×

Habari

Mhudumu wa Mochwari: Watu Wanataka Maji ya Maiti – Video

MHUDUMU wa chumba cha kuhifadhia maiti ‘Mochwari’ Francis Mtebezi Kutoka Hosptali ya Rufaa ya Mount Meru Mkoani Arusha amezungumza na...

READ MORE

Wakulima 4, Mfanyabiashara Wadakwa na Meno ya Tembo

Mfanyabiashara Caft Kileo na Wakulima Wanne, Godfrey Samuel, Richard Andrea, Moses Paul na Benjamin Richard wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Video: Mfanyakazi Wa Mochwari Afunguka – “Watu Wanataka Maji Ya Maiti”

MFANYAKAZI wa nyumba ya Kuhifadhia Marehemu Katika Hosptali Ya Mount Meru iliyopo Mkoani Arusha ameleza changamoto aliyoipitia wakati wa wimbi...

READ MORE

Mwili wa Mugabe Kufukuliwa

Kiongozi wa kitamaduni nchini Zimbabwe ameaamuru kwamba mabaki ya rais wa zamani wa nchi hiyo Robert Mugabe yafukuliwe na kuzikwa...

READ MORE

Bunge la Uganda Lapata Spika Mpya

JACOB Oulanyah, Mbunge wa Kaunti ya Omoro Kaskazini mwa Uganda, ameteuliwa kuwa Spika wa Bunge la 11. Alishinda uchaguzi kwa...

READ MORE

Bodi ya Mikopo Kufuta Tozo kwa Wanufaika

SERIKALI imesema kuwa kuanzia Julai mosi mwaka huu Bodi ya Mikopo (HESLB), itafuta tozo ya asilimia 6 ya kulinda thamani...

READ MORE

Mali: Rais, Waziri Mkuu Washikiliwa na Jeshi

Maafisa wa kijeshi wa Mali waliokasirishwa na mabadiliko ya baraza la mawaziri wanamshikilia Rais na Waziri Mkuu katika kambi ya...

READ MORE

Waziri Ummy: Walimu Wanaojitolea Kuna Barua Feki

Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema yapo malalamiko kuwa baadhi ya Walimu wanaojitolea wanawasilisha barua feki zinazosema wanafanya hivyo wakati...

READ MORE

Wafukua Kaburi na Kuondoka na Viungo vya Marehemu

Watu wasiojulikana wamefukua mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Rehema Michel aliyefariki kwa ajali ya gari, tarehe 23/05/2021, na...

READ MORE

Goma Yakabiliwa na Uhaba wa Chakula Baada ya Volkano

UHABA mkubwa wa vyakula umeanza kushuhudiwa katika mji wa Goma, Jamuhuri ya kidemokarsi ya Congo wakati ambapo idadi kubwa ya...

READ MORE

NMB Yaendesha Semina ya Walimu Kuwapa Elimu ya Fedha

  Walimu wametakiwa kujiendeleza kwa kukopa mikopo nafuu, yenye tija na kuwawezesha kutatua  changamoto zinazowakabili ili kuweza kunufaika na kufurahia...

READ MORE

Mganga Aliyejigamba Anazuia Sumu Afariki kwa Kunywa Sumu

Mganga wa kienyeji aliyefahamika kwa jina la Robert Masumbuko (47) mkazi wa Kibirizi Kigoma aliyefariki kwa kunywa sumu wakati akijaribu...

READ MORE

Operesheni Komesha Uhalifu Kutikisa Nchi Nzima

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetangaza Operesheni Maalumu lengo ni kukomesha uhalifu ambao umeanza kurejea taratibu baada ya...

READ MORE

RC Makalla Akutana na Wazee wa CCM Mkoa wa Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo May 24 ameanza rasrmi majukumu yake kwa kukutana na...

READ MORE

RC Chalamila: Nahitaji Busara Kuuongoza Mkoa wa Mwanza

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amewaomba wakuu wa idara na watendaji wa Serikali mkoani humo kumuazima busara akidai...

READ MORE

Fred Vunjabei Ateuliwa Mwenyekiti Kamati ya Fedha UVCCM Taifa

Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei jana tarehe 23 May 2021 amepitishwa na Baraza kuu la UVCCM kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

Chongolo Akutana na Mzee Msekwa

KATIBU Mkuu Ndugu Daniel Chongolo amekutana na kuzungumza na Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mzee Pius Msekwa katika Ofisi Ndogo...

READ MORE

Nape Ataka Kuundwa kwa Bodi ya Korosho – Video

MBUNGE wa Jimbo LA Mtama, Nape Nnauye, amesimamisha bunge kwa dakika kadhaa baada ya kuchangia hoja ya wizara ya Kilimo...

READ MORE

Weah Ampongeza Mwanawe kwa Kutwa Ubingwa wa Ufaransa

Rais wa Liberia mwanasoka wa zamani wa kimataifa George Weah amempongeza mtoto wake wa kiume, Timothy Weah, baada ya klabu...

READ MORE

Shigongo Azindua Semina za Ujasiriamali Buchosa

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo leo amezindua kampeni ya mafunzo ya ujasiriamali katika kisiwa Cha Kome Kijiji...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Dangote

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Mei 24, amekutana na kufanya mazungumzo na mfanyabiashara Alhaji Aliko Dangote, ambaye amewekeza katika kiwanda...

READ MORE

Rais mwinyi Afanya Uteuzi Wizara ya Habari

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefanya Uteuzi wa Wakurugenzi katika Wizara...

READ MORE

Jarida la Siku 100 za Shigongo Latua Kome

HATIMAYE Jarida maridhawa la siku 100 za Mbunge wa Jimbo Buchosa, Mhe. Eric Shigongo limewafikia wananchi wa kisiwa cha Kome...

READ MORE

Mashine ya Bandari Yatumbukia Yaharini

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaujulisha Umma kuwa, Jumapili tarehe 23 Mei 2021, Majira ya saa 8 Mchana...

READ MORE

Bashungwa Amjulia Hali Mzee King Kikii

WAZIRI wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa amehimiza Wasanii nchini kuhakikisha wanamiliki Bima za Afya ambazo zitawasaidia...

READ MORE

Siri ya Mzee Mengi Kuwekewa Mashine Kwenye Moyo

MAREHEMU Reginald Mengi, aliyekuwa mmiliki wa kampuni za IPP, aliwekewa kifaa maalumu cha kudhibiti mapigo ya moyo (pacemaker) wiki chache...

READ MORE

Kavejuru, Simizi Waapishwa Kuwa Wabunge – Video

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemwapisha Kavejuru Felix kuwa Mbunge wa Buhigwe, Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu, Mei 24, 2021....

READ MORE

Rais Mwinyi Akabidhiwa Ripoti Ya CAG Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kwamba hatua kali zitachukuliwa kwa wale...

READ MORE

Orodha ya Majina ya Kujiunga JKT Mujibu wa Sheria Mwaka 2021

JESHI la Kujenga Taifa (JKT), linawaita vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2021, kutoka shule zote...

READ MORE

Binti Mfalme wa Dubai Aliyetoweka Miezi Kadhaa, Aonekana Mtandaoni

PICHA iliyochapishwa wiki hii kwenye akaunti mbili za umma za Instagram inadai kuonyesha Princess Latifa, binti wa Mfalme wa Dubai,...

READ MORE

Mji Ambao Wanawake Wasioolewa Hawapangishwi Nyumba

WANAWAKE wasio na waume wanabaguliwa na wamiliki wa nyumba za kupangisha mjini Lagos, lakini hakuna changamoto inayokosa ufumbuzi. Idongesit Udoh...

READ MORE

Watu 15 Wafariki Kwenye Mlipuko wa Volkano

TAKRIBANI watu 15 wamethibitishwa kufariki kutokana mlipuko wa volkano uliotokea katika Mlima wa Nyiragongo, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya...

READ MORE

Zaidi ya Bil 5 Zatengwa Kuboresha Maisha Ya Vijana Waendesha Bodaboada

  Zaidi ya vijana 200 wa Jiji la Dodoma wanaojishughulisha na usafishaji wa abiria kwa bodaboda na pikipiki za miguu...

READ MORE

Wauzaji na Wasambaji Nyavu Haramu Kikaangoni

SERIKALI imepanga kuweka utaratibu wa kutambua hatua mbalimbali za upatikanaji wa nyavu za uvuvi tangu kutengenezwa kwake hadi kusambazwa na...

READ MORE

Vifo 120 Majeruhi 332 Ajali za Barabarani

KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi,Wilbrod Mutafungwa ametoa taarifa ya hali ya Usalama Barabarani nchini....

READ MORE

SHAKA AKABIDHIWA RASMI OFISI YA IDARA YA ITIKADI NA UENEZI

  Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Itikadi na Uenezi ndg Shaka Hamdu Shaka amebidhiwa ofisi ya Idara ya Itikadi...

READ MORE

Jafo Asisitiza Utunzaji wa Mazingira Mkoani Arusha

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ametoa msisitizo katika suala la usafi na...

READ MORE

Muda wa Kutuma Maombi ya Ajira Waongezwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu, ametangaza kuongeza muda wa kutuma maombi ya ajira zilizotangazwa na Wizara....

READ MORE

Naibu Waziri Ulega na Shigongo Wazindua Ushirika wa Wavuvi

NAIBU Waziri wa Uvuvi,  Abdallah Ulega akiwa na Mbunge wa Jimbo la Buchosa,  Eric Shigongo pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri...

READ MORE

Serikali Yatoa Maagizo Kwa Wamiliki Viwanda Vya Chuma Nchini

Serikali imewaagiza wamiliki wa viwanda vya chuma nchini kukaa kikao cha pamoja kwa ajili ya kujadili na kukubaliana kuhusu teknolojia...

READ MORE