×

Habari

Kibaha: Diwani Mteule (CCM), Wajukuu Zake Wauawa

DIWANI mteule Kata ya Kikongo, Kibaha Vijijini (CCM), Fatuma Ngozi na wajukuu zake wawili wamekufa baada ya nyumba yake kuchomwa...

READ MORE

RC Kunenge Ataja Rasmi Tarehe ya Kuanza Stendi Mpya ya Mbezi Luis

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amesema Ujenzi wa Stand mpya ya Mabasi ya mikoani ya...

READ MORE

JPM: Napata Vimeseji vya Wakuu wa Mikoa, Wilaya Wana Hofu – Video

RAIS  John Magufuli amewaondoa hofu wakuu wa mikoa na wilaya ambao wamekuwa wakimpigia simu na kumwandikia meseji wakijieleza kuwa katika...

READ MORE

Kidato cha Pili Kuanza Mitihani wa Kitaifa Leo

Wanafunzi wa kidato cha pili wapatao  646,148 kote nchini  wanatarajia kuanza Mitihani hiyo leo Jumatatu, Novemba 9, 2020 hadi Novemba...

READ MORE

Lema Akamatwa Kenya Akitafuta Hifadhi

ALIYKUWA  Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amekamatwa na Polisi katika Kaunti ya...

READ MORE

Chadema Pekee Kutoa Wabunge Viti Maalum Upinzani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema vyama viwili kati ya 20 vilivyoshiriki katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28, mwaka...

READ MORE

Rais Mwinyi Ateua Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi  amemteua Hemed Suleiman Abdulla kuwa...

READ MORE

Kassim Majaliwa Awajulia Hali Mzee King Kiki Na Mkuu wa Wilaya ya Mlele

  Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa leo Novemba 8, 2020 amemtembelea na kumjulia hali mwanamziki mkongwe nchini Kikumbi Mwanza Mpango...

READ MORE

NECTA Yatoa Ratiba ya Mitihani ya Kitaifa, 2020

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza ratiba ya mitihani ya kidato cha pili ambayo itaanza kesho Novemba 9 hadi...

READ MORE

Rais Magufuli Awashukuru Watanzania

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mhe.Mama Janeth Magufuli leo...

READ MORE

RC Kunenge Awataka Wananchi Kufanya Mazoezi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amewasisitiza wananchi kuhakikisha wanafanya mazoezi na kuepuka ulaji usiofaa ili...

READ MORE

Tanzia: Balozi Patrick Chokala Afariki Dunia

  Balozi Patrick Segeja Chokala amefariki dunia Novemba 6, 2020 katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa...

READ MORE

Mtumishi wa Hospitali Mbaroni kwa Wizi Vifaa Tiba

Jeshi la Polisi linamshikilia Mtuhumiwa,Mtumishi wa Idara ya Chumba cha Upasuaji katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga., Madaraka...

READ MORE

Profesa Jay Hataki Kuongelea Siasa

SIKU chache baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, mwaka huu kutangazwa, wabunge wengi wameonekana kukosa nafasi kwa...

READ MORE

Breaking News: Joe Biden Ashinda Urais wa Marekani, Trump Chali

MGOMBEA Urais wa Marekani kupitia Chama Cha Democratic, Joe Biden ameshinda uchaguzi wa Marekani na kuwa rais mteule wa Marekani...

READ MORE

Watoto 11 Watuhumiwa Kuiba Nyumbani kwa Askari

POLISI mkoa wa Tabora inawashikilia watoto 11, ambao ni wanafunzi wa shule za msingi kwa tuhuma mbalimbali za uvunjaji, uporaji...

READ MORE

Georgia Kuhesabu Tena Kura za Urais

WAZIRI wa Masuala ya Kigeni katika Jimbo la Georgia, Brad Raffensberger, ametangaza kwamba jimbo hilo litahesabu upya kura zake za...

READ MORE

Championi Lagawa Tiketi Simba vs Yanga Bure, Spoti Xtra Laja

    TIMU ya Masoko ya Global Publishers leo imetua katika Uwanja wa Mkapa na kuyanadi magazeti ya michezo ya...

READ MORE

JPM Kufungua Bunge Nov. 10

RAIS John Magufuli anatarajiwa kufungua Bunge la 12, Novemba 10, 2020 baada ya wananchi kutumia haki yao ya msingi ya...

READ MORE

Rais Mwinyi Amwapisha Katibu wa Rais Zanzibar

RAIS  wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi,  amemuapisha Suleiman Ahmeid Saleh, kuwa Katibu wa...

READ MORE

Mondi, Zuchu Waonyeshana Mahaba Live

WAKATI wakiwa angali hawajakitegua kitendawili cha kuwa ni wapenzi au la, staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na...

READ MORE

Wachimbaji Wajeruhiwa kwa Mapanga, Visu

WACHIMBAJI wadogo wanane wajeruhiwa kwa silaha za jadi yakiwamo mapanga, visu sehemu mbalimbali za miili yao katika machimbo ya dhahabu...

READ MORE

TECNO CAMON 16 KUJA KUWAPINDUA WAPINZANI WAKE.

  Ni wazi kuwa katika ulimwengu wa simu janja watumiaji hawaridhiki tena na sura nzuri ya simu pekee, Mchanganyiko wa...

READ MORE

Alichosema Hakimu Kesi ya Lissu

HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Thomas Simba, ameahirisha kesi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Kwa Kosi Hili…. Mmekwishaaa!

KAMA utakwenda kwa Mkapa leo ukiwa na matokeo yako mfukoni, basi jiandae kurudi nyumbani unalia, kwani lolote linaweza kutokea.  ...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation yapeleka programu ya Instant Schools kwa wananchi mikoani

  Balozi wa Vodacom Tanzania Foudation, Joyce  Buzuka   akitoa elimu kwa baadhi ya wafanyabiashara wa mnada wa mifugo wa Ushirika wilaya...

READ MORE

Benki ya CRDB Yazindua Kampeni ya “Tupo Mtaani Kwako”

BENKI ya CRDB imezindua kampeni ya “Tupo Mtaani Kwako” ambayo inalenga katika kuhamasisha matumizi ya huduma za benki pamoja na...

READ MORE

Aida Khenan Amtaka Mbowe Kubadili Msimamo

Mbunge Mteule wa Nkasi kwa tiketi ya CHADEMA Aida Khenan amewaomba viongozi wake waangalie upya msimamo wa kutotambua ushindi wa...

READ MORE

Fahamu Hatua kwa Hatua Jinsi Rais wa Marekani Anavyopatikana

KUELEKEA uchaguzi wa kwanza wa urais Marekani, uliofanyika Desemba 1788 hadi Januari 1789, mtindo wa kumchagua na kupata rais, ulisababisha...

READ MORE

Wateja Zaidi ya 1,000 Wajishindia Kampeni ya Jipe Tano ya Benki ya CRDB

Benki ya CRDB Novemba 5 mwaka huu imetangaza washindi zaidi ya 1,000 ambao wamejishindia fedha kupitia kampeni yake ya ‘Jipe...

READ MORE

Trump Alia Kuibiwa Kura

LEO ni siku ya nne tangu kuanza kwa zoezi la kuhesabu kura nchini Marekani baada ya zoezi la kupiga kura...

READ MORE

Ndugai Apendekezwa Spika wa Bunge,Tulia Naibu

  Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya  Chama cha Mapinduzi  CCM ambayo iliketi jana Dodoma  imempongeza Rais John Magufuli kwa...

READ MORE

Walimu Wawili Wapandishwa Kizimbani Kwa Tuhuma za Mauaji ya Mwanafunzi

Walimu wawili wa  Shule ya Awali na Msingi ya Holly Cross Nursery iliyopo Temeke jijijini Dar es Salaam wamefikishwa katika...

READ MORE

Jamaa Wamdai Bosi Wao Milioni 350, Wamwangukia JPM

JAMAA zaidi ya 20 ambao ni wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi ya Elerai Construction Company LTD ya jijini Arusha, inayomilikiwa...

READ MORE

JPM Aongoza Kikao Halmashauri Kuu CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi  CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu...

READ MORE

Mama Amwaga Machozi Akisimulia Ulemavu wa Mwanaye – Video

Mtoto Ally mwenye umri wa miaka 10 ametelekezwa na baba yake mzazi baada ya kuzaliwa na ulemavu wa viungo huku...

READ MORE

Wanaodaiwa Kuchoma Mabweni ya Shule Kilimanjaro Wanaswa – Video

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka imewafikisha mahakamani washtakiwa watatu wanaohusishwa na matukio ya kuchoma moto bweni la Shule ya Sekondari...

READ MORE

Sure Boy Anyakua Tuzo ya Mchezaji Bora wa Azam FC Oktoba

KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Azam FC, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amefanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Azam FC...

READ MORE

Haya Ndo Mataifa Ambayo Hula Nyama ya Mbwa na Paka

Taiwan imepiga marufuku uuzaji na ulaji wa paka na mbwa kufuatia visa kadhaa vya ukatili dhidi ya wanyama na kuzua...

READ MORE

Hong Kong Yazindua Laini ya Simu Kuripoti Uhalifu

Polisi Hong Kong imeanzisha namba ya simu ya mawasiliano ya moja kwa moja itakayowawezesha raia kuripoti matukio yoyote yanayotishia usalama...

READ MORE