WAGOMBEA wawili wa Ubunge wa majimbo ya Ndanda na Tandahimba, waliokuwa vyama vya upinzani na kuhamia Chama Cha Mapinduzi, (CCM),...
READ MOREBARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limekanusha taarifa zilizotolewa na Meneja wa mwanamuziki Lady Jaydee (Jide) kwamba limeufungia wimbo wake wa ...
READ MORERAIS John Magufuli, leo Oktoba 22, 2020, amezindua kiwanda cha bidhaa za ngozi kilichopo mkoani Kilimanjaro. TAARIFA FUPI YA MRADI...
READ MOREMamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA), imetoa muelekeo wa mvua za msimu za mwezi Novemba 2020 hadi Aprili mwaka...
READ MOREJESHI la Polisi linawashikilia viongozi watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kata ya Gwanumpu wilayani Kakonko kwa tuhuma...
READ MORERAIS wa Chama cha Waongoza Ndege Tanzania (TACC), Shukuru Nziku, amesema, ndege-nyuki (drones) ni miongoni mwa changamoto wanazokabiliana nazo waongoza...
READ MOREMkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amewahimiza askari wa Jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa kuhakikisha wanatenda...
READ MOREMWENYEKITI wa Kamati ya Amani na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, amesema ni vyema kila...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekataa kuwaapisha mawakala 12 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kile ilichobainisha...
READ MOREWATU wanne ambao ni mawakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa, katika ajali...
READ MOREKITENGO cha Uchunguzi wa Makosa ya Jinai nchini Afrika Kusini (Hawks), kimemkamata ‘Nabii’ maarufu Shepherd Bushiri na mkewe Mary kwa...
READ MOREMKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, pamoja na kuwahimiza askari wa jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu kuhakikisha leo Oktoba 21, 2020, vinakabidhi orodha...
READ MOREBenki ya CRDB imetenga Shilingi milioni 100, kama zawadi kwa wateja ambao watakuwa wakiweka akiba mara kwa mara katika akaunti...
READ MORERais wa zamani wa Burundi, Pierre Buyoya amehukumiwa na mahakama kuu ya nchi hiyo kifungo cha maisha jela baada ya...
READ MOREMahakama Kuu Kanda ya Tanga kwa kushirikiana na wadau wake imeteketeza kiasi cha gramu 351.99 za madawa ya kulevya aina...
READ MOREKampuni ya kimataifa inayotoa huduma za ushauri wa kodi, ukaguzi wa mahesabu na ushauri wa mambo ya fedha. Leo...
READ MOREMbabe wa masumbwi mwenye rekodi, Sirimongkhon Iamtuam atawasili nchini Oktoba 24 mwaka huu akiwa na wasaidizi wake wakitokea nchini kwao...
READ MOREMGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli, baada ya kumaliza kampeni...
READ MOREMKE wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Balozi Ahmed Salim Ahmed, Bi Amne Rifai Salim, amfariki dunia leo, Jumanne, Oktoba...
READ MOREMGOMBEA urais wa chama cha ACT Wazalendo visiwani Zanzibar ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad,...
READ MOREAKIENDELEZA rekodi ya kutupia mabao, straika wa Simba, Mkongomani Chris Mugalu, ametamba kwamba anaweza kuivunja rekodi ya straika wa zamani...
READ MOREMGOMBEA ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima, amesema ana jina la Kiislamu ambalo ni Rashid...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi katika kikao chake cha tarehe 12 Oktoba, 2020 imefanya maamuzi ya kisera ya kuruhusu vitambulisho...
READ MOREMgombea Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, amesema kuwa kabla hajafukuzwa na chama chake cha awali cha CCM, alikuwa...
READ MOREKAULI ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto aliyoitoa hivi karibuni kuwa, alinasa mimba tatu za mpenzi wake Nasibu...
READ MOREMkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation, Rosalynn Mworia (kulia) akikabidhi moja ya mashine kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla...
READ MORETaswira ya daraja la sasa la Wami linalotumika lenye urefu wa mita 88.75, lililopo mkoani Pwani. Daraja hilo ni kiungo...
READ MOREWATU watano wa familia moja akiwemo mama, watoto wake watatu na wifi yake, waliopoteza maisha baada ya nyumba yao kuwaka...
READ MOREHOFU inazidi kutanda juu ya kupotea na kutoonekana kwa msanii mtata wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini almaarufu kama Dudu Baya...
READ MOREMGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, amesema kabla hajafukuzwa na chama chake cha awali cha CCM, alikuwa anao...
READ MOREMAFURIKO ya wananchi wa Kijiji cha Bupandwamhela wakimpokea kijiji hapo mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi...
READ MOREBERNARD Kamilius Membe amesema yeye bado ni mgombea halali wa urais kupitia ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...
READ MORETume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Kanda ya Dar es Salaam- Temeke imeiamuru kampuni ya Quality Group Limited kuwalipa waandishi...
READ MORETAASISI mbalimbali zimepaza sauti zikiwataka wazazi na jamii kwa ujumla kumlinda mtoto wa kike dhidi ya changamoto anuai zinazowakabili...
READ MOREJESHI la Polisi wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro limefanikiwa kukamatwa kwa watu watatu kwa tuhuma za kuchoma moto bweni la kulia...
READ MOREBABA mzazi aliyejitambulisha kwa jina la Edward Jeremiah Katemi, amejikuta katika wakati mgumu, baada ya familia yake ya watu watano,...
READ MOREVIKWAZO vya Umoja wa Mataifa (UN) vilivyopiga marufuku kuiuzia au kununua silaha kutoka Iran vimefikia tamati jana jumapili kama ilivyoafikiwa...
READ MORE