×

Habari

Mbunge Anaswa Akitazama Video ya Ngono Bungeni

Mbunge wa Jimbo la Chonburi Thailand, Ronnathep Anuwat amezua gumzo mitandaoni na mitaani nchini humo baada ya camera za Bunge...

READ MORE

Kenya: Wauguzi 16 Wafariki kwa Corona

WIZARA ya afya nchini Kenya imetangaza kuwa wauguzi 16 wamepoteza maisha, wakiwa miongoni mwa wauguzi 945 walioambukizwa ugonjwa wa COVID-19...

READ MORE

Waliomuua Dkt. Mvungi Wahukumiwa Kifo

WATU watano wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na mauaji ya aliyekuwa mwanasheria maarufu nchini...

READ MORE

Vilio Kuagwa Wanafunzi Waliokufa kwa Moto Kagera

MIILI ya wanafunzi 10 waliokufa kwa ajali ya moto uliounguza bweni la wavulana katika shule ya msingi Byamungu  wilayani Kyerwa...

READ MORE

Ofisa Habari Chadema Afikishwa Mahakamani Kisutu

OFISA Habari Msaidizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dominic Mgaya (37) leo Septemba 18, 2020 amefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Magufuli Aahidi Kuendeleza Mchikichi Kigoma -Video

Mgombea Urais wa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Dkt.John Pombe Magufuli, amesema kuwa kazi ya kufufua zao la mchikichi...

READ MORE

UVCCM Songwe Waanza Kusaka Kura Nyumba kwa Nyumba

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ( UVCCM) Mkoa wa Songwe wamezindua kampeni ya mkoa mzima ya kutafuta kura...

READ MORE

TGNP Ilivyowafundisha Wajasiriamali Takataka Kuzigeuzwa Fursa

Baada ya Mtandao wa Jinsia nchini (TGNP) kutoa mafunzo ya kutengeneza nishati mbadala katika vikundi mbalimbali, kikundi cha Sauti ya...

READ MORE

Singida: Jela Miaka 30 Kumbaka Mtoto Wake wa Kumzaa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela mkazi wa Mtaa wa Kimpungua, Manispaa ya...

READ MORE

JPM: Kumbe Zitto Naye Anapanda Ndege Zetu! – Video

    MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho,...

READ MORE

Mke wa Carlinhos Alipamba Championi Angola

MKE wa kiungo mpya wa Yanga, Carlos Carlinhos, Katia Carapichoso Carmo ameonyesha kulikubali Gazeti la Championi baada ya juzi kuliposti...

READ MORE

IGP Sirro Aongezewa Mwaka Mmoja

Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki Mwa Afrika (EAPCCO) wamemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro kuendelea...

READ MORE

Rais Belarus Aweka Jeshi Katika Tahadhari, Afunga Mipaka

BELARUS imesema imefunga mipaka yake na nchi za Umoja wa Ulaya. Lakini maafisa wa Poland wameielezea hatua hiyo kuwa ni...

READ MORE

Ujenzi Kituo cha Mabasi Mbezi Wafikia Asilimia 80

UJENZI wa Kituo cha Mabasi cha Kimataifa cha Mbezi Luis jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 80, hii ikimaanisha...

READ MORE

China Yaitaka Marekani Kuheshimu Ushindani Kibiashara

CHINA  imeitaka Marekani kuheshimu misingi na kanuni za soko la kiuchumi na ushindani wenye usawa.   Hayo yameelezwa na wizara...

READ MORE

Mondi Ampongeza Alicia Keys Kumshirikisha Albamu Yake

    MWANAMUZIKI staa wa Bongo Fleva nchini, Diamond Platnumz, amemtumia ujumbe wa kumpongeza mwanamuziki  wa Marekani, Alicia Keys, kutokana...

READ MORE

Ufafanuzi Anayejiita ‘Prof. Mohamed Janabi’ Mitandaoni

  TAASISI  ya Moyo  Jakaya Kikwete imewajulisha wananchi kuwa wazipuuze taarifa zinazotolewa kupitia ukurasa wa Twitter wa mtu anayejiita Prof....

READ MORE

GGML Mdhamini Mkuu wa Maonyesho Teknolojia za Uchimbaji Madini

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ndiye mdhamini mkuu wa Maonyesho ya Tatu ya Teknolojia za uchimbaji madini...

READ MORE

Mgombea wa Mbatia Ajitoa Kwenye Kinyang’anyiro

  MGOMBEA ubunge Jimbo la Madaba mkoani Ruvuma kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Mkinga Ugin Gidion, amejitoa katika kinyang;anyiro hicho huku mwenyekiti...

READ MORE

CHADEMA Kuwapa Mazingira Bora Wafanyabiashara

MGOMBEA mwenza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Salum Mwalimu, ameahidi kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara wote.   Alitoa ahadi...

READ MORE

Sekta ya Mawasiliano ya Simu Inavyosaidia Ukuaji wa Uchumi Tanzania

Kwa miaka kadhaa sasa uchumi wa Tanzania umeendelea kukua na kuiwezesha nchi kufikia lengo la kuwa nchi ya uchumi wa...

READ MORE

Wasambazaji wa Mafuta Kaskazini Watakiwa Kununua Mafuta Bandari ya Tanga

EWURA imeagiza wasambazaji wote wa bidhaa za petroli mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuanza kuchukua bidhaa hizo kutoka...

READ MORE

Sheria Mpya! Wabakaji Watoto Kuhasiwa Kizazi

GAVANA  wa Jimbo la askazini-magharibi mwa Nigeria la Kaduna, Nasir Ahmad el-Rufai, amesaini sheria inayotoa adhabu kali kwa wanaopatikana na...

READ MORE

Barbados Kumuondoa Malkia Elizabeth Kama Mkuu wa Nchi

VISIWA wa Barbados vimetangaza nia yake ya kumuondoa Malkia Elizabeth kama kiongozi wa nchi hiyo na kuwa Jamuhuri.   ”Muda...

READ MORE

Wanasayansi Wagundua Uhai Sayari ya Venus

WAZO kwamba viumbe wanaoishi wanaelea katika mawingu ya sayari ya Venus ni uwezekano uliopo. Lakini hilo ni kwa mujibu wa...

READ MORE

Rais Aomba ‘Jerusalema’ ya KG Ichezwe Kwenye Sikukuu

  RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amewaomba raia wa nchi yake kusherehekea siku ya Urithi ya Mwaka huu (Heritage...

READ MORE

Bilionea Awanunulia Wanaye Magari ya Kifahari ‘Ferrari Portofino’

BILIONEA wa Nigeria amewazawadia watoto wake magari ya kifahari aina ya Ferrari Portofino. Hatua ya bilionea Femi Otedola kuwanunulia mabinti...

READ MORE

Dhoruba Kali Yaiweka Gizani Marekani

  DHORUBA ya kitropiki imesababisha zaidi ya watu nusu milioni wa Marekani kukosa umeme wakati mvua kubwa ikinyesha na dhoruba...

READ MORE

NBC, Ofisi ya Mkoa Geita Wawafunda Wajasiriamali, Wachimbaji Geita.

    Wajasiriamali na wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita wameanza mafunzo maalumu yanayolenga  kwa kuwajengea uwezo wa  kuendesha biashara...

READ MORE

Majaliwa: Chagueni Viongozi Wenye Mtazamo Mmoja

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Bariadi...

READ MORE

Wafungwa 7 Kati ya 219 Waliotoroka Gerezani Wakamatwa

WAFUNGWA saba kati ya 219 waliotoroka kutoka katika Gereza la Singila, Moroto, Kaskazini-Mashariki mwa Uganda wamekamatwa. Wafungwa hao walimpiga risasi...

READ MORE

Breaking: Mwanafunzi Afukiwa na Kifusi Chato, Afariki

Mwanafunzi mmoja kati ya wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita, amepoteza...

READ MORE

Msaidizi wa Membe Anashikiliwa na Polisi – Mambosasa

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, leo Septemba 17, 2020, amesema msaidizi wa mgomba...

READ MORE

Generation Africa Yatangaza Washindi Wawili Tuzo Ya USD 100,000

Washindi hao walijinyakulia kitita hicho katika shindano la GoGettaz Agripreneur kwa mwaka 2020, pamoja na tuzo heshima za chakula Afrika...

READ MORE

Kanye West Aitupa Chooni Tuzo ya Grammy, Aikojolea

KANYE WEST ameitupa chooni tuzo ya Grammy na kuikojolea, tuzo ambayo ni ndoto ya kila msanii duniani kuja angalau kuishika...

READ MORE

LIVE: MAGUFULI – “MIMI Huwa SIJARIBIWI, Msije MKAFANYA MAKOSA

 MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Magufuli, leo Septemba 17, amewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya kuendelea...

READ MORE

Wafungwa Zaidi ya 200 Watoroka Gerezani

ZAIDI ya wafungwa 200 wa Gereza la Singila, Moroto Kaskazini Mashariki mwa Uganda, wametoroka gerezani baada ya kufanikiwa kumuua askari...

READ MORE

Mbeya City anga moja na Juventus, Leicester City

Mara baada ya pazia la Ligi kuu soka Tanzania Bara msimu wa 2020-21 (VPL), Ligi kuu ya Uingereza (EPL) pamoja...

READ MORE

Tanzia: Baba wa Bill Gates Afariki Dunia

WILLIAM HENRY GATES II ambaye ni baba mzazi wa Bill Gates (mvumbuzi wa Microsoft) amefariki dunia siku ya Jumatatu, Septemba...

READ MORE

Kizimbani Kuisababishia TRA Hasara ya Mil. 48

GEOFFREY KILIMBA amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na makosa manne likiwemo la uhujumu uchumi kwa kuisababishia ...

READ MORE