×

Habari

Jaqueline Mengi Kuwaongoza Mamiss Tanzania Kusherehekea Urembo

Miss Tanzania mwaka 2000 Jaqueline Mengi kwa kushirikiana na mamiss wenzake waliwahi kushika taji hilo wameanzisha mpango wa kuwahamasisha wasichana...

READ MORE

Magufuli Amzawadia Kofia Mwananchi Iringa – (Picha + Video)

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli  leo amemvalisha Kofia Bibi aliyefahamika kwa jina...

READ MORE

Tanzia: Gwiji wa Muziki wa Dansi Saidi Mabera, Afariki Dunia

Gwiji wa muziki wa dansi na kiongozi wa bendi ya Msondo Ngoma, Saidi Mabera, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Benki ya NMB Yashiriki Mkutano wa Vijana wa Umoja wa Mataifa Arusha

Benki ya NMB imeeleza kuwa vijana ndio dira ya maendeleo ya sasa na baadaye kwa taifa lolote duniani na ni...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Eblate Ernest Mjingo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Septemba 29, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 29, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Magufuli Aanika Siri Nzito Dodoma

MGOMBEA wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amewambia wapiga kura wake kuwa anasiri kubwa na nzito ndani...

READ MORE

Polisi Yakanusha Kuupiga Mabomu Msafara wa Lissu

JESHI la Polisi Mara, limekanusha uvumi kuwa msafara wa mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu...

READ MORE

Shule Nyingine Yaungua Nyasaka Mwanza

Wanafunzi 22 wanaosoma katika shule ya Sekondari ya Yustas iliyopo Nyasaka wilayani Ilemela mkoani Mwanza, wameunguliwa vifaa vyao yakiwemo magodoro...

READ MORE

House Girl Anaswa Akitaka Kusafirisha Dawa za Kulevya Nje ya Nchi

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kutaka kusafirisha dawa za...

READ MORE

Dk.Shein Azindua Rasmi Jengo La Abiria Uwanja Wa Ndege Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein amezindua rasmi jengo jipya la...

READ MORE

Afariki Gesti Baada ya Kuzini na Shemeji

POLISI jijini Nairobi nchini Kenya, wanafanya uchunguzi wa mwanamke mmoja aitwaye Jesca Sibwe mwenye umri wa miaka 42, ambaye amefariki...

READ MORE

Dada wa Usafi Anaswa na Dawa za Kulevya – Video

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini imemkamata Maria Edson Mtambo (25) Mnyiha na mkazi wa Tegeta...

READ MORE

Bodi ya Ligi Yaufunga Uwanja wa Jamhuri Moro

BODI ya Ligi  nchini imeufungia Uwanja wa Jamhuri wa mjini Morogoro hadi utakapofanyiwa marekebisho katika maeneo matatu ambayo ni: eneo...

READ MORE

Lissu Akana Kupokea Wito NEC

MGOMBEA urais kupitia, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema kuwa hajapokea malalamiko yoyote kutoka Tume ya Taifa...

READ MORE

Mkakati Kukifuta Chama cha Bobi Wine Watua Kortini

MWANASIASA wa upinzani nchini Uganda anayemtikisa Rais Yoweri Museveni amejikuta akipigania mchakato wa kuwa kwenye karatasi ya kura, baada ya...

READ MORE

Mauaji Kada wa CCM Njombe, JPM Aagiza…

  RAIS wa Tanzania na mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),  John Magufuli,  ametuma salamu za pole na ubani...

READ MORE

NMB Yapongezwa Kwa Kutoa Ahueni Wakati wa COVID-19

  Serikali na wadau mbalimbali wameipogeza Benki ya NMB kwa msaada wake mkubwa wakulisaidia Taifa na wateja wake kukabiliana na...

READ MORE

Kigogo TRA Kizimbani Tuhuma za Rushwa Sh Mil. 1.5

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemfikisha mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania...

READ MORE

Yanga Yalaani Mashabiki Wake Kuwapiga Mashabiki wa Simba Moro

KLABU ya Yanga imelaani kitendo cha baadhi ya mashabiki wake mkoani Morogoro waliowafanyia fujo baadhi ya mashabiki wa Simba SC...

READ MORE

Benki ya NBC Yaibuka Kinara Maonesho ya Madini Geita.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeibuka kinara kwenye Maonesho ya Madini na Teknolojia yaliyomalizika mwishoni mwa wiki mkoani Geita...

READ MORE

Benki ya NBC Yawaasa Wazazi Kuwekeza katika Bima ya Elimu

Wazazi nchini wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwakatia watoto wao Bima ya elimu itakayo wahakikishia uhakika wa kupata elimu bora hata...

READ MORE

Rais Asimamisha Mshahara wa Waziri

RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa,  ametoa onyo kali kwa waziri wake wa ulinzi, Nosiviwe Mapisa – Nqakula,  na kusimamisha...

READ MORE

Jiwe Kubwa la Madini Lapatikana Morogoro

WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko, ametangaza habari njema baada ya kupatikana kwa jiwe jingine tena kubwa la madini aina ya...

READ MORE

Mshauri wa Papa Ajiuzulu, Kisa Kuwapa Ndugu Fedha ya Kanisa

KADINALI wa ngazi za juu Vatican, Giovanni Angelo Becciu, amejiuzulu ghafla bila kutarajiwa lakini imebainika kuwa aliambiwa na Papa Francis...

READ MORE

Wahitimu Victory Secondary Waaswa Kulinda Maadili Wakifanya Mahafali

Shule ya Sekondari Victory iliyopo Mwandege mkoa wa Pwani imefanya mahafali ya kumi na tatu ya wanafunzi wanaomaliza kidato cha...

READ MORE

Tundu Lissu Aitwa NEC Kujieleza

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya...

READ MORE

Video: CCM Yatangaza Siku 30 Za Kampeni Za Nguvu

MGOMBEA urais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.John Pombe Magufuli kesho...

READ MORE

RC KUNENGE AWATAKA WANAWAKE KUWA MAJASIRI NA KUCHANGAMKIA FURSA.

Mkuu Wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ametoa wito Kwa wanawake nchini kujiamini na kuonyesha uwezo wao...

READ MORE

Shule Nyingine ya Kiislam Yaungua Moto Tabora

Shule ya Awali na Msingi ya Taasisi ya Kiislamu ya Istiqaama iliyopo mkoani Tabora imeungua moto usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Mwili wa Mtoto wa Mfanyakazi wa Global Group Wazikwa Dar

Meneja wa Kampuni ya Global Publishers, Abdallah Mrisho, leo Jumapili ameongoza wafanyakazi wa kampuni hiyo katika kumfariji mfanyakazi mwenzao, Hashim...

READ MORE

Serikali Yakanusha Watendaji Wa Halmashauri Kuitwa Dodoma Na Dkt. Magufuli

Ofisi ya Rais – TAMISEMI imekanusha taarifa iliyotolewa na Mgombea Urais kupitia CHADEMA kwa kusema kuwa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri...

READ MORE

Mashindano ya NCBA Golf Tournament yafana Zanzibar

Mkurugenzi wa Biashara na Huduma za Kidigitali wa Benki ya NCBA, Gift Shoko akipiga mpira kwenye mashindano ya gofu ya...

READ MORE

 Serikali za Majimbo si Suluhisho la Matatizo Ya Watanzania

    KUNA mwanasiasa mmoja ameibuka tena na hoja ya serikali za majimbo. Kwa mtazamo wangu, muundo wa serikali za...

READ MORE

Waliosambaza Video Chafu, za Denti Chuo Kikuu, Jela Miaka 3…

‘CONNECTION’ ndiyo msemo unaotrend (sambaa) kila kona ya jiji la Dar, baada ya video chafu ya mwanadada mmoja anayedaiwa kuwa...

READ MORE

Bibi Miaka 99 Alamba Milioni 99

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa! Yule kikongwe Nasi Muruo (99) aliyekuwa akitafuta haki yake kwa zaidi ya miaka 40, sasa amelipwa...

READ MORE

Mussa Sima: Puuzeni Wanaombeza Dk. Magufuli

Mgombea Ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Sima amewataka Watanzania kupuuza wapinzani wanaombeza...

READ MORE

Shigongo: Nimeacha Kila Kitu Niteseke Sababu ya Wana-Buchosa

MBOMBEA ubunge Jimbo la Buchosa kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James, amesema kuwa ameacha kila kitu...

READ MORE