×

Habari

Dkt. Abbas Akutana na Washiriki wa Urembo na Utanashati Afrika

KATIBU Mkuu Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, leo Alhamisi Septemba 30, 2021, amekutana na kuzungumza na...

READ MORE

Kamanda Ng’anzi, Shigongo Watoa Maagizo Makali Waliochoma Mabweni

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza Ramadhani Ng’anzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo, wamesema watu wote waliohusika...

READ MORE

Serikali Kutoa Muongozo Ulipaji wa Kodi na Misamaha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaandaa kitini ambacho kitatoa mwongozo wa jinsi mashirika...

READ MORE

Sakata la Madereva Wa Tz Wanaodaiwa Kutekwa Malawi-Video

UBALOZI wa Tanzania nchini Malawi umetoa taarifa kuhusu tetesi kuwa baadhi ya madereva wa malori kutoka Tanzania wamewekwa kizuizini nchini...

READ MORE

Haya Ndo Magari 6 ya Gharama Kubwa zaidi Duniani kwa Sasa

Kumiliki gari zuri, yawezekana ni ndoto ya kila mtu duniani, pamoja na mambo mengine kama nyumba, ardhi, kazi na vitu...

READ MORE

Rais Mwinyi: Sina Ubaguzi

  RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema aliapa kuwatumikia wananchi wote hivyo hana ubaguzi kutokana na jinsi, dini au...

READ MORE

Kesi Ya Mwakabibi, Wakili Wa Serikali Aeleza Hiki..

KESI inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Jijini Dar es Salaam Lusubilo Mwakabibi na mwenzake Edward Haule ambaye alikuwa...

READ MORE

Sababu ya Kupanda kwa Bei ya Nyama

NAIBU WAZIRI  wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameeleza sababu ya nyama kupanda kwa bei katika maeneo mbalimbali nchini ni...

READ MORE

Jua la Bandia Kuanza Kufanya Kazi 2035

NCHI ya China ni miongoni mwa mataifa yaliyopiga hatua kwenye upande wa Teknolojia na hivi karibuni wameweka rekodi mpya baada...

READ MORE

Hotuba ya Rais Samia Yatajwa Katika Hotuba Bora za UN

HOTUBA ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania aliyoitoa Septemba 23 kwenye Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja...

READ MORE

Ridhiwani Aishukuru Serikali Kwa Kupeleka Vifaa Tiba Hospitali ya Wilaya Chalinze

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo imetimiza ahadi zake zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Kanoute, Onyango warejesha matumaini Simba SC

NYOTA watatu wa Simba, Joash Onyango, Sadio Kanoute na Jonas Mkude, huenda wakawa sehemu ya kikosi hicho kitakachocheza dhidi ya...

READ MORE

Mtu Mchafu Kuliko Wote Duniani, Hajaoga kwa Miaka 65 – Video

JE, wewe huwa unapenda kuoga au hupendi kuoga. Kama hupendi kuoga basi nadhani leo utafarijika baada ya kufahamu kuwa yupo...

READ MORE

Vodacom Plc Yatoa Zawadi kwa Mshindi wa Promosheni ya Tusua Mapene

MSIMAMIZI wa Maduka ya Vodacom kanda ya Ziwa Maryglory Mtika (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 Vincent...

READ MORE

DC Aliyepopolewa Mawe na Wananchi Ampiga Chini M/Kiti wa Kijiji

MKUU wa Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha, Frank Mwaisumbe amemsimamisha kazi Mwenyekiti wa Kijiji cha Engaroji, Ngarama Mapema kwa...

READ MORE

Jamaa Amfumania Rafiki Yake Akichepuka na Mkewe

Katika hali ya kustaajabisha, mfanyabiashara wa duka la simu mkoani Katavi Issa Kasili, amemfumania rafiki yake ambaye ni mfanyabiashara wa...

READ MORE

Jubilee Insurance Yaja Kidigitali, Wadukuzi wa Mitandao Kunaswa

  Kampumi za bima nchini zimetakiwa kuongeza Kasi ya utoaji wa elimu ya masuala ya bima kwa wananchi kabla ya...

READ MORE

Infinix Zero X PRO Ndiyo Habari ya Hapa Nchini Bongo

    Dar es Salaam 30 Septemba 2021, Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo Tanzania...

READ MORE

GGML Yatoa Milioni 800 Kukarabati Hospitali ya Rufaa Geita

Baadhi ya madaktari ambao ni wanachama wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), wakishirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya...

READ MORE

Kesi Ya Mbowe, Wenzake Mahakama Kutoa Uamuzi Oktoba 19

Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi inatarajia kutoa uamuzi Oktoba 19, 2021 wa kesi...

READ MORE

Rayvanny, Mac Voice Watambulisha EP Yao

MWANAMUZIKI wa kwanza kusainiwa na Lebo ya Next Level Music inayomilikiwa na Rayvanny aitwaye Mac Voice, kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Achomwa Visu, Atundikwa Kwenye Mparachichi – Video

  Kijana Melkezedik Robert mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa kijiji cha Nyerezi, Arumeru mkoani Arusha, amekutwa  amekufa huku...

READ MORE

SportPesa Yangia Mkataba na Kampuni ya Mdundo Yenye Wafuatiliaji Zaidi ya Milioni 9.7

KAMPUNI ya SportPesa Limited inayoongoza kwa michezo ya ubashiri katika michezo aina mbalimbali, imesaini mkataba wa matangazo ya muda mrefu...

READ MORE

Moto Waunguza Bweni na Darasa Sekondari ya Nyehunge

  MOTO umezuka katika Shule ya Sekondari Nyehunge iliyoko katika Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza leo Jumatano, Septemba...

READ MORE

Hiki Ndicho Kilichotokea Mahakamani, Kesi ya Mbowe Yasimama

Jaji Mustapha Siyani anayesikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu amesitisha kwa muda kusikiliza...

READ MORE

Ole Nasha Kuzikwa Jumamosi Ngorongoro

MWILI wa aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, William Ole Nasha unatarajiwa kuagwa kesho Bungeni Jijini Dodoma na...

READ MORE

Gari la Mbunge Lachomwa Moto Usiku

  Gari la Mbunge wa Mbozi, mkoani Songwe, George Mwenisongole aina ya Brevis lenye namba za usajiri T231 DDZ  limechomwa...

READ MORE

Korea Yarusha Kombora Jingine

JESHI la Korea Kusini limesema Korea Kaskazini imerusha kombora moja kuelekea katika Bahari ya Mashariki, huku Korea Kaskazini ikisema hakuna...

READ MORE

Kampuni ya Ulinzi ya SGA Yapata Tuzo ya Juu Katika Maonyesho ya Madini

      KAMPUNI ya ulinzi ya SGA Security, ambayo ni kampuni inayoongoza kwa maswala ya ulinzi hapa nchini, imepongezwa...

READ MORE

Mwanamke Amkimbia Mume Mtarajiwa Siku ya Harusi

Jackline Wanjiru kutoka Kenya aliamua kuchanja mbuga muda mfupi kabla ya harusi yake baada ya kugundua kuwa bwana harusi Alfred...

READ MORE

Nmb Yazindua Huduma Akaunti Mpya Ya ‘Wekeza’

KATIKA kuwakumbusha wateja wao kuweka akiba ya maisha ya baadae, Benki ya NMB leo imezindua akaunti mpya inayoenda kwa jina...

READ MORE

Bwana Harusi Avunjika Mgongo Baada ya Kurushwa Hewani

MWANAUME mmoja aliyekuwa akifanya sherehe ya ndoa yake na mkewe baada ya kufunga ndoa amevunjika mgongo baada ya marafiki zake...

READ MORE

Diarra ‘Screen Protector’ Afunguka Siri ya Kumfunika Manula

MLINDA mlango wa Yanga raia wa Mali, Djigui Diarra ‘Screen Protector’ amefunguka kuwa siri kubwa ya ubora wake katika mchezo...

READ MORE

Dereva wa Marehemu Ole Nasha “Alikataa Kwenda Hospitali” – Video

  Fikiri Madinda ambaye ni dereva wa aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Mhe. William Tate Ole Nasha,...

READ MORE

Shahidi Kesi ya Mbowe: Sikupewa Chakula kwa Siku 10

SHAHIDI wa pili upande wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe...

READ MORE

Utata Waibuka Alipo Mtuhumiwa Kesi ya Mbowe, Yu Hai Ama Amefariki?

UTATA umeibuka alipo mmoja wa watuhumiwa katika kesi ya uhujumu uchumi na kufadhili ugaidi inayomhusisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe...

READ MORE

TANESCO: Wajamaa na Dunia Mpya ya Biashara

TANESCO ni shirika la huduma lakini pia ni shirika la kibiashara. Ndio maana kila mwaka linakaguliwa mahesabu na ripoti ya...

READ MORE

Kocha Simba: Tutarudi Tukiwa Bora Zaidi

KOCHA wa viungo wa klabu ya Simba, Adel Zrane amefunguka kuwa kipigo walichopata dhidi ya Yanga siku ya Jumamosi kwenye...

READ MORE