×

Habari

Hasunga Aitaka Serikali Kuwaongezea Mshahara Watumishi

Mbunge wa Vwawa (CCM), Japhet Hasunga ameitaka Serikali kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma ili waweze kuishi maisha mazuri.  ...

READ MORE

Makamba: Tusihukumiane, Mtu Anapokosoa Asionekane Msaliti – Video

Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kifo cha Magufuli kimeleta kipindi cha mpito chenye wasiwasi ila Rais Samia Suluhu ameanza...

READ MORE

Chikota Ataka Utekelezaji Mchuchuma na Liganga Uanze

Mbunge wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota, ameiomba serikali kuanza kutekeleza mradi wa makaa ya mawe wa Mchuchuma na Liganga ili...

READ MORE

Basata Watoa Onyo Kwa Wasani Kudhalilishana

Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limekemea vikali na kutoa onyo kwa wasanii wanaoendele na malumbano, kukashifiana, kutoleana lugha zisizo...

READ MORE

Breaking: Wachimbaji Wanne Wafariki Busega

Wachimbaji wanne wamepoteza maisha huku mmoja akijeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu wa Namba Mbili uliopo...

READ MORE

Zuma Atakiwa Kuchagua Adhabu kwa Kudharau Mahakama

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma amepewa mpaka Jumatano kupendekeza adhabu ambayo mahakama kuu ya nchi hiyo inapaswa...

READ MORE

Mwenyekiti wa Chadema Lupembe na Wanachama 150 Watimkia CCM

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasiana Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Lupembe mkoani Njombe Enocent Gwivaha pamoja na wanachama 150,wamehama Chama hicho...

READ MORE

Songwe: Mlipuko Wazua Taharuki

Mlipuko unaodhaniwa kusababishwa na baruti umetokea jana Jumanne, Aprili 13, 2021 katika Kata ya Saza Wilaya ya Songwe na kusababisha...

READ MORE

Waziri Ajiuzulu Kwa Sababu ya Uchovu

WAZIRI wa Afya wa Austria, Rudolf Anschober ametangaza kuachia wadhifa huo huku akibainisha kuwa  sababu kuu ya kuamua kufanya hivyo...

READ MORE

Shabiby: Watoke Hawa Wameiba Hela Sana – Video

Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby agoma kupokea taarifa ya waziri alipokuwa akizungumza bungeni jijini Dodoma katika mjadala wa kupitisha...

READ MORE

Mrembo Aliyepata Ugonjwa Wa Ajabu Afika India Kwaajili Ya Matibabu -Video

 MREMBO Hawa Hussein Ibrahim ambaye mwanzoni mwa mwaka huu aliwaomba Watanzania msaada ili aweze kufanyiwa matibabu ya ugonjwa wa...

READ MORE

Musukuma Adai Usomi wa Prof. Muhongo Hauna Faida – Video

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma amemshukia mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo kwamba usomi wake hauna...

READ MORE

Majaliwa: Tutayaenzi Maono ya Hayati Magufuli – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesisitiza kwamba Serikali itaenzi na kuendeleza jitihada, maono na juhudi za aliyekuwa Rais wa Awamu ya...

READ MORE

Rais Mwinyi Atengua Uteuzi wa Makamanda Watatu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Makamanda watatu wa Idara...

READ MORE

Lusinde: Samia ni Magufuli, Wasimchafue Marehemu – Video

  Mbunge wa Jimbo la Mvumi Livingstone Lusinde amesema kamwe Amani na Utulivu kwa watanzania hauwezi kuwepo kama kuna baadhi...

READ MORE

Yacouba, Saido Wana Jambo Lao Yanga

WACHEZAJI wawili wa kikosi cha Yanga, Said Ntibanzokiza ‘Saido’ na Yacouba Sogne, pacha yao inaonekana kuendelea kutusua hata chini ya...

READ MORE

Serikali Kuenzi Maono ya Hayati Dkt. Magufuli – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesisitiza kuwa Serikali itaenzi na kuendeleza jitihada, maono na juhudi za Hayati Dkt. John Magufuli hasa...

READ MORE

Bashungwa Atoa Tamko Wanahabari Kuwekwa Chini ya Ulinzi na DED

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amesema Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inafuatilia malalamiko...

READ MORE

Karibu Ramadhani, Ni Nguzo ya Nne ya Uislamu!

    Baada ya shahada, swala tano, kutoa zaka, ni kufunga Ramadhani na kuhiji Makka. Kwa wasioswali, hawatoi zaka, hawaendi...

READ MORE

Hotuba ya Waziri Mkuu Bungeni Dodoma Leo – Video

Waziri Mkuu ameliomba Bunge liidhinishe TZS bilioni 116.8 kwa ajili ya Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake...

READ MORE

Hai Mmepata Mbunge, Mbowe Alikuwa Mzururaji

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema Jimbo la Hai limepata Mbunge hivi sasa, akiongeza aliyekuwepo kabla ya hapo...

READ MORE

Jambazi Akamatwa Akitubu Dhambi Zake Kanisani

  Kijana aitwaye Abraham Nduba, mwenye umri wa miaka 26 kutoka kaunti ya Murang’a nchini Kenya amekamatwa na kutupwa jela...

READ MORE

Mtoto wa Darasa la Tatu Afariki kwa Kujaribu Kujinyonga

Mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Ikelu iliyopo Makambako mkoani Njombe, Claud Florence (9) amefariki dunia baada ya...

READ MORE

LIVE​​: TRA YAMJIBU MBOWE, MZEE MWINYI AMKUBALI SAMIA | FRONT PAGE

 ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8​ ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx​

READ MORE

Shilingi Trilioni 114.8 Zapitishwa na Bunge

Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania jana Jumatatu tarehe Aprili 12, 2021 limepitisha Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa...

READ MORE

Mama Atoroka na Mahari ya Binti Yake

Mama mmoja kutoka Tana River nchini Kenya aliyejulikana kwa jina la Ann Maweni, amewashangaza mashemeji wake baada ya kutoroka na...

READ MORE

Mradi wa Bandari ya Bagamoyo Pasua Kichwa – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai  amedai kuna upotoshaji mkubwa kuhusu mradi wa bandari ya Bagamoyo. “Tunaposisitiza utekelezaji wa mradi huu...

READ MORE

Kishimba: Wagonjwa Wakopeshwe, Ukikosa Dawa Piga Simu Polisi

Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba (CCM), amesema ipo haja mtu asipopata matibabu hospitalini, apige simu polisi ili askari wawakamate...

READ MORE

Je! Unajua ni Kwanini Diamond Platnumz Anapenda itel A37?

Takribani wiki mbili baada ya itel kumtangaza balozi wake ambaye ni Diamond platnumz, sasa imebainishwa sababu za Diamond platnumz kuipenda...

READ MORE

Kijana Ajiua Baada ya Kukataliwa na Mpenzi Wake

  Kijana aitwaye Kitachana Shenani (30) mkazi wa kitongoji cha Senta kijiji cha Makundusi Wilaya ya Serengeti mkoani Mara amejinyonga...

READ MORE

Ndugai Atoa Maagizo Kuhusu Mjadala Ripoti ya CAG

Spika wa Bunge Job Ndugai amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa...

READ MORE

Tundu Lissu Aomba Kukutana na Rais Samia

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia chama hicho mwaka 2020, Tundu...

READ MORE

Mume wa Malkia Kuzikwa Aprili 17, 2021

MAZISHI ya mume wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza, Mwanamfalme Philip, yatafanyika wiki ijayo, Aprili 17, majira ya saa nane...

READ MORE

Mzee Mwinyi: Rais Samia Ameanza Vizuri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Aprili, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Kigoma: Akatwa Shingo, Wauaji Waondoka na Kichwa

Mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Janda wilayani Buhigwe mkoani Kigoma aliyetambulika kwa jina Shinze Mugarama ameuawa kwa kukatwa shingo...

READ MORE

Mbowe: Nimepata Chanjo ya Corona ‘AstraZeneca’

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa...

READ MORE

Coca-cola Yaitambulisha ‘Sisimua Maisha na Fanta’

Kampuni ya Coca Cola Tanzania, imezindua kampeni ya Sisimua Maisha na Fanta katika hafla iliyopambwa na burudani mbalimbali jijini Dar...

READ MORE

Bomba la Mafuta Kuanza Kujengwa Mwezi Huu

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Tanga-Tanzania hadi Uganda...

READ MORE

Mabango Yaanza Simiyu

SIKU chache baada ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwatangazia wateule wake kuhakikisha wanashughulikia kero...

READ MORE

Chadema Yataka Kuonana na Rais Samia

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimeomba kuonana na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan...

READ MORE