×

Habari

TANESCO Watangaza Gharama Mpya za Kuunganisha Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limetangaza gharama mpya za kuunganisha umeme, ambapo vijijini ni shilingi 27,000 bila kujali umbali wala...

READ MORE

KMKM Waendelea na Zoezi la Uokoaji Pemba

ZOEZI la uokoaji na kutafuta miili, linaendelea kisiwani Pemba kufuatia kuzama kwa boti iliyokuwa inatokea Chakechake kuelekea katika Kisiwa cha...

READ MORE

Ajinyonga kwa Kamba ya Viatu

Edmond Sungura (53) mkazi wa mtaa wa Rungwa kata ya Kazima Manispaa ya Mpanda amekutwa amejinyonga hadi kufa chumbani kwake...

READ MORE

Kenyatta, Museveni, Samia Wakumbuka Magumu 2021

MARAIS wa nchi tatu za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) za Tanzania, Kenya na Uganda wametuma salamu za mwaka mpya wa...

READ MORE

Waliokufa Unyagoni Waongezeka

MTU mmoja miongoni mwa majeruhi wanane waliolazwa katika Hospitali ya Ndanda kwa ajali ya gari waliokuwa kwenye ngoma ya unyago...

READ MORE

Mchungaji Afariki kwa Kugongwa na Gari Akiwahi Ibada

  Mchungaji wa kanisa la FPCT Mpandahoteli Manispaa ya Mpanda Enos Kadange (53) amefariki dunia baada ya kugongwa na basi...

READ MORE

Fahamu Mwili wa Desmond Tutu Ulivyoyeyushwa

MWILI wa aliyekuwa mpambanaji maarufu wa kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, Desmond Tutu uliagwa Jumamosi katika mazishi ya...

READ MORE

Rais Trump Kuchunguzwa

Mwanasheria mkuu wa New York amemtaka Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump pamoja na wanawe wawili kufika ofisini kwake...

READ MORE

Watu 9 Wamefariki Katika Ajali ya Boti Zanzibar

WATU tisa wamefariki dunia, na wengine sita wameokolewa wakiwa hai na wengine zaidi ya kumi hawajulikani walipo baada ya boti...

READ MORE

Vodacom Yakabidhi Gari Jipya la Tusua Mapene Ikiwa Sehemu ya Msimu wa Upendo

Mkuu wa wilaya ya Moshi mjini, Mhe. Abbas Kayanda (wa tatu kushoto) akimkabidhi Mshindi wa gari jipya aina ya Suzuki...

READ MORE

🔴#Live: Vita Ya Urais 2025 Kuwang’oa Vigogo, Rais Samia Atema Nyongo, Amjibu Spika Ndugai | Front Page…

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Airtel na Letshego Wawajaza Mkwanja Washindi wa Kuza Akiba na Ushinde Droo ya 4

      WATEJA wa Benki ya Letshego na Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel, leo Jumatano wameondoka na mkwanja kiulainiii...

READ MORE

Mtu Mwenye Umri Mkubwa Zaidi Duniani Afikisha Miaka 119

Kane Tanaka, mtu mwenye umri mkubwa zaidi duniani, alifikisha umri wa miaka 119 Jumapili, kwa mujibu wa ujumbe wa Twitter...

READ MORE

Rais Samia Amjulia Hali Mufti wa Tanzania Abubakar Bin Zubeir

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Bin...

READ MORE

Rais Samia Kuteua Mawaziri na Wakuu Wapya wa Mikoa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni atafanya mabadiliko ya viongozi mbalimbali wakiwemo...

READ MORE

Rais Samia: Anayesumbua ni ‘CCM’ Mwenzio Sio Upinzani – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kukerwa na na kile alichokisema Spika wa Bunge,...

READ MORE

Mwigulu Afafanua Matumizi ya Tsh Tril 1.3 – Video

Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba ametolea ufafanuzi ugawanyo wa fedha Sh trilioni 1.3 zilizokopwa na Serikali kutoka...

READ MORE

Rais Samia: Wapiga Kelele Hao… Lazima Tukope – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema lazima nchi ikope kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ikiwamo ujenzi wa madarasa kwa kuwa fedha...

READ MORE

Rais Samia Ampa Makavu Spika Ndugai “Ni Stress za 2025” – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kukerwa na na kile alichokisema Spika wa Bunge,...

READ MORE

Hakuna Atakayegongewa Mlango Kudaiwa Deni la Taifa – Video

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesisitiza kuwa deni la taifa ni himilivu na kwamba hakuna Mtanzania yeyote...

READ MORE

Aua Watoto Wake Naye Kujiua Kisa Mumewe Kuchepuka

MWANAMKE mmoja, Hellen Vuyanzi (35) amejichoma moto yeye na watoto wake wawili kwa kinachodaiwa kuwa ni kutofautiana na mumewe kutokana...

READ MORE

Serikali Yatangaza Kushuka kwa Bei za Mafuta

Mamlaka ya Huduma za Udhibiti wa Nishati na Maji (EURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta kwa mwezi Januari 2022...

READ MORE

Rais wa Msumbiji & Mkewe Wakutwa na Uviko-19

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi na mkewe Isaura Nyusi wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Uviko-19. Taarifa iliyotolewa na ofisi ya...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Haiti Anusurika Jaribio la Mauaji

WATU wenye silaha walijaribu kumuua Waziri Mkuu wa Haiti Ariel Henry wakati wa sherehe ya kuadhimisha kumbukumbu ya uhuru wa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dk. Baghayo Abdallah Saqware kuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA).  ...

READ MORE

Wagonga Lori kwa Nyuma, Wafariki

WATU wawili wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kugonga lori kwa nyuma lililokuwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara kutokana na...

READ MORE

Mtoto Afa kwa Kunywa Dawa ya Mifugo

MTOTO mwenye umri wa miaka mitano amefariki dunia huku mwingine akinusurika baada ya kunywa dawa ya chanjo ya ng’ombe katika...

READ MORE

Ratiba ya Mazishi ya Katibu wa Kikwete, Adam Issara

Ratiba ya Mazishi ya Ndugu Adam Issara, Katibu wa Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete Leo Tarehe 04-01-22.

READ MORE

Mgonjwa Anaswa kwa Kuiba Gari la Wagonjwa

Mgonjwa mwenye umri wa miaka 40, aliyejulikana kwa jina la Saminu Sa’idu, amezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii kwa kutuhumiwa...

READ MORE

Mwanajeshi wa Zamani Anashikiliwa kwa Mauaji ya Rais

MAMLAKA za nchi ya Panama zimemkamata na kumshikilia mtu mmoja aliewahi kuhudumu kama mwanajeshi nchini Colombia akitakiwa kuhojiwa kwa kuhusika...

READ MORE

Barabara ya Kimara – Kibaha Kukamilika Kabla ya June 2022

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ameuagiza Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mkoa wa Dar es Salaam...

READ MORE

Moto Waibuka Tena Kwenye Jengo la Bunge Afrika Kusini

MOTO mkubwa ambao uliwaka katika jengo la bunge la Afrika Kusini mjini Cape Town umeibuka tena saa chache baada ya...

READ MORE

🔴#Live: Rasmi Mashine Mbili Zatua Simba, Kisa Yacouba, Nabi Awavaa Mabosi Yanga | Krosi Dongo..

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

Msaidizi wa Rais Kikwete Afariki Dunia

Ofisi Binafsi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imethibitisha kutokea kwa kifo cha Katibu wa...

READ MORE

Mzee Kambaulaya Afariki Dunia

MSANII maarufu ambaye pia ni mwanahabari mkongwe, Mzee Barnabas Maro maarufu kama Mzee Kambaulaya au Baba Bishanga amefariki dunia. Taarifa...

READ MORE

🔴#Live: Ndugai: Nimekosa Mimi, Amuomba Radhi Rais, Jaji Warioba Atoa Dira Katiba Mpya | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Nmb Yahitimisha Promosheni Ya Bonge La Mpango

    Kampeni ya Benki ya NMB ya kuwahamasisha wateja wake kuweka akiba ya Bonge la Mpango II ilifungwa rasmi...

READ MORE

Airtel Tanzania Yatoa Msaada Kituo cha Watoto Yatima Katavi

Katavi Jumanne 4 Januari 2022…Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia kampeini maalum ya kusaidia jamii kwa kipindi...

READ MORE

Ombi la Sabaya Lakubaliwa Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imekubali ombi la mawakili upande wa utetezi kuondoa ushahidi wa picha za CCTV zilizokuwa ziwasilishwe...

READ MORE

Ishu ya Madawa ya Kulevya, Kamanda Shilla Awaonya Polisi Airport

KAMANDA wa Polisi wa Viwanja vya Ndege nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Jeremiah Shilla amewaagiza Polisi katika Uwanja wa...

READ MORE