe Akamatwa

Polisi Mkoani Njombe wanamshikilia Israel Msigwa maarufu kwa jina la Mtoa Roho (39) Mkazo wa Makambako kwa tuhuma za kumsababishia...

READ MORE

Sakata la Askari Kujinyonga, Mauaji Kilindi, Majaliwa Aagiza Kusimamishwa Kazi RPC, RCO

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro awasimamishe kazi maafisa wa Polisi wa...

READ MORE

Rais Samia Amuagiza Majaliwa Kuunda Kamati Mauaji Mtwara

Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda kamati huru kuchunguza tuhuma za mauaji mkoani Mtwara yanayodaiwa kufanywa...

READ MORE

Video: Mimba Ya Zuchu Gumzo, Wema Apewe Pesa Sio Gari | HOTPOT

Karibu utazame kipindi bora cha udaku nchini, Hot Pot. Kuna uchambuzi makini kuhusu masuala ya umbea 

READ MORE

Kocha Misri Aomba Fainali Kusogezwa Mbele

KOCHA msaidizi wa Misri Diaa al-Sayed anataka fainali yao ya Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Senegal ichezwe Jumatatu...

READ MORE

SportPesa Ukibet Multibet Unapata Bonus

 Ukibet Multibet unapata bonus kadri unavyozidi kuongeza mechi. Dar-Es-Salaam, January 31 ,2022- Kampuni yamichezo na burudani Sportpesa inayo furaha kutambulisha...

READ MORE

#BREAKING Rais Samia Atumbua Wakurugenzi Wanne – Video

  RAIS Samia leo Ijumaa Februari 4, 2022 akiwa njiani Magu jijini Mwanza akielekea Musoma mkoani Mara ametengua uteuzi wa...

READ MORE

Pink Hijab Yaandaa Maonesho Makubwa ya Ujasiriamali wa Wanawake

  Taasisi isiyo ya kiserikali ya Pink Hijab ambayo inajihusisha na kuwahamasisha kimaendeleo wanawake na vijana katika masuala ya kijamii,...

READ MORE

Makamu wa Rais Aondoka Nchini Kuelekea Ethiopia Kumuwakilisha Rais Samia

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo Februari 4, 2022 amendoka Nchini kuelekea...

READ MORE

Rais Samia Atua Jijini Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza na kupokelewa na...

READ MORE

Vijana Waongoza Kwa Maambukizi Ya UKIMWI Nchini

Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) mapema Feburuari ilifanya semina na waandishi mbalimbali wa habari wa hapa nchini, katika ukumbi...

READ MORE

Kikwete: Rais Samia Alipokea Wadhifa Huo Kipindi Kigumu

Rais mstaafu awamu ya nne, Jakaya Kikwete amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake mzuri wa Serikali na CCM,...

READ MORE

Waya wa Umeme Waua Watu 26 Sokoni

TAKRIBAN watu 26 wamefariki baada ya waya wa Umeme kukatika na na kuanguka sokoni katika wilaya ya Matadi – Kibala...

READ MORE

Misri Yaitungua Cameroon, Sasa Kucheza Fainali na Senegal

TIMU ya taifa ya Misri Pharaos imeingia tena katka fainali za kombe la mataifa ya Afrika 2021 baada ya kuwafunga...

READ MORE

Live: Mambo Magumu Kesi Ya Sabaya, Vigogo CCM Mtegoni, Kikwete Atoa Neno Utendaji Wa Samia…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Mchengerwa Aahidi Kukutana Na Wadau Wa Sanaa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mohamed Mchengerwa amesema anatarajia kukutana na wasanii wa makundi yote katika kipindi kifupi kijacho...

READ MORE

Kimbunga Ana Chaua Zimbabwe

Watu kumi wamefariki dunia nchini Zimbabwe baada ya kusombwa na maji walipokuwa wakijaribu kuvuka mto uliokuwa umejaa karibu na mpaka...

READ MORE

Kitabu cha Rais Weah Chazua Balaa, Asifia Uwezo wa Mkewe Chumbani

MAKUNDI ya wanawake nchini Liberia yameghadhabishwa na sehemu ya chapisho katika kitabu cha wasifu wa Rais wa nchi hiyo George...

READ MORE

Mbaroni kwa Kuiba Biblia Mbili

Mwanamume ambaye amekamatwa na kushtakiwa kwa kuiba biblia mbili kwenye duka kubwa jijini Nairobi anasema alichokuwa akitaka ni kumjua Mungu...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa IFC, Ikulu Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Februari 3, 2021 amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

Aliyeua kwa Kisu Vingunguti Akiri Kosa, Aachiwa Mahakamani

Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemwachia huru mfanyabiashara Steven Aloyce mkazi wa Vingunguti kwa masharti ya kutotenda...

READ MORE

Mtoto Aliyepotea Kimaajabu Apatikana, Hakumbuki Chochote

IDRISSA Mkenge (16), mkazi wa Magomeni, mkoani Dar es Salaam, ambaye alikuwa anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoripoti shuleni...

READ MORE

Mvuvi Apambana na Mamba Kuokoa Nyavu Zake

MTU mmoja amepigana vita vikali dhidi ya mamba katika harakati za kuokoa wavu wake wa kuvulia samaki nchini Msumbiji.  ...

READ MORE

Makonda Kusakwa

MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Naibu Spika wa Bunge Kuchaguliwa Februari 11

Katibu wa Bunge, Nenelwa Mwihambi ametangaza nafasi ya Naibu Spika wa Bunge kuwa wazi akivitaka vyama vyenye uwakilishi bungeni kuteua...

READ MORE

Kichwa cha Mlinzi Aliyeuawa Chapatikana, Muuaji Naye Mbaroni

JESHI la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Raymond Mollel ammbaya amekamatwa kwa tuhuma za mauaji...

READ MORE

Rais Mwinyi Atumbua Watano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi watano wa idara...

READ MORE

Mradi wa Maji Kichefuchefu Wamchefua Shigongo

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo ametaka majibu ya Serikali kuhusu mradi mkubwa wa maji Lumeya, Nayakaliro, Kalebezo hadi Nyehunge...

READ MORE

Boss Cnn Ajiuzulu Kwa Skendo ya Mapenzi

RAIS wa Televisioni maarufu duniani ya CNN Jeff Zucker ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa habari mwenye mchango mkubwa katika...

READ MORE

Live: Bunge La 12, Mkutano Wa 6, Kikao Cha 3, Kipindi Cha Maswali Na Majibu| Bungeni – Dodoma..

Leo Februari 03, 2022 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea Jijini Dodoma ambapo ni Bunge la 12, Mkutano...

READ MORE

Live: Samia Asema Pesa Zinatembea Kortini, Akemea Ujanja Ujanja Utoaji Haki | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Rais wa MasterCard International Ashuhudia Droo Ya Tano Ya Nmb

Rais mpya wa MasterCard International- Sub Sahara Africa, Mark Elliott, ameshuhudia droo ya wiki ya tano ya Kampeni ya NMB...

READ MORE

Mlinzi wa Shule Auawa, Wauaji Wakata Kichwa, Waondoka Nacho

MLINZI wa shule ya Winnings Spirit iliyopo eneo la Terati jijini Arusha, Issa Dinaiah (57) amekutwa ameuawa kwa kuchinjwa huku...

READ MORE