×

Habari

Sabaya na Wenzake Kortini Tena Leo

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita leo wanatarajiwa kusomewa hoja za awali ya kesi...

READ MORE

Mvutano Waibuka, Polisi Wazuiwa Kuingia na Simu Kesi ya Mbowe

WAKATI upande wa Jamhuri ukiendelea kutoa ushahidi wake katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu, mvutano umeibuka katika geti...

READ MORE

TRA Yazindua Mnada wa Forodha kwa Njia ya Mtandao – Video

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imezindua mnada wa forodha kwa njia ya mtandao ambapo sasa minada yote ya TRA, itakuwa...

READ MORE

Rais Chama cha Walimu Asimamishwa

BARAZA Kuu la Chama cha Walimu Tanzania (CWT) limemsimamisha rais wa chama hicho, Leah Ulaya kwa madai kuwa ameshindwa kuwaunganisha...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan,amemteua Dkt. Yamungu Kayandabila kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la...

READ MORE

Waziri Kigahe Azindua TATA Intra V20 Suluhisho la Uchukuzi

      Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe amezindua gari ndogo ya mizigo aina ya Tata Intra...

READ MORE

Vijana 500 Waliotapeliwa Wapewa Siku 7 Kutoweka Moshi

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Steven Kagaigai, ametoa siku saba kwa vijana zaidi ya 500, wanaodaiwa kutapeliwa ajira na kampuni...

READ MORE

Mwili wa Hans Pope Wazikwa Iringa

MWILI wa aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu...

READ MORE

Vodacom Yatoa Vifaa Tiba Hospitali ya Masasi

  HOSPITALI ya Mkomaindo ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara sasa itaondokana au kupunguza vifo vya watoto wachanga vitokanavyo na...

READ MORE

Jokate: 2025 Twende na Mama

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo ameunga mkono kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyoitoa leo...

READ MORE

Korea Kaskazini: Tumefyatua Tena Makombora Leo

JESHI la Korea Kaskazini leo limefyatua tena makombora mawili yaliyoelekezwa Baharini ikiwa zimepita siku mbili tangu Serikali ya Korea Kaskazini...

READ MORE

DC Msando: Ninakatwa Mshahara Wangu

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Albert Msando amesema anakatwa Tsh milioni 2.8 kila mwezi kutoka kwenye mshahara wake wa Tsh...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashukiwa Mauaji ya Rais, Amtimua Mwendesha Mashtaka

Waziri Mkuu wa Haiti, Ariel Henry (kushoto) amemfukuza kazi Mwendesha Mashtaka aliyetaka kumfungulia mashtaka kama mshukiwa mmojawapo wa mauaji ya...

READ MORE

Rais Samia: Ukivunja Sheria Utashughulikiwa – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa iwapo akitokea mtu yeyote kutaka kuvunja sheria za...

READ MORE

Jaji Atoa Dakika za Mapumziko Kesi ya Mbowe

Jaji Mustapha Siyani anayesikiliza kesi ya mbowe na wenzake ametoa dakika 2 kwa ajili ya mapumziko, kuwapa nafasi Mawakili wa...

READ MORE

Rais Samia: Nani Kawaambia Sigombei 2025? – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa wapo baadhi ya watu wameanza kumchokoza na kusema...

READ MORE

RPC Adai Mbowe Alimwomba Luteni Urio Amtafutie Wanajeshi Wastaafu

MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama Kuu – Kanda ya Dar es Salaam, Divisheni ya...

READ MORE

Babu Alia: Mke Wangu Amenikimbia Kisa Ulemavu na Umaskini – Video

MZEE Matata mkazi wa Hai mkoani Kilimanjaro ambaye mwezi Januari, mwaka huu alipata ajali mbaya ya gari na kusababisha ulemavu...

READ MORE

Mbowe Afikishwa Mahakamani, Sugu, Zitto Watia Timu – Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Haikael Mbowe leo Septemba 15, 2021, amefikishwa katika Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

Mke wa TB Joshua Amrithi Mumewe

MKE  wa aliyekuwa mhubiri maarufu Nigeria, TB Joshua, Nabii Everlyn Joshua ameteuliwa kuwa kiongozi wa kanisa Sinagogi kwa mataifa yote,...

READ MORE

Tigo, Absa Bank na Jumo Wazindua Huduma ya Mkopo kwa Muda Mfupi

Afisa Mkuu wa Tigo Pesa, Angelica Pesha (katikati) akizungumza kwenye uzinduzi huo. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu Kitengo cha Fedha wa...

READ MORE

Kikwete Ampongeza Waziri Gwajima

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee...

READ MORE

Ajali Yaua mmoja na Kujeruhi 7 Shinyanga

MTU mmoja amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa kufuatia ajali ya Gari aliyokuwa amepanda kuligonga trekta kwenye eneo la kijiji...

READ MORE

Kikwete: Samia Anaendesha Nchi Vizuri

RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amempongeza Rais Samia Suluhu na...

READ MORE

Mauzauza Yatishia Usalama Hospitali ya Nkasi

UONGOZI wa Hospitali ya wilaya Nkasi mkoani Rukwa umelalamikia vitendo vya ushirikina vinavyofanywa hospitalini hapo kiasi cha kuhatarisha usalama kwa...

READ MORE

Msomi Mwenye PHD Afundisha Chekechea

WALIMU watatu waliohitimu shahada ya Uzamivu (PhD) nchini Kenya wamelazimika kufundisha shule za Awali [chekechea] kutokana na kukosa nafasi kwenye...

READ MORE

Nguvu za Mtoto Yunis Zinatisha, Mamia Wafurika Kupata Uponyaji – Video

Mtoto mdogo mwenye umri wa miaka 2 na nusu,Yunisi Atieno, mkazi wa kijii cha BUKAMA, RORYA, Tanzania ameendelea kushangaza watu...

READ MORE

Rais Samia: Sensa ni kwa Watakaolala Tanzania Tu – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema sensa ya watu na makazi itakayofanyika mwakani 2022...

READ MORE

Rais Samia: Corona Imetupiga, Gharama Kubwa Hatuwezi – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameitaka mamlaka zinazoshughulikia zoezi la sensa lililopangwa kufanyika mwakani...

READ MORE

Rick Ross Apata Leseni ya Kuendesha Gari Baada ya Miaka 45

Licha ya kujigamba kuwa na utitiri wa magari ya kifahari nyumbani kwake, Rapper Rick Ross hakuwahi kuwa ameruhusiwa kisheria kuendesha...

READ MORE

Walipinga Chanjo, Hata Sensa Watapinga Tu – Video

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. mwigulu Nchermba amesema kumekuwepo na baadhi ya watu kutumia fursa ya uhuru wao kupinga...

READ MORE

Sketi Vazi la Taifa

BAADA ya siku za hivi karibuni Papaa Mopao, Barnaba Classic kuingia kwenye trend na vazi la sketi ambalo ni maalum...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 16 wa Ethiopia Wanaswa Mbeya

Raia 16 wa Ethiopia wakiwemo watoto 11 wamekamatwa na Polisi Mkoani Mbeya kwa tuhuma za kuingia nchini bila kufuata taratibu...

READ MORE

Kauli ya Ndugulile Baada ya Kutumbuliwa

ALIYEKUWA Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile, amemshukuru Rais Samia kwa kumpa nafasi ya kuhudumu ndani...

READ MORE

Mfanyabiashara wa Rwanda Auawa Msumbiji

Mfanyabiashara wa Rwanda amepigwa risasi na kuuawa katika manIspaa ya Matola, kilomita chache kutoka mji mkuu wa Msumbiji, Maputo.  ...

READ MORE

Amchinja Mumewe, Atupa Maiti Jalalani

KWA hali ilivyo kwenye ndoa nyingi, itoshe tu kusema sasa tumefika pabaya! Ndivyo unavyoweza kusema baada kusikia kisa hiki cha...

READ MORE

Machinga wa Arusha Waambiwa Vitambulisho ‘Vilizikwa Chato’ – Video

WAFANYABIASHARA wadogo wa soko la Samunge maarufu kama NMC jijini Arusha wameilezea kilio chao kwa mbunge wa Jimbo la Arusha...

READ MORE

Mfahamu Hans Pope: Alitaka Kupindua Nchi, Baba Yake Aliawa – Video

Zacharia Hans Pope amefariki dunia Septemba 11, mwaka huu na ameacha pengo hasa kwa wanamichezo lakini ana historia ndefu kisiasa...

READ MORE

Magori Asimulia Siri ya Hans Pope Kutaka Kumpindua Mwl. Nyerere

CRESCENTIUS Magori, Mshauri wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Mohamed Dewji...

READ MORE