×

Habari

Mgeja: Genge la Ndugai Lijitathmini, Mabango ya Ndugai Yaondolewe

KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja amewapongeza Watanzania kuandika Historia ya pekee kumlinda Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mbatia Kwenda Mahakamani Kupinga Ndugai Kujiuzulu

Chama Cha NCCR-Mageuzi kimesema kinakusudia kwenda mahakamani kupinga iwapo kutakuwa na mchakato wowote wa kumpata Spika mpya wa Bunge la...

READ MORE

Wabongo Kumshuhudia D’Banj Dubai

WATANZANIA wameanza kuchomoza katika shindano la kuwania tiketi za bure kuelekea nchini Dubai kutembelea maonesho ya kibiashara ‘Dubai Expo 2020’,...

READ MORE

Ripoti ya Jaji Zondo Yammaliza Zuma

RIPOTI ya kursa 874 ya Tume iliyounda kuchunguza tuhuma za ufisadi wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma,...

READ MORE

Mgeja Ataka Soko Kuu la Dodoma Lisiitwe Job Ndugai

KANDA wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mzalendo Foundation inayojihusisha na masuala ya haki, utawala bora na...

READ MORE

Malaika Anaswa Na Camera Kanisani

  Pastor Ekuma Uche Philips wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo amedai yakua malaika amenaswa na camera za kanisani kama...

READ MORE

Vijana Msitumike Kupasua Chama – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana wa chama cha Mapinduzi kutokubali kutumiwa kusababisha mpasuko...

READ MORE

Vijana Tafuteni Kazi Sio Ajira – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Vijana nchini kujikita zaidi katika kutafuta fursa za kazi badala ya fursa za ajira. Rais...

READ MORE

Watu 11 Wafariki, Wanne Wapofuka kwa Kunywa Pombe ya Ndizi

WATU 11 wameripotiwa kufariki nchini Rwanda tangu sikukuu ya Krismasi baada ya kunywa pombe ya kienyeji inayotengezwa kutumia ndizi katika...

READ MORE

Breaking: Wabunge Waitwa Bungeni Dodoma

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nenelwa Mwihambi leo Ijumaa, Januari 7, 2022 amesema baada ya Job...

READ MORE

Wanne Watiwa Mbaroni kwa Kutaka Kumuibia Rais

HII nayo kali! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia jamaa wanne kukamatwa kwa njama ya kujaribu kumuibia Rais wa Kenya, Mhe....

READ MORE

Mrembo Anaekusanya Ushuzi na Kuuza, Yamkuta!

MREMBO Stephanie Matto (31) aliyejiajiri kwa kujamba, kuufunga ushuzi na kuuza kwenye chupa na majagi aamua kustaafu baada ya kukumbwa...

READ MORE

Katiba Inasemaje Kuhusu Kiti cha Spika Kikiwa Wazi

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amejiuzulu nafasi hiyo kuanzia jana Januari 6, 2022 kwa hiari yake mwenyewe kwa...

READ MORE

RC Chalamila: Sitaki Katiba Mpya

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Albert Chalamila amekanusha taarifa iliyosambaa mtandoni ikionyesha kuwa ameunga mkono mabadiliko ya katiba jambo...

READ MORE

Ndugai Apongezwa, Wasema Ilitarajiwa

WATU wa kada mbalimbali wamesema hatua ya Spika Job Ndugai (pichani) kujiuzulu ni jambo lililotarajiwa huku wengine wakisema amechukua uamuzi...

READ MORE

🔴#Live: Mwisho Wa Enzi Wa Ndugai, Mjadala Mzito Kujiuzulu Kwake, Sababu Zatajwa | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Kijana Atuhumiwa Kumuua Mpezi Wake

Maafisa upelelezi nchini Kenya wamemkamata kijana aitwaye Brian Waweru mwenye umri wa miaka 25, kwa tuhuma za utekelezaji wa mauaji...

READ MORE

Musukuma Aibua Sakata La Spika Ndugai – “Niko Tayari Kufukuzwa Ubunge”

MBUNGE wa Geita Vijijini, Dkt Joseph Kasheku, amezungumza kuhusiana na sakata la Spika Ndugai, kutoa kauli ya kumkashifu Rais Samia,...

READ MORE

Fahamu Nchi Yenye Watu 11 Pekee

Bila shaka umesikia simulizi nyingi za kuvutia kuhusu milki nyingi hadi kufikia hii leo. Ikiwa ni pamoja na Milki ya...

READ MORE

Kibajaji Amtaka Ndugai Ajiuzulu

Mbunge wa Mtera na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM (NEC), Mhe. Livingstone Lusinde ‘Kibajaji’ amemtaka Spika...

READ MORE

Nchi Gani Iliwahi Kupigwa Mnada Sababu ya Mkopo? – Video

MBUNGE wa Kawe na Askofu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo, Dkt. Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

UWT Wamtaka Ndugai Ajiuzulu

Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi – CCM (UWT) Mkoa Arusha wamemtaka Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Gwajima: Spika Ndugai Ajiuzulu Awaachie Wengine – Video

MBUNGE wa Kawe na Askofu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo, Dkt. Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Utoaji wa Tuzo za Grammy 2022 Zaahirishwa

Tuzo za 64 za Grammy zilizokuwa zikitarajiwa kufanyika januari 31 mwaka 2022, zimeahirishwa kutokana na kuongezeka kwa kesi za Covid-19...

READ MORE

Moukoro, Shiboub Balaa Tupu Simba

WACHEZAJI Sharaf Shiboub na Cheick Moukoro walio kwa majaribio na timu ya Simba mjini Zanzibar wameelezwa kuanza vyema majaribio yao...

READ MORE

Wanafunzi Laki 9 Kuandikishwa Kidato cha Kwanza

WANAFUNZI 907,803 wanatarajiwa kujiunga na elimu ya kidato cha kwanza mwaka huu. Akitoa takwimu hizo leo Januari 6 ,2022 Waziri...

READ MORE

Akamatwa na Jino la Tembo Katavi

JESHI la Polisi Mkoani Katavi, linamshikilia Jilangu Seni (33) mkazi wa kijiji cha Misisi, kwa tuhuma za kukutwa na kipande...

READ MORE

Wasioandikisha Watoto Kufikishwa Mahakamani, Walioacha kwa Mimba Warudi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewataka wazazi wote ambao...

READ MORE

Mwanafunzi wa Sekondari Avae Hata Sare ya Shule ya Msingi

Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu, ameendelea kusisitiza kwamba wakuu wa shule kutoweka vikwazo kwa wanafunzi wataokuwa hawana sare za shule...

READ MORE

Mbunge Asimamishwa kwa Kugawa Pipi Bungeni

Mbunge mmoja mwanamke nchini Kenya amesimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge kwa siku moja kwa kosa la kusambaza pipi kwa wabunge...

READ MORE

DStv Yafungua Mwaka Na Panda Tukupandishe!

Mwaka 2022 unaanza na habari njema kwa wateja wa DStv! Kuanzia Januari 5, 2022, DStv itaanza promosheni yake kabambe ijulikanayo...

READ MORE

Mke Adaiwa Kumua Mume kwa Mafuta ya Petroli

Diwani wa Kata ya Kiomboi, Omary Hassan na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kinambeu, Godfrey Yohana wasimulia mkasa wa...

READ MORE

Chanzo ni Saa, Mwalimu Ampa Mimba Mwanafunzi wa Miaka 15

WAZAZI na wa mwanafunzi wa kike (15) aliyekuwa anasoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Kolero wilayani Morogoro (jina...

READ MORE

Video: Yanga Yatumia Mamilioni Kuwanasa Mastaa, Phiri Afunguka, Krosi Dongo

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

🔴#LIVE: Siku Za Uspika Wa Ndugai Zahesabika, Wabunge Kuwasilisha Hoja Ya Kumng’oa | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Radi Yauwa Watano Kigoma

WATU watano wakiwemo watoto wanne waliokuwa wakicheza chini ya mti wakati mvua ikinyesha wamepoteza maisha kwa kupigwa na radi katika...

READ MORE

Washindi 100 Wa NMB Mastabata Wanyakua Mil10

  Wateja 100 wa kwanza wa kampeni ya NMB MastaBata-Kivyako Vyako walipatikana jana nakuzawadiwa pesa taslimu TZS 100,000 kila mmoja...

READ MORE

32 Wafariki kwa Moto, 145 Wajeruhiwa

WATU 32 walipoteza Maisha na wengine 145 kujeruhiwa katika matukio ya moto 1803 yaliyotokea kati ya Januari hadi Desemba 2021....

READ MORE

Agoma Kula kwa Siku 141

MWANAUME mmoja wa Kipalestina aliyetambulika kwa jina la Hisham Abu Hawash (40) amegoma kula na kushinda njaa kwa siku 141...

READ MORE

Rais Samia Awalilia Waliokufa Maji Zanzibar

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein...

READ MORE